Job Ndugai, Ujumbe Wako Tumeuelewa Tutatekeleza na Kuueneza Watu Wengine Wauelewe.

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,416
73,043
Hakika kama Spika ulipokuwa ofisini kwako ulikuwa na nafasi ya kuelewa mengi na kwa undani zaidi.
Hivyo kama ilivyo, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na dhahiri anakuwa adui wa shetani. Tumeelewa.
Sasa kwa kuenzi huo ukweli aupendao mwenyezi Mungu tumekuelewa na tutausambaza kila kona ya nchi na wale watoboa pua, kuvaa heleni na kupaka ma bleach wanaojiita Wasanii wasambaze huo uongo na kusifia sifia wakikata viuno.
2025 kama uchaguzi utakuwepo baada ya reform tutafanya maamuzi yatakayo washangaza wengi.
 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0004.jpg
    IMG-20250209-WA0004.jpg
    183.7 KB · Views: 1
Hakika kama Spika ulipokuwa ofisini kwako ulikuwa na nafasi ya kuelewa mengi na kwa undani zaidi.
Hivyo kama ilivyo, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na dhahiri anakuwa adui wa shetani. Tumeelewa.
Sasa kwa kuenzi huo ukweli aupendao mwenyezi Mungu tumekuelewa na tutausambaza kila kona ya nchi na wale watoboa pua, kuvaa heleni na kupaka ma bleach wanaojiita Wasanii wasambaze huo uongo na kusifia sifia wakikata viuno.
2025 kama uchaguzi utakuwepo baada ya reform tutafanya maamuzi yatakayo washangaza wengi.
 

Attachments

  • IMG-20250208-WA0018.jpg
    IMG-20250208-WA0018.jpg
    92.1 KB · Views: 1
Hakika kama Spika ulipokuwa ofisini kwako ulikuwa na nafasi ya kuelewa mengi na kwa undani zaidi.
Hivyo kama ilivyo, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na dhahiri anakuwa adui wa shetani. Tumeelewa.
Sasa kwa kuenzi huo ukweli aupendao mwenyezi Mungu tumekuelewa na tutausambaza kila kona ya nchi na wale watoboa pua, kuvaa heleni na kupaka ma bleach wanaojiita Wasanii wasambaze huo uongo na kusifia sifia wakikata viuno.
2025 kama uchaguzi utakuwepo baada ya reform tutafanya maamuzi yatakayo washangaza wengi.
Saa mbovu wakati mwingine huwa inasema Ukweli
 
Usijisaidie (haja kubwa) kabla ya kushusha boxer!
Umekuwaje mbatizaji!?
 
Hakika kama Spika ulipokuwa ofisini kwako ulikuwa na nafasi ya kuelewa mengi na kwa undani zaidi.
Hivyo kama ilivyo, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na dhahiri anakuwa adui wa shetani. Tumeelewa.
Sasa kwa kuenzi huo ukweli aupendao mwenyezi Mungu tumekuelewa na tutausambaza kila kona ya nchi na wale watoboa pua, kuvaa heleni na kupaka ma bleach wanaojiita Wasanii wasambaze huo uongo na kusifia sifia wakikata viuno.
2025 kama uchaguzi utakuwepo baada ya reform tutafanya maamuzi yatakayo washangaza wengi.
Hii haijawahi kuwa na come back pamoja na mapungufu yake lakini hapa alikua ni mzalendo kwa nchi yake
 
Mleta mada atakuwa ametumwa na mumiani wa CCM ili mzee apigwe sumu...

Kujifanya kumsifia leo wakati kipindi hicho anaongea, mlikuwa mnabana pua "anaupiga mwingi"
 
Hakika kama Spika ulipokuwa ofisini kwako ulikuwa na nafasi ya kuelewa mengi na kwa undani zaidi.
Hivyo kama ilivyo, Msema kweli ni mpenzi wa Mungu na dhahiri anakuwa adui wa shetani. Tumeelewa.
Sasa kwa kuenzi huo ukweli aupendao mwenyezi Mungu tumekuelewa na tutausambaza kila kona ya nchi na wale watoboa pua, kuvaa heleni na kupaka ma bleach wanaojiita Wasanii wasambaze huo uongo na kusifia sifia wakikata viuno.
2025 kama uchaguzi utakuwepo baada ya reform tutafanya maamuzi yatakayo washangaza wengi.
Hakika amevimbiwa kwa maneno yako uliyomlisha!
 
Mwigulu Mchemba anahusika na ufisadi wa Trilioni 1.7 za mradi wa SGR halafu kuna machawa wapumbavu kama choice variable wanakwambia serika ya Samia haina wizi...? Mashetani wakubwa nyie siku zenu zinahesabika
 
Back
Top Bottom