johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 98,210
- 172,430
Akizungumza leo kwenye mkutano wake na vyombo vya habari, John Mrema amesema:
"Leo kama ukikosolewa ndani ya chama unawaza kufukuza wanachama wako, tena watiania wabunge waliofanya chama hiki kinapata ruzuku kisa wanatoa maoni na mawazo mbadala hivi ukipewa dola utasikiliza wapinzani wako kweli?"
"Kama leo huna dola unawaza silaha ni kufukuza, hivi siku wakipewa dola itakuwaje?"
cc: Lucas Mwashambwa - Kibao Mbozi
"Leo kama ukikosolewa ndani ya chama unawaza kufukuza wanachama wako, tena watiania wabunge waliofanya chama hiki kinapata ruzuku kisa wanatoa maoni na mawazo mbadala hivi ukipewa dola utasikiliza wapinzani wako kweli?"
"Kama leo huna dola unawaza silaha ni kufukuza, hivi siku wakipewa dola itakuwaje?"
cc: Lucas Mwashambwa - Kibao Mbozi