Naona wamevaa sandaTimu ya Simba imetambulisha rasmi jezi zake itakazozitumia msimu wa 2024/25.
Karibu kutazama uzi huo.
View attachment 3050879View attachment 3050880View attachment 3050882View attachment 3050875
Jezi ni kali sana, ila hiyo loophole hata wapinzani wao wataitumia sana. Ni uvivu wa watz kufikiri tu, mbona zilizopita aliandika full namewangeandika tu Sandaland kuliko kuandika "sanda".
Kazi ya sanda ni nini?,kazi ya sanda ni kuzikia marehemu.
wapuuzi sana Hawa,Sanda! Watavaa wenyewe sokoni yaaan wasitoe huo upuuzi.Jezi ni kali hakuna ubishi. Lakini neno Sanda linalalamikiwa sana. Hata mimi at first point nimeona hilo neno ubongo uka click. Inakuwaje jopo zima lisione hiyo athari kwenye mauzo?
MbayaaaaTimu ya Simba imetambulisha rasmi jezi zake itakazozitumia msimu wa 2024/25.
Karibu kutazama uzi huo.
View attachment 3050879View attachment 3050880View attachment 3050882View attachment 3050875
wapuuzi sana Hawa,Sanda! Watavaa wenyewe sokoni yaaan wasitoe huo upuuzi.
Nashangaa aisee,Mtu wa Marketing wa Simba na Sandaland ni wakutiliwa shaka na kufukuzwa kazi.View attachment 3050921
Jezi ni kali no doubt, ila ilikuwa wasione hilo doa, wabongo wavivu sana wa kufikiri