Jinsi ya kuacha punyeto

fredick

Member
Aug 21, 2024
7
12
wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto...

NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU

SOMO MUHIMU*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:-

➡️Andaa calendar ya mwezi mzima

➡️Kisha amua na sema nimeacha kuanzia leo.

➡️Kisha jiwekee target mfano, nataka ndani ya huu mwezi mzima nisipoge punyeto, yaani ndani ya siku 30. Anzia hapo kwanza.

➡️Weka alama ya tiki ☑️ kwenye calendar yako kila siku ambayo itapita bila kupiga. Yaani umefanikiwa

➡️Kisha jiambie mimi ni mshindi kwenye kila siku ambayo itapita bila kupiga punyeto. 💪🏿💪🏿💪🏿

➡️Jipongeze katika siku hiyo kwa kitu chochote hata kama ni kidogo, mfano. Jipongeze kwa kununua apple 🍎 au tunda lolote ulipendalo, au kitu chochote

➡️Siku ambayo utapiga utaweka alama ya kosa ✖️ kwenye calendar yako, kisha ratiba nzima itaharibika na utatakiwa uanze upya.

➡️Baada ya mwezi kuisha ukafanikiwa kujizuia, unaendelea na challenge yako, utasema sasa nataka nikae miezi miwili bila kupiga, utandaa calendar ya miezi miwili

➡️Utaendelea na utaratibu huu hadi mwaka, mpaka pale itakapo acha kabisa

Jiulize yafuatayo ili uweze kuacha:-

1. Hii punyeto ina faida gani kwangu????

2. Kwani nikiacha itatokea nini kwenye mwili wangu???

3. Hivi ninavyozidi kupiga si ndio jazidi kupata madhara????

4. Hivi na utu uzima wangu kweli nafanya kitendo hiki???

5. Hivi sina kazi au ndoto zozote za kimaisha mpaka napiga punyeto????

6. Hivi nitafanya hivi hadi lini????

Kisha sema nimechoka na utumwa huu, leo ndio mwisho!!!!

Kisha fanya yafuatayo:-
1. Kama ulikuwa unaangalia video na picha za ngono acha kuanzia leo.

2. Futa video zote na picha zote kwenye simu, laptop, cd au flash

3. Epuka kukaa mwenyewe mda mrefu hasa ukiwa sehemu faragha

4. Tumia muda mfupi ukiwa chooni

5. Usichezee nyeti zako

6. Acha kuangalia au kusikiliza story za kimapenzi

7. Jiondoe kwenye magroup yote ya kimapenzi na ngono

8. Jiambie mimi ni mtu mpya sasa

9. Wasiliana nami bure kabisa kila utakapohisi unataka kupiga punyeto

NB. Punyeto ni hatari na haina faida yoyote kwako zaidi unazidi kujimaliza na unakaribia kuwa hanisi.

Acha leo, upo tayari kuacha???

Upo tayari kuanza hii challange??

Nambia kama umeacha kuanzia leo
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Pia soma:Tujadili kuhusu madhara ya punyeto na jinsi ya kuacha
 
wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto...

NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU

SOMO MUHIMU*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:-

➡️Andaa calendar ya mwezi mzima

➡️Kisha amua na sema nimeacha kuanzia leo.

➡️Kisha jiwekee target mfano, nataka ndani ya huu mwezi mzima nisipoge punyeto, yaani ndani ya siku 30. Anzia hapo kwanza.

➡️Weka alama ya tiki ☑️ kwenye calendar yako kila siku ambayo itapita bila kupiga. Yaani umefanikiwa

➡️Kisha jiambie mimi ni mshindi kwenye kila siku ambayo itapita bila kupiga punyeto. 💪🏿💪🏿💪🏿

➡️Jipongeze katika siku hiyo kwa kitu chochote hata kama ni kidogo, mfano. Jipongeze kwa kununua apple 🍎 au tunda lolote ulipendalo, au kitu chochote

➡️Siku ambayo utapiga utaweka alama ya kosa ✖️ kwenye calendar yako, kisha ratiba nzima itaharibika na utatakiwa uanze upya.

➡️Baada ya mwezi kuisha ukafanikiwa kujizuia, unaendelea na challenge yako, utasema sasa nataka nikae miezi miwili bila kupiga, utandaa calendar ya miezi miwili

➡️Utaendelea na utaratibu huu hadi mwaka, mpaka pale itakapo acha kabisa

Jiulize yafuatayo ili uweze kuacha:-

1. Hii punyeto ina faida gani kwangu????

2. Kwani nikiacha itatokea nini kwenye mwili wangu???

3. Hivi ninavyozidi kupiga si ndio jazidi kupata madhara????

4. Hivi na utu uzima wangu kweli nafanya kitendo hiki???

5. Hivi sina kazi au ndoto zozote za kimaisha mpaka napiga punyeto????

6. Hivi nitafanya hivi hadi lini????

Kisha sema nimechoka na utumwa huu, leo ndio mwisho!!!!

Kisha fanya yafuatayo:-
1. Kama ulikuwa unaangalia video na picha za ngono acha kuanzia leo.

2. Futa video zote na picha zote kwenye simu, laptop, cd au flash

3. Epuka kukaa mwenyewe mda mrefu hasa ukiwa sehemu faragha

4. Tumia muda mfupi ukiwa chooni

5. Usichezee nyeti zako

6. Acha kuangalia au kusikiliza story za kimapenzi

7. Jiondoe kwenye magroup yote ya kimapenzi na ngono

8. Jiambie mimi ni mtu mpya sasa

9. Wasiliana nami bure kabisa kila utakapohisi unataka kupiga punyeto

NB. Punyeto ni hatari na haina faida yoyote kwako zaidi unazidi kujimaliza na unakaribia kuwa hanisi.

Acha leo, upo tayari kuacha???

Upo tayari kuanza hii challange??

Nambia kama umeacha kuanzia leo
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Pia soma:Tujadili kuhusu madhara ya punyeto na jinsi ya kuacha
🤣Washaur mnapenda sana kurahisisha viatu hy c rahisi kama unavyofkir
 
wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto...

NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU

SOMO MUHIMU*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:-

➡️Andaa calendar ya mwezi mzima

➡️Kisha amua na sema nimeacha kuanzia leo.

➡️Kisha jiwekee target mfano, nataka ndani ya huu mwezi mzima nisipoge punyeto, yaani ndani ya siku 30. Anzia hapo kwanza.

➡️Weka alama ya tiki ☑️ kwenye calendar yako kila siku ambayo itapita bila kupiga. Yaani umefanikiwa

➡️Kisha jiambie mimi ni mshindi kwenye kila siku ambayo itapita bila kupiga punyeto. 💪🏿💪🏿💪🏿

➡️Jipongeze katika siku hiyo kwa kitu chochote hata kama ni kidogo, mfano. Jipongeze kwa kununua apple 🍎 au tunda lolote ulipendalo, au kitu chochote

➡️Siku ambayo utapiga utaweka alama ya kosa ✖️ kwenye calendar yako, kisha ratiba nzima itaharibika na utatakiwa uanze upya.

➡️Baada ya mwezi kuisha ukafanikiwa kujizuia, unaendelea na challenge yako, utasema sasa nataka nikae miezi miwili bila kupiga, utandaa calendar ya miezi miwili

➡️Utaendelea na utaratibu huu hadi mwaka, mpaka pale itakapo acha kabisa

Jiulize yafuatayo ili uweze kuacha:-

1. Hii punyeto ina faida gani kwangu????

2. Kwani nikiacha itatokea nini kwenye mwili wangu???

3. Hivi ninavyozidi kupiga si ndio jazidi kupata madhara????

4. Hivi na utu uzima wangu kweli nafanya kitendo hiki???

5. Hivi sina kazi au ndoto zozote za kimaisha mpaka napiga punyeto????

6. Hivi nitafanya hivi hadi lini????

Kisha sema nimechoka na utumwa huu, leo ndio mwisho!!!!

Kisha fanya yafuatayo:-
1. Kama ulikuwa unaangalia video na picha za ngono acha kuanzia leo.

2. Futa video zote na picha zote kwenye simu, laptop, cd au flash

3. Epuka kukaa mwenyewe mda mrefu hasa ukiwa sehemu faragha

4. Tumia muda mfupi ukiwa chooni

5. Usichezee nyeti zako

6. Acha kuangalia au kusikiliza story za kimapenzi

7. Jiondoe kwenye magroup yote ya kimapenzi na ngono

8. Jiambie mimi ni mtu mpya sasa

9. Wasiliana nami bure kabisa kila utakapohisi unataka kupiga punyeto

NB. Punyeto ni hatari na haina faida yoyote kwako zaidi unazidi kujimaliza na unakaribia kuwa hanisi.

Acha leo, upo tayari kuacha???

Upo tayari kuanza hii challange??

Nambia kama umeacha kuanzia leo
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Pia soma:Tujadili kuhusu madhara ya punyeto na jinsi ya kuacha
Sio rahisi kiivo
 
Ukiona tu vpn mawazo yanayokuja we acha tu,
kama ulevi fulani, sigara,pombe,kubet
Dalili za mpiga nyeto,mvi kabla muda,kipara nk..
Ukizoea sana Mwanaume hutongozi,unaringa eti
Unadhani kuna pipi zinauzwa er.ec5to sababu gani?
 
Solution ni kutafuta pesa kias kwamba wanawake warembo woote wanakupapatikia wewe muda wote hivyo utalazimika kutunza nguvu za kuwanyoosha na muda wote utakua hoi hilo wazo la Nyeto hutolipata labda uwe kujienzi tu mara moja moja.

#Na njia nyingine nzuri ni kuireview video ya yule mwanetu aliejifia kazini.
 
OLE WAO WAGEUZAO VIGANJA VYAO KUWA UCHI WA MWANAMKE...siku ya mwisho watakabidhiwa malori yaliyojaa watoto wao walio nusu nusu wawalee...
 
wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto...

NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU

SOMO MUHIMU*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:-

➡️Andaa calendar ya mwezi mzima

➡️Kisha amua na sema nimeacha kuanzia leo.

➡️Kisha jiwekee target mfano, nataka ndani ya huu mwezi mzima nisipoge punyeto, yaani ndani ya siku 30. Anzia hapo kwanza.

➡️Weka alama ya tiki ☑️ kwenye calendar yako kila siku ambayo itapita bila kupiga. Yaani umefanikiwa

➡️Kisha jiambie mimi ni mshindi kwenye kila siku ambayo itapita bila kupiga punyeto. 💪🏿💪🏿💪🏿

➡️Jipongeze katika siku hiyo kwa kitu chochote hata kama ni kidogo, mfano. Jipongeze kwa kununua apple 🍎 au tunda lolote ulipendalo, au kitu chochote

➡️Siku ambayo utapiga utaweka alama ya kosa ✖️ kwenye calendar yako, kisha ratiba nzima itaharibika na utatakiwa uanze upya.

➡️Baada ya mwezi kuisha ukafanikiwa kujizuia, unaendelea na challenge yako, utasema sasa nataka nikae miezi miwili bila kupiga, utandaa calendar ya miezi miwili

➡️Utaendelea na utaratibu huu hadi mwaka, mpaka pale itakapo acha kabisa

Jiulize yafuatayo ili uweze kuacha:-

1. Hii punyeto ina faida gani kwangu????

2. Kwani nikiacha itatokea nini kwenye mwili wangu???

3. Hivi ninavyozidi kupiga si ndio jazidi kupata madhara????

4. Hivi na utu uzima wangu kweli nafanya kitendo hiki???

5. Hivi sina kazi au ndoto zozote za kimaisha mpaka napiga punyeto????

6. Hivi nitafanya hivi hadi lini????

Kisha sema nimechoka na utumwa huu, leo ndio mwisho!!!!

Kisha fanya yafuatayo:-
1. Kama ulikuwa unaangalia video na picha za ngono acha kuanzia leo.

2. Futa video zote na picha zote kwenye simu, laptop, cd au flash

3. Epuka kukaa mwenyewe mda mrefu hasa ukiwa sehemu faragha

4. Tumia muda mfupi ukiwa chooni

5. Usichezee nyeti zako

6. Acha kuangalia au kusikiliza story za kimapenzi

7. Jiondoe kwenye magroup yote ya kimapenzi na ngono

8. Jiambie mimi ni mtu mpya sasa

9. Wasiliana nami bure kabisa kila utakapohisi unataka kupiga punyeto

NB. Punyeto ni hatari na haina faida yoyote kwako zaidi unazidi kujimaliza na unakaribia kuwa hanisi.

Acha leo, upo tayari kuacha???

Upo tayari kuanza hii challange??

Nambia kama umeacha kuanzia leo
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾

Pia soma:Tujadili kuhusu madhara ya punyeto na jinsi ya kuacha
Nyeto haiachwi Ivo ni either uwe na KAZI au demu
 
Raha jipe mwenyewe na nikikumbuka ela gest 15k, chakula 20k ya kumpoza 30k....alafu k mbovu na show mbovu......alafu ukichek stock ya mchelee ndani inakata unaona bora ujiburudishe mwenyewe mkuyenge.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom