Jeshi la polisi Mbeya limewakamata watu watano kwa kuhusika na mchezo wa upatu wa LBL

the guardian 17

JF-Expert Member
Aug 15, 2024
334
489
Jeshi la Polisi jijini Mbeya limewakamata watu watano akiwemo Meneja wa LBL Mbeya kwa kosa la kuendesha mchezo wa upatu bila kuwa na kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania kama sheria zinavyoelekeza.

Soma pia: Jeshi la Polisi Morogoro lawakamata maofisa saba wa LBL kwa tuhuma za biashara haramu ya fedha

Miongoni mwa waliokamatwa ni Gerald Masanja (31) Meneja wa kampuni ya LBL Mbeya, Safina Mwamwezi (23), Eda William (29), wengine ni Yohana Mkinda (29), Maklini sinkara (23)

"Uchunguzi wa awali umebaini kuwa kampuni ya LBL Mbeya Limited imekuwa ikikusanya fedha kwa kutumia mtandao kutoka kwa wananchi pasipo kufuata taratibu zozote za kisheria" - Wilbert Siwa, Kamanda wa Mbeya


Soma
 
Jeshi la Polisi jijini Mbeya limewakamata watu watano akiwemo Meneja wa LBL Mbeya kwa kosa la kuendesha mchezo wa upatu bila kuwa na kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania kama sheria zinavyoelekeza.

Miongoni mwa waliokamatwa ni Gerald Masanja (31) Meneja wa kampuni ya LBL Mbeya, Safina Mwamwezi (23), Eda William (29), wengine ni Yohana Mkinda (29), Maklini sinkara (23)

"Uchunguzi wa awali umebaini kuwa kampuni ya LBL Mbeya Limited imekuwa ikikusanya fedha kwa kutumia mtandao kutoka kwa wananchi pasipo kufuata taratibu zozote za kisheria" - Wilbert Siwa, Kamanda wa Mbeya
View attachment 3242753
MKUU SIASA HIZI

NANI HAKUWA ANAIONA LBL

HAIJUI LBL

LEO WANADAI HAINA KIBALI KWELII

KAZIIENDELEE
 
Jeshi la Polisi jijini Mbeya limewakamata watu watano akiwemo Meneja wa LBL Mbeya kwa kosa la kuendesha mchezo wa upatu bila kuwa na kibali kutoka Benki Kuu ya Tanzania kama sheria zinavyoelekeza.

Miongoni mwa waliokamatwa ni Gerald Masanja (31) Meneja wa kampuni ya LBL Mbeya, Safina Mwamwezi (23), Eda William (29), wengine ni Yohana Mkinda (29), Maklini sinkara (23)

"Uchunguzi wa awali umebaini kuwa kampuni ya LBL Mbeya Limited imekuwa ikikusanya fedha kwa kutumia mtandao kutoka kwa wananchi pasipo kufuata taratibu zozote za kisheria" - Wilbert Siwa, Kamanda wa Mbeya
View attachment 3242753

Pame anza kuchangamkaa. tatizo la serikari yetu ni tamaa ya fedha zinazo patikana kwa ushuru awaangalii madhara kwa jamii.
 
NANI ASIEJUA YALE MAKAMPUNI

KOPA PESA

MICROPESA

KIKIPESA

NK

YAMEIBIAAA WATU WEEEEE

TUKAANDIKA HUMU KILA SIKU BOT HAMUONI HAWA

MBONA MWISHO WANAANDIKA WAKASAJILIWE HAWANA RUHUSA

YAAN WANAFANYA WIZI WA MTANDAON MIAKA ZAIDI YA 3 UNASEMA LEO HII HAWANA VIBALI KWELI

NILISEMA SUBIRI KUNA NDUGUZAO WATALIZWA NDIO WAJUE UCHUNGU WA MAKAMPUNI YA MTANDAO
 
Back
Top Bottom