Pre GE2025 John Mrema: Watia nia na waliounga mkono G55 wanatishiwa na maelekezo yamepelekwa ngazi ya chini kuwa wafukuzwe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
2,096
5,592
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo kwenye mkutano wake na waandishi wa habari John Mrema alisema kuwa makada waliosaini waraka wa G55 wanatishiwa na maelekezo yameshafika hadi matawini kuwa wafukuzwe:

"Kuna utamaduni mpya umeanza kuonekana ndani ya CHADEMA siku za hivi karibuni, moja ni kuhusu wanachama na watia nia waliounga mkono waraka wa G55 kuendelea kutishiwa ndani ya chama, na maelekezo kupelekwa ngazi ya chini kabisa ya matawi ya chama kwamba yatufukuze uanachama wale wote tunaosema haki ya kugombea ni haki ya kikatiba kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, ni malengo ya CHADEMA, eti wafukuzwe uanachama, na maelekezo haya yamekwenda maeneo mbalimbali kwa viongozi wetu"

"Ni utamaduni mpya kwenye chama chetu, hatujawahi kuwa na utamaduni huo, ndani ya chama chetu tumeishi tukiwa na maoni na mitazamo tofauti kwa kipindi kirefu sana"






 
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo kwenye mkutano wake na waandishi wa habari John Mrema alisema kuwa makada waliosaini waraka wa G55 wanatishiwa na maelekezo yameshafika hadi matawini kuwa wafukuzwe:

"Kuna utamaduni mpya umeanza kuonekana ndani ya CHADEMA siku za hivi karibuni, moja ni kuhusu wanachama na watia nia waliounga mkono waraka wa G55 kuendelea kutishiwa ndani ya chama, na maelekezo kupelekwa ngazi ya chini kabisa ya matawi ya chama kwamba yatufukuze uanachama wale wote tunaosema haki ya kugombea ni haki ya kikatiba kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, ni malengo ya CHADEMA, eti wafukuzwe uanachama, na maelekezo haya yamekwenda maeneo mbalimbali kwa viongozi wetu"

"Ni utamaduni mpya kwenye chama chetu, hatujawahi kuwa na utamaduni huo, ndani ya chama chetu tumeishi tukiwa na maoni na mitazamo tofauti kwa kipindi kirefu sana"


Lissu na genge lake wanastahili kulaumiwa kwa yote haya
 
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo kwenye mkutano wake na waandishi wa habari John Mrema alisema kuwa makada waliosaini waraka wa G55 wanatishiwa na maelekezo yameshafika hadi matawini kuwa wafukuzwe:

"Kuna utamaduni mpya umeanza kuonekana ndani ya CHADEMA siku za hivi karibuni, moja ni kuhusu wanachama na watia nia waliounga mkono waraka wa G55 kuendelea kutishiwa ndani ya chama, na maelekezo kupelekwa ngazi ya chini kabisa ya matawi ya chama kwamba yatufukuze uanachama wale wote tunaosema haki ya kugombea ni haki ya kikatiba kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, ni malengo ya CHADEMA, eti wafukuzwe uanachama, na maelekezo haya yamekwenda maeneo mbalimbali kwa viongozi wetu"

"Ni utamaduni mpya kwenye chama chetu, hatujawahi kuwa na utamaduni huo, ndani ya chama chetu tumeishi tukiwa na maoni na mitazamo tofauti kwa kipindi kirefu sana"


Fukuzilia mbawa hao wadudu washakuwa virus hawatunziki tena
 
Hao wafukuzwe mara moja kama Chadema tuliwahi kuvuka salama kipindi kile cha COVID 19 ikijadiliwa kuwa ama wafukuzwe ama wa achwe, na wakafukuzwa tukavuka hapo na Chadema ikabaki salama!, sembuse hao mbawa wa G 55? .
 
Back
Top Bottom