Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 1,124
- 2,194
Kiongozi wa kiroho na Mratibu wa Tanzania Peace Foundation (TPF) Kanda za Juu Kusini, Joshua Msigwa ameshangazwa na matamko yaliyotolewa hivi karibuni na baadhi ya Viongozi wa Dini kutaka kuachiliwa huru kwa mmoja wa Mahabusu ambaye ni Kiongozi wa Chama cha Siasa.
Ameongeza kuwa, Serikali ipo makini haijakurupuka na kumweka ndani Kiongozi huyo bila sababu.
Amewasihi Viongozi wa Dini kuheshimu mamlaka za Utawala kwani pindi Vyama hivyo vitakapoingia madarakani vitatakiwa kupewa heshma vilevile.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Kanisa na Msikiti visiwe upande wa wavunja sheria kwa namna yoyote ile" amesisitiza Msigwa.
Ameongeza kuwa, Serikali ipo makini haijakurupuka na kumweka ndani Kiongozi huyo bila sababu.
Amewasihi Viongozi wa Dini kuheshimu mamlaka za Utawala kwani pindi Vyama hivyo vitakapoingia madarakani vitatakiwa kupewa heshma vilevile.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Kanisa na Msikiti visiwe upande wa wavunja sheria kwa namna yoyote ile" amesisitiza Msigwa.