Pre GE2025 DSM John Mrema: CHADEMA imeua ndoto za waliotaka kugombea, mpaka 2030 sina uhakika kama tutakuwepo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Sep 2, 2024
2,096
5,592
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo, John Mrema amesema kuwa CHADEMA imeua ndoto za wanachama wengi waliotaka kugombea kwenye Uchaguzi ba kuongeza kuwa hana uhakika kuwa kama chama hicho kitakuwepo hadi kufikia mwaka 2030

"Jambo la pili ni chama chetu kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi na kukifanya sasa chama chetu kujiondoa rasmi kwenye uchaguzi. Jambo hili limeua ndoto za wanachama wa CHADEMA, wapo watu wapo CHADEMA kwasababu wanawiwa kuwa madiwani wawawakilishe wananchi kwenye kata zao, wapo akina mama wanawiwa kuwa madiwani wa viti maalumu wakakiwakilishe chama na wananchi wao kwenye kata zao, kina mama hawa ndoto zao zimekufa.

"Wapo watu wanataka kuwa wabunge, kwa kutosaini kanuni, ndoto za watu hawa zimekufa mpaka mwaka 2030, hatuna uhakika kama tutakuwepo , CHADEMA itakuwepo ama laa..lakini tunawasikia viongozi wetu wakisema bora chama kife, nimemsikia Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara John Heche."

"Wanafika mahali wanajaribu kuonesha kwamba bado kuna mlango wa kimiujiza unaweza kufunguka, tumemsikia mwanasheria mkuu wa chama akisema kuwa wanaweza bado kwenda kushiriki uchaguzi, kanuni kifungu cha 1.5 kinasema wazi chama kisichosaini maadili hakitakuwa na haki ya kushiriki uchaguzi, kanuni zimeshachapishwa kwenye gazeti la serikali, sasa ni rasmi kwamba CHADEMA haitashiriki uchaguzi mkuu wa 2025"

"Watu hawa waliokuwa na ndoto za muda mrefu na wengine wamekitumikia chama hiki kwa miaka mingi, ndoto zao zimeuawa kwasababu tu ya kiburi cha viongozi wetu"
 
1745317414888.png
 
Mungu atupe uhai ikifika 2027 mtakuja kuelewa G55 wanachosimamia wapo sahihi kuliko viongozi wenu Lissu na Heche wasojua politics
 
Huyo John Mrema katika yale majimbo 40 aliyoahidiwa Mbowe yeye kuna jimbo alikuwa ametengewa ndiyo maana anapiga mayowe sana, na lingine John hakuwa na plan B ya maisha nje ya ajira aliyokuwa nayo pale Chadema HQ.
 
Tuna mambo mazito sana sasahivi kuliko kukaa na press za wajinga kama hawa,Its Complain or Comply,kama wamecomplain hawajapata wanachotaka basi wa comply,kama hawawezi wahamie CCM au ACT milango ipo wazi kelele za nini?
 
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo, John Mrema amesema kuwa CHADEMA imeua ndoto za wanachama wengi waliotaka kugombea kwenye Uchaguzi ba kuongeza kuwa hana uhakika kuwa kama chama hicho kitakuwepo hadi kufikia mwaka 2030

"Jambo la pili ni chama chetu kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi na kukifanya sasa chama chetu kujiondoa rasmi kwenye uchaguzi. Jambo hili limeua ndoto za wanachama wa CHADEMA, wapo watu wapo CHADEMA kwasababu wanawiwa kuwa madiwani wawawakilishe wananchi kwenye kata zao, wapo akina mama wanawiwa kuwa madiwani wa viti maalumu wakakiwakilishe chama na wananchi wao kwenye kata zao, kina mama hawa ndoto zao zimekufa.

"Wapo watu wanataka kuwa wabunge, kwa kutosaini kanuni, ndoto za watu hawa zimekufa mpaka mwaka 2030, hatuna uhakika kama tutakuwepo , CHADEMA itakuwepo ama laa..lakini tunawasikia viongozi wetu wakisema bora chama kife, nimemsikia Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara John Heche."

"Wanafika mahali wanajaribu kuonesha kwamba bado kuna mlango wa kimiujiza unaweza kufunguka, tumemsikia mwanasheria mkuu wa chama akisema kuwa wanaweza bado kwenda kushiriki uchaguzi, kanuni kifungu cha 1.5 kinasema wazi chama kisichosaini maadili hakitakuwa na haki ya kushiriki uchaguzi, kanuni zimeshachapishwa kwenye gazeti la serikali, sasa ni rasmi kwamba CHADEMA haitashiriki uchaguzi mkuu wa 2025"

"Watu hawa waliokuwa na ndoto za muda mrefu na wengine wamekitumikia chama hiki kwa miaka mingi, ndoto zao zimeuawa kwasababu tu ya kiburi cha viongozi wetu"
Dah

Lissu na heche ni ccm kabisa
 
Tuna mambo mazito sana sasahivi kuliko kukaa na press za wajinga kama hawa,Its Complain or Comply,kama wamecomplain hawajapata wanachotaka basi wa comply,kama hawawezi wahamie CCM au ACT milango ipo wazi kelele za nini?
Ndumuz za chakandumu
 
Wakuu,

Akiwa anazungumza leo, John Mrema amesema kuwa CHADEMA imeua ndoto za wanachama wengi waliotaka kugombea kwenye Uchaguzi ba kuongeza kuwa hana uhakika kuwa kama chama hicho kitakuwepo hadi kufikia mwaka 2030

"Jambo la pili ni chama chetu kutosaini kanuni za maadili ya uchaguzi na kukifanya sasa chama chetu kujiondoa rasmi kwenye uchaguzi. Jambo hili limeua ndoto za wanachama wa CHADEMA, wapo watu wapo CHADEMA kwasababu wanawiwa kuwa madiwani wawawakilishe wananchi kwenye kata zao, wapo akina mama wanawiwa kuwa madiwani wa viti maalumu wakakiwakilishe chama na wananchi wao kwenye kata zao, kina mama hawa ndoto zao zimekufa.

"Wapo watu wanataka kuwa wabunge, kwa kutosaini kanuni, ndoto za watu hawa zimekufa mpaka mwaka 2030, hatuna uhakika kama tutakuwepo , CHADEMA itakuwepo ama laa..lakini tunawasikia viongozi wetu wakisema bora chama kife, nimemsikia Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara John Heche."

"Wanafika mahali wanajaribu kuonesha kwamba bado kuna mlango wa kimiujiza unaweza kufunguka, tumemsikia mwanasheria mkuu wa chama akisema kuwa wanaweza bado kwenda kushiriki uchaguzi, kanuni kifungu cha 1.5 kinasema wazi chama kisichosaini maadili hakitakuwa na haki ya kushiriki uchaguzi, kanuni zimeshachapishwa kwenye gazeti la serikali, sasa ni rasmi kwamba CHADEMA haitashiriki uchaguzi mkuu wa 2025"

"Watu hawa waliokuwa na ndoto za muda mrefu na wengine wamekitumikia chama hiki kwa miaka mingi, ndoto zao zimeuawa kwasababu tu ya kiburi cha viongozi wetu"
HAkika 2025 inafurahisha sana, ccm inatupeleka mzobemzobe, chadema mtifuano, act wanasaini kanuni haramu alafu wanakuja kuzilalamikia 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom