Jinsi ya kutuma na kupokea Emails direct kwenye simu. Msaada tafadhali.

Msafiri Kasian

JF-Expert Member
Sep 9, 2011
2,133
663
Ninatumia Nokia N72, ina huduma ya kutuma na kupokea email kwenye simu.

Nimeshindwa kutumia huduma hii, nikijaribu kutuma email inakataa kwenda, na inanipa ujumbe huu; 'WEB: SERVER NOT FOUND ' sijajua tatizo ni nini?
Naomba kwa yeyote mwenye uelewa anisaidie tafadhali. Asante.
 
Cha kwanza fungua email account ie. Live, aol, yahoo, gmail, vodamail etc. Kisha nenda kwenye messages, email, settings hapo waweza create account na hiyo client ina nafasi za kujaza ie. Standard configuration instructions:
Incoming Mail (POP3) Server -
requires SSL:
pop.gmail.com
Use SSL: Yes
Port: 995
Outgoing Mail (SMTP) Server -
requires TLS or SSL:
smtp.gmail.com
Use Authentication: Yes
Port for TLS/STARTTLS: 587
Port for SSL: 465
Server timeouts
Greater than 1 minute, we recommend
5
Full Name or Display Name:
[your name]
Account Name or User Name:
your full email address (including @
gmail.com or your_domain.com)
Email Address:
your email address (username@
gmail.com or username@your_
domain.com)
Password:
your Gmail password
Unless you're using recent mode to
download mail to multiple clients, make
sure you've opted not to leave
messages on the server. Your POP
settings in Gmail settings are what
determines whether or not messages
stay on the server, so this setting in
your client won't affect how Gmail
handles your mail.
If your client does not support SMTP
authentication, you won't be able to
send mail through your client using
your Gmail address.
If you're having trouble sending mail
but you've confirmed that encryption is
active for SMTP in your mail client, try
to configure your SMTP server on a
different port (465 or 587). Hii Gmail nilikuwaga naitumia kwenye slvr l7 mwaka 2007 lakini miaka ilivyozidi kwenda ikawa inaniandikia invalid certificate nikahamia hizo zingine ila sikufunga account.
 
Last edited by a moderator:
Cha kwanza fungua email account ie. Live, aol, yahoo, gmail, vodamail etc. Kisha nenda kwenye messages, email, settings hapo waweza create account na hiyo client ina nafasi za kujaza ie. Standard configuration instructions:
Incoming Mail (POP3) Server -
requires SSL:
pop.gmail.com
Use SSL: Yes
Port: 995
Outgoing Mail (SMTP) Server -
requires TLS or SSL:
smtp.gmail.com
Use Authentication: Yes
Port for TLS/STARTTLS: 587
Port for SSL: 465
Server timeouts
Greater than 1 minute, we recommend
5
Full Name or Display Name:
[your name]
Account Name or User Name:
your full email address (including @
gmail.com or your_domain.com)
Email Address:
your email address (username@
gmail.com or username@your_
domain.com)
Password:
your Gmail password
Unless you're using recent mode to
download mail to multiple clients, make
sure you've opted not to leave
messages on the server. Your POP
settings in Gmail settings are what
determines whether or not messages
stay on the server, so this setting in
your client won't affect how Gmail
handles your mail.
If your client does not support SMTP
authentication, you won't be able to
send mail through your client using
your Gmail address.
If you're having trouble sending mail
but you've confirmed that encryption is
active for SMTP in your mail client, try
to configure your SMTP server on a
different port (465 or 587). Hii Gmail nilikuwaga naitumia kwenye slvr l7 mwaka 2007 lakini miaka ilivyozidi kwenda ikawa inaniandikia invalid certificate nikahamia hizo zingine ila sikufunga account.

mkuu ngoja nijaribu kufuata hizo procedures kama ntafanikiwa.
 
