Oct 8, 2018
26
15
Good Morning 🌞 for Everyone.
2025
Jipange upya njia uliyoitumia kuyaendea mafanikio na plan zako mwaka 2024 usikubali kurejea nayo kwani adui wamekutegea mikwamo mingi sana pengine mwaka 2025 usifike hata robo ya safari yako ya mafanikio,


Ninachotamani uelewe ni hiki hapa!!
Umekuwa ukifanya Shughuli, Kazi au Biashara kwa mazoea ndio maana matokeo uliyonayo hivi sasa hayaridhishi,


Waza plan uliyoiweka wakati mwaka 2024 ulivyokuwa unaanza mpaka sasa mwaka unaisha umitimiza kwa % ngapi???🤷‍♂️


Unahisi ni kitu gani kilichokukwamisha kutokutimiza malengo yako kwa 100%?🤔 inafaa sasa ubadili mtazamo uache kutenda kama ilivyokuwa kawaida ruhusu mfumo wa akili yako kujifunza upya kuyaendea mafanikio.


Huu ujumbe una maana kubwa sana kwako wewe ulioupokea kwa wakati huu ukiupuuza basi utakuwa sehemu ya wasindikizaji kwenye haya maisha maana hutoweza kuliishi kusudi lako kwenye uso wa Dunia.


Ni mara chache sana watu watakuambia ukweli huu unanafasi ya kushika au kuacha.


SEE YOU AT SUCCESS 🛫
By Augustine Soka


IMG-20241217-WA0039(1).jpg
 
Kwanini mnapenda kutaja neno Adui ?


Asilimia kubwa mnashindwa kufundisha watu namna sahihi ya kuwa responsible na maisha yao.
Naomba nawe mchango wako maana tuko hapa kujifunza kila iitwapo leo ndio maana halisi ya Binadamu no one is perfect 🙏
 
Maisha ni HADITHI tu,,,,,,,,,
Hakika tena yenye kutengenezwa na kila anaeishi...
Hapa kuna maana kubwa sana.
"Maisha ni HADIDHI tu"
Kila mtu anapokuja kwenye uso wa Dunia anakuja kitabu chake kikiwa kitupu yaani (empty) Mimi, Wewe na Yule tunaanza safari na kuandika HADITHI ya maisha yetu kila mtu kwa namna anavyoona inafaa ndipo historia inaanza mpaka tunapotoweka Duniani.

Ukipata kutambua hili utakuwa mtu mwenye HADITHI nzuri itakayosomwa na watu na kuacha alama kwa watu wengine yaani (Legacy) kwa vizazi vyako na kukumbuka tunu ya uwepo wako.

MFANO:-
Mtu anaemiliki mfumo kutengeneza fedha kwenye maisha yake utamfanya aishi sehemu ya ndoto yake na vizazi vyake zaidi ya vitano.

Labda hujanielewa vzr hapa tunatumia mfumo wa JamiiForums Kuna founder na wamiliki wa Share ndani yake Madam mfumo huu unafanya kazi wataendelea kunufaika wao na vizazi vyao vyote halikadhalika Facebook, Instagram, TikTok, Whatsapp, Google n.k Madam watu walielewa kabla hazijaanza kufanya kazi wakawekeza hakuna namna hao watu watakuja kuuishi umasikini wao na vizazi vyao.

Tujifunze Teknolojia ndugu zangu na tuwekeze humo hususani Blockchain tufute historia mbaya kwenye Familia zetu na koo zetu tuandike historia mpya.
Taarifa zipo maeneo mbali mbali duniani ni wewe kuamua kujifunza tu
Kasome METAVERSE, NFTS, CRYPTOCURRENCY na FOREX
 
Back
Top Bottom