E eddy JF-Expert Member Dec 26, 2007 15,637 10,813 Aug 6, 2016 #1 Katika hali ya kudhibiti ukusanyaji wa mapato sasa hivi jiji la mwanza wanatumia mashine za EFD kukusanya mapato badala ya risiti za kawaida, hongera sana uongozi wa jiji chini ya wabunge mahiri akina Mabula na mameya wao makini.
Katika hali ya kudhibiti ukusanyaji wa mapato sasa hivi jiji la mwanza wanatumia mashine za EFD kukusanya mapato badala ya risiti za kawaida, hongera sana uongozi wa jiji chini ya wabunge mahiri akina Mabula na mameya wao makini.