Last edited by a moderator:
Cha kwanza fungua email account ie. Live, aol, yahoo, gmail, vodamail etc. Kisha nenda kwenye messages, email, settings hapo waweza create account na hiyo client ina nafasi za kujaza ie. Standard configuration instructions:
Incoming Mail (POP3) Server -
requires SSL:
pop.gmail.com
Use SSL: Yes
Port: 995
Outgoing Mail (SMTP) Server -
requires TLS or SSL:
smtp.gmail.com
Use Authentication: Yes
Port for TLS/STARTTLS: 587
Port for SSL: 465
Server timeouts
Greater than 1 minute, we recommend
5
Full Name or Display Name:
[your name]
Account Name or User Name:
your full email address (including @
gmail.com or your_domain.com)
Email Address:
your email address (username@
gmail.com or username@your_
domain.com)
Password:
your Gmail password
Unless you're using recent mode to
download mail to multiple clients, make
sure you've opted not to leave
messages on the server. Your POP
settings in Gmail settings are what
determines whether or not messages
stay on the server, so this setting in
your client won't affect how Gmail
handles your mail.
If your client does not support SMTP
authentication, you won't be able to
send mail through your client using
your Gmail address.
If you're having trouble sending mail
but you've confirmed that encryption is
active for SMTP in your mail client, try
to configure your SMTP server on a
different port (465 or 587). Hii Gmail nilikuwaga naitumia kwenye slvr l7 mwaka 2007 lakini miaka ilivyozidi kwenda ikawa inaniandikia invalid certificate nikahamia hizo zingine ila sikufunga account.

Mkuu SuperImpressor nimefanikiwa kuweka hizo settings kama ulivyo niambia, sasa kutuma email zinaenda ila nikitumiwa mimi haziji kwenye simu, zinaishia kwenye inbox ya email (gmail) yangu. Nifanyeje? Asante.
 
Last edited by a moderator:
Hebu angalia kipengele hiki
Incoming Mail (POP3) Server -
requires SSL:
pop.gmail.com
Use SSL: Yes
Port: 995
Kama umejaza hivyo na hukufanikiwa, basi angalia mda ulioseti wa hiyo client kujiConnect automatically ili kuangalia email zilizopo na kama umeseti distance ndefu basi zitakuwa zinachelewa na kama distance ni fupi basi unatakiwa kwenda manually kwenye inbox ili kuconnet moja kwa moja . Note: Gmail wakati mwingine certificate zake huwa zinasumbua ukiona vipi tumia account za Microsoft, Yahoo au Aol
 
Nenda Nokia store uka download application inaitwa Emoze push mail.
 
Ninatumia Nokia N72, ina huduma ya kutuma na kupokea email kwenye simu.

Nimeshindwa kutumia huduma hii, nikijaribu kutuma email inakataa kwenda, na inanipa ujumbe huu; 'WEB: SERVER NOT FOUND ' sijajua tatizo ni nini?
Naomba kwa yeyote mwenye uelewa anisaidie tafadhali. Asante.

Uza hiyo nunua sumsug galaxy min 2 utaenjoy.
 
Nenda Nokia store uka download application inaitwa Emoze push mail.

nimejarbu nikapata ujumbe huu; 'Sorry, this item is not
available for the
Nokia N72.
Browse more great
content in the
"Related" section below.'
+255
 
Last edited by a moderator:
Hebu angalia kipengele hiki
Incoming Mail (POP3) Server -
requires SSL:
pop.gmail.com
Use SSL: Yes
Port: 995
Kama umejaza hivyo na hukufanikiwa, basi angalia mda ulioseti wa hiyo client kujiConnect automatically ili kuangalia email zilizopo na kama umeseti distance ndefu basi zitakuwa zinachelewa na kama distance ni fupi basi unatakiwa kwenda manually kwenye inbox ili kuconnet moja kwa moja . Note: Gmail wakati mwingine certificate zake huwa zinasumbua ukiona vipi tumia account za Microsoft, Yahoo au Aol

nimejaza kila kitu kama ulivyoelekeza, ila sijaona kipengele hiki 'Use SSL: Yes'. Kama vipi nijaribu kumia hotmail kama itakubali.
 
Back
Top Bottom