MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,182
- 4,359
Mchezaji aliyekuwa akicheza AS Vita club na timu ya taifa ya Congo DRC kama winga ya kulia, Jonathan Ikangalombo Kapela ametua rasmi kwa wananchi, Young Africans SC.
Soma Pia: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025
Soma Pia: Tetesi za usajili dirisha dogo Tanzania bara 2024/2025