Kuelekea 2025 Jeshi la Polisi: Tumepata taarifa CHADEMA wanapanga Maandamano na Kuvamia Vituo vya Polisi Dar kwa wakati mmoja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
3,452
13,070
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezi kujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na:David A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
1725006383907.png
 
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezikujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na:David A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
View attachment 3082616
Sijawahi kuona waraka wa kijinga kama huu.
Wahamasishane Zoom kwa siri?🤣
Wana silaha za kupambana na polisi wanaovaa mpaka bullet proof Vests wakisheheni silaha za kivita?🥴
Njia dhaifu ya kututoa kwenye Reli juu ya Afande na mawakili wake wanne wa wabakaji na kutekwa kwa kina Soka.
 
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezikujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na:David A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
View attachment 3082616
Kiwanda kimeanza kufanyakazi ya usindikaji wa taarifa za uzushi.
 
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezikujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na:David A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
View attachment 3082616
Kamatieni hao ,mnawachekea wa nini? M7 na Kagame Huwa hawacheki na Kima
 
Sasa ni dhahiri Jeshi la Polisi limeamua kutumika bila hata kutumia akili

Hebu soma hii

Screenshot_2024-08-30-12-24-34-1.png
Screenshot_2024-08-30-12-24-52-1.png


Jeshi la Polisi: CHADEMA imepanga kuhamasisha vijana kuvamia vituo vya Polisi
IMG-20230902-WA0019.jpg

Kufuatia Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kueleza kuwa hakuna uthibitisho unaoonesha kuwa viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) wanashikiliwa na polisi na kuamuru viongozi hao kutafutwa mahali walipo, Jeshi la Polisi limesema limepata taarifa za uhakika kuhusu viongozi wa chama hicho kupanga vitendo vya kiuhalifu vitakavyohatarisha amani.

Katika taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi, imesema viongozi wa CHADEMA wamefanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana waanze kuhamasisha wafuasi wa chama hicho kufanya maandamano ya kuelekea maeneo mbalimbali zikiwemo ofisi mbalimbali.

Sambamba na hilo, taarifa hiyo imesema walipanga kuhamasisha na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vya polisi vilivyopo jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

“Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu, kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake ni kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yao, atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi,” imeeleza taarifa.

Aidha, taarifa hiyo imesisitiza kuwa “yeyote atakayefika kituo chochote cha Polisi kwa nia ovu, tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria. “

Screenshot_2024-08-30-13-01-21-1.png
 
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezikujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na:David A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
View attachment 3082616
Nchi ina vituko sana
 
TAARIFA KWA UMMA

Agosti 28, 2024 Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilitoa maamuzi yakekuhusiana na_ shauri lililowasilishwa mbele yake ambapo miongoni mwamaamuzi iliyotoa ni pamoja na kutoa amri kwa Jeshi la Polisi kufanya upelelezikujua mahali walipo Viongozi wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA),Wilaya ya Temeke, (Deusdedit Soka na wenzake wawili) Jeshi la Polisi lilipokeaamri hiyo na kuongeza nguvu katika upelelezi ambao lilishaanza toka awalibaada ya kuripotiwa kupotea kwa viongozi hao.

Baada ya maamuzi hayo ya Mahakama Kuu, Jeshi la Polisi limepata taarifa zauhakika za Viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kufanya kikao kwa njia ya kielekroniki (zoom) na kukubaliana kwa vilehawajaridhika na maamuzi hayo ya mahakama kwa sababu hayakuakisimalengo yao, wafanye yafuatayo;
i) Waanze kuhamasisha wafuasi wao chinichini kufanya maandamano yakuelekea maeneo mbalimbali zikiwepo ofisi mbalimbali.
ii)Wahamasishe na kuunda vikundi vya vijana wapatao 20 wavamie vituo vyaPolisi vilivyopo Jijini Dar es Salaam kwa wakati mmoja.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kwa yeyote atakaye endelea kuratibu,kuhamasisha na kushiriki katika uhalifu huo wakupangwa ambao lengo lake nikutaka kuvuruga amani ya nchi yetu baada ya kushindwa kwa mikakati yaoatashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria za nchi.

Jeshi la Polisi lingependa kusisitiza atakaye fika kituo chochote cha Polisi kwania ovu tumejiandaa na atashughulikiwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria.Imetolewa na:David A. Misime - DCPMsemaji wa Jeshi la PolisiMakao Makuu ya PolisiDodoma, Tanzania.
View attachment 3082616
Huongo
 
Zoom si kila mmoja anasikia sasa mtapangaje siri za zoom? UONE UONGO WA POLISI/CCM

Zoom is a communications platform that allows users to connect with video, audio, phone, and chat. Using Zoom requires an internet connection and a supported device. Most new users will want to start by creating an account and downloading the Zoom Client for Meetings.


MY TAKE MSIJISUMBUE NA UCHAGUZI, KUNA VIFO VINGI VINAKUJA KWA STAILI HII!
 
Zoom si kila mmoja anasikia sasa mtapangaje siri za zoom? UONE UONGO WA POLISI/CCM

Zoom is a communications platform that allows users to connect with video, audio, phone, and chat. Using Zoom requires an internet connection and a supported device. Most new users will want to start by creating an account and downloading the Zoom Client for Meetings.


MY TAKE MSIJISUMBUE NA UCHAGUZI, KUNA VIFO VINGI VINAKUJA KWA STAILI HII!
Mbinu zile zile za kizamani za Mbowe anapanga kuchoma vituo vya mafuta na kukata miti na kuiweka barabarani kuanzia Dar hadi Mbeya
 
Back
Top Bottom