Je, ni sahihi makampuni ya mawasiliano kukopesha muda wa maongezi Kwa riba?

Orketeemi

JF-Expert Member
Feb 12, 2013
4,720
11,545
Straight to the point.

Nimekuwa nikifikiria Jambo hili na kuona Kama haliko Sawa.
Kwanza ukisajili laini na kutaka kukopa muda wa maongezi papi hapo hawakubali.
Wanachotaka ni uwe umenunua muda wa maongezi (uwaingizie faida) mara kadhaa ndipo uruhusiwe kukopa.

Sasa Kwa kuwa tayar mteja kawaingizia faida mara kadhaa iweje akopeshwe (bidhaa) Kwa riba tena riba ya 20%

Kwa mtazamo wangu naona Kwa kuwa huo muda wa maongezi ni bidhaa Yao Kwa maana ya kwamba hata bila kuweka riba wanapata faida why wanazid kumuumiza mteja wao kiasi hiki?

Mliofika nchi za wenzetu je hali NI hii hii?
Serikali inalo jukum la kushirik kuwapunguzia ugum wa maisha wananchi hivyo ni vyema Mambo mengine haya yanaonekana madogi lakin yanaumiza Sana wananchi wa hali ya Chini kwani wao ndio wahanga wakubwa
 
Straight to the point.

Nimekuwa nikifikiria Jambo hili na kuona Kama haliko Sawa.
Kwanza ukisajili laini na kutaka kukopa muda wa maongezi papi hapo hawakubali.
Wanachotaka ni uwe umenunua muda wa maongezi (uwaingizie faida) mara kadhaa ndipo uruhusiwe kukopa.

Sasa Kwa kuwa tayar mteja kawaingