Jinsi nchi za Magharibi zinavyohujumu miradi inayofanywa na Wachina barani Afrika

Kinyungu

JF-Expert Member
Apr 6, 2008
19,383
38,302
Mradi wa ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo ilikuwa uwe moja ya flagship kubwa sana ya Belt and Road ya Wachina hapa Africa. Lakini kwa sababu amabzo hazieleweki hadi leo bandari haikujengwa ingawa serikali ilishaingia harasa kullipa watu fidia.

Kwenye video fupi hapa chini jamaa anaelezea mfano wa nchi ya Africa MAgharibi na kuonesha jinsi West wanavyofanya kuhujumu miradi kama hii inayofanywa na Wachina hapa Africa.

Viongozi wetu lazima wajiongeze maana kadri tunavyotaka kujikomboa kiuchumi wao wanabuni mbinu mpya za kutuhujumu ili tusiweze kuendelea.

 
Mradi wa ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo ilikuwa uwe moja ya flagship kubwa sana ya Belt and Road ya Wachina hapa Africa. Lakini kwa sababu amabzo hazieleweki hadi leo bandari haikujengwa ingawa serikali ilishaingia harasa kullipa watu fidia.

Kwenye video fupi hapa chini jamaa anaelezea mfano wa nchi ya Africa MAgharibi na kuonesha jinsi West wanavyofanya kuhujumu miradi kama hii inayofanywa na Wachina hapa Africa.

Viongozi wetu lazima wajiongeze maana kadri tunavyotaka kujikomboa kiuchumi wao wanabuni mbinu mpya za kutuhujumu ili tusiweze kuendelea.

Kwa hali hii wanaostahili kutekwa wataongezeka. Mipango michafu ya magharibi LAZIMA ikutane na wenyeji ili iweze kukamilika. Hawa wenyeji hawa lazima tuwamulike tuwajue ni akina nani hasa.
 
Kwa hali hii wanaostahili kutekwa wataongezeka. Mipango michafu ya magharibi LAZIMA ikutane na wenyeji ili iweze kukamilika. Hawa wenyeji hawa lazima tuwamulike tuwajue ni akina nani hasa.
Wanaoanza kuingizwa kingi ni viongozi na taasisi za usalama kwa ujumla hawa wagonga nyundo wanakuwa wa mwisho kabisa kwenye utekelezaji. Hata ukiwateka ni kuwaonea tu
 
Mradi wa ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo ilikuwa uwe moja ya flagship kubwa sana ya Belt and Road ya Wachina hapa Africa. Lakini kwa sababu amabzo hazieleweki hadi leo bandari haikujengwa ingawa serikali ilishaingia harasa kullipa watu fidia.

Kwenye video fupi hapa chini jamaa anaelezea mfano wa nchi ya Africa MAgharibi na kuonesha jinsi West wanavyofanya kuhujumu miradi kama hii inayofanywa na Wachina hapa Africa.

Viongozi wetu lazima wajiongeze maana kadri tunavyotaka kujikomboa kiuchumi wao wanabuni mbinu mpya za kutuhujumu ili tusiweze kuendelea.

Ni kupoteza muda bure kuwahujumu watu wasio na akili.
 
Kwa hali hii wanaostahili kutekwa wataongezeka. Mipango michafu ya magharibi LAZIMA ikutane na wenyeji ili iweze kukamilika. Hawa wenyeji hawa lazima tuwamulike tuwajue ni akina nani hasa.
Nani ana stahili kutekwa na kwa sababu gani ?
 
Wanaoanza kuingizwa kingi ni viongozi na taasisi za usalama kwa ujumla hawa wagonga nyundo wanakuwa wa mwisho kabisa kwenye utekelezaji. Hata ukiwateka ni kuwaonea tu
Wana ingizwa kingi na nani ?
 
Back
Top Bottom