Je, ubongo tu ndio msimamizi mkuu wa shughuli zote za mwili au kuna kitu kingine?

Ben-adam

JF-Expert Member
Jun 2, 2023
959
2,094
Wakuu,

Kuna kitu huwa najiuliza sijawahi kupata majibu ya kuridhisha!

Mimi ninachojua; ubongo upo kichwani, uwe ni unaohusika na mambo ya hiari, yasiyo ya hiyari, upo Kichwani.

Swali: kinachofanya kiwiliwili kuruka ruka baada ya kukitenganisha na kichwa ni nini, matendo yanayofanywa muda huo yanaongozwa na nini ikiwa kichwa kimeondolewa?

Mimi sielewi!
 
kwasababu mwili unakuwa bado unauhai na misuli inakuwa inanguvu bado isipokuwa tu imekosa muongozo ama utaratibu ni sawa na gari la semi lipo kwenye mwendo halafu kichwa cha gari kitoke ghafla,body ya gari itaendelea kwenda maana iliachwa kwenye movement ila tu haitakwenda kwa muongozo sahihi!.
moja kati ya sifa ya uhai ni kwamba uhai haunaga sifa yakutulia uhai huwa unahangaika.
 
kwasababu mwili unakuwa bado unauhai na misuli inakuwa inanguvu bado isipokuwa tu imekosa muongozo ama utaratibu ni sawa na gari la semi lipo kwenye mwendo halafu kichwa cha gari kitoke ghafla,body ya gari itaendelea kwenda maana iliachwa kwenye movement ila tu haitakwenda kwa muongozo sahihi!.
moja kati ya sifa ya uhai ni kwamba uhai haunaga sifa yakutulia uhai huwa unahangaika.
mfano, kuku ukimkata kichwa ghafla ukamuachia anaweza hata kupaa! Je wakati huo anapotapatapa huku na kule anakuwa akihisi maumivu?
 
Ubongo hauwezi kupata maumivu lakini ni kituo cha taarifa ya maumivu yanayotokea mwilini mwa kiumbe hai.
Ndo maana mtu anapoumia let say mguu n.k maumivu anayoyasikia ni mapokeo kutoka kwenye ubongo.
Ndo maana hata kiumbe hai chochote akiwemo binadamu kiwiliwili chake huruma ruka na kuhangaika endapo kisipo kamatwa baada ya kutenganishwa na kichwa.
 
kwasababu mwili unakuwa bado unauhai na misuli inakuwa inanguvu bado isipokuwa tu imekosa muongozo ama utaratibu ni sawa na gari la semi lipo kwenye mwendo halafu kichwa cha gari kitoke ghafla,body ya gari itaendelea kwenda maana iliachwa kwenye movement ila tu haitakwenda kwa muongozo sahihi!.
moja kati ya sifa ya uhai ni kwamba uhai haunaga sifa yakutulia uhai huwa unahangaika.
vipi kama mtu akiwa at rest yaani velocity ni 0 halafu mtu huyo akafyekwa kichwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom