Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,442
- 40,537
Jemedari said kasema uwezo wa wachezaji toka nje waliosajiliwa Simba na Yanga , uhalali wao wa kusajiliwa unatakiwa uonekane kwenye mechi za kimataifa na siyo kwenye mechi za ndani ya nchi.
Ana hoja, asikilizwe.
Ana hoja, asikilizwe.