Kama hata aliwahi kudanganya yeye ni mwandishi wa habari unategemea nini kutoka kwa mtu wa aina hii.Yeye ni mtangazaji tu lakini alisema ni mwandishi wa habari wabunge wakapigwa butwaa.Jamani wakati mwingine kama mtu hujui kitu ni bora kukaa kimya tu!
Huyu Juma Nkamia asitake kuudanga uuma kua kua eti bunge bunge la Uingereza halioneshei live! Huu nio uongo kuongea kitu ambacho mtu hakijui kwa kujipendekeza tu. Yeye kufanya kazi kama kibarua BBC(kwa mujibu wa hotuba ya KUB 2013) haimaanishi kua unaweza kusema lolote kuhusu bunge la Uingereza.
Shule ni kitu muhimu sana, NAPE NAUYE alisema kua kipindi chote ambacho TBC hsioneshi matangazo ya biashara hua wanaonesha matangazo ya bunge na kulisabibishia shirika hilo la umma hasara. Nkamia na Nape watuambie ni muda gani BBC hua wanaonesha matangazo ya biashara? Amewahi kusikia wapi BBBC linajiendesha kwa hasara au kwa faida.
Huyu Mkamia ni jipu lingine lililojaa usaha uliooza. Uwezo wake wakufikiri unatia shaka unazidiana kidogo tu na huyu mpuuzi mwenzake Nepi chupi!Jamani wakati mwingine kama mtu hujui kitu ni bora kukaa kimya tu!
Huyu Juma Nkamia asitake kuudanga uuma kua kua eti bunge bunge la Uingereza halioneshei live! Huu nio uongo kuongea kitu ambacho mtu hakijui kwa kujipendekeza tu. Yeye kufanya kazi kama kibarua BBC(kwa mujibu wa hotuba ya KUB 2013) haimaanishi kua unaweza kusema lolote kuhusu bunge la Uingereza.
Shule ni kitu muhimu sana, NAPE NAUYE alisema kua kipindi chote ambacho TBC hsioneshi matangazo ya biashara hua wanaonesha matangazo ya bunge na kulisabibishia shirika hilo la umma hasara. Nkamia na Nape watuambie ni muda gani BBC hua wanaonesha matangazo ya biashara? Amewahi kusikia wapi BBBC linajiendesha kwa hasara au kwa faida.
utashangaaa kwa mfano itokee magufuli aingilie kati kuhusu kurusha live bunge hayo hayo manyumbu utasikia yakipiga meza zao kushangilia. he he he ma CCM NIshidaaaaMsihangaike na wakisemacho wabunge wa ccm, hao no sawa na ukiumwa Tumbo kuharisha ingawa sio jambo zuri lakini utasikia nafuu
Ndivyo walivyo mkuu, kama ningekuwa kijana mdogo na mzazi wangu ni Mbunge wa ccm anayeweza kubadilika kauli kwa unafiki wa aina hiyo wallah salami ya shikamoo ningeifuta kwake kwani huyo hata ukimwambia amkane mwanae ili apewe cheo anaweza kufanya hivyoutashangaaa kwa mfano itokee magufuli aingilie kati kuhusu kurusha live bunge hayo hayo manyumbu utasikia yakipiga meza zao kushangilia. he he he ma CCM NIshidaaaa
Jamani wakati mwingine kama mtu hujui kitu ni bora kukaa kimya tu!
Huyu Juma Nkamia asitake kuudanga uuma kua kua eti bunge bunge la Uingereza halioneshei live! Huu nio uongo kuongea kitu ambacho mtu hakijui kwa kujipendekeza tu. Yeye kufanya kazi kama kibarua BBC(kwa mujibu wa hotuba ya KUB 2013) haimaanishi kua unaweza kusema lolote kuhusu bunge la Uingereza.
Shule ni kitu muhimu sana, NAPE NAUYE alisema kua kipindi chote ambacho TBC hsioneshi matangazo ya biashara hua wanaonesha matangazo ya bunge na kulisabibishia shirika hilo la umma hasara. Nkamia na Nape watuambie ni muda gani BBC hua wanaonesha matangazo ya biashara? Amewahi kusikia wapi BBBC linajiendesha kwa hasara au kwa faida.
Uwezo wako hautofautiani na Nkamia, wewe endelea kuuza t-shirts na kofia za chama hapo Lumumba.Kanusha with evidence na sio porojo. Wewe ndio sasa ndio ulitakiwa kukaa kimya!!
Queen Esther
mi nahisi ni nundu sio jipuHuyu Mkamia ni jipu lingine lililojaa usaha uliooza. Uwezo wake wakufikiri unatia shaka unazidiana kidogo tu na huyu mpuuzi mwenzake Nepi chupi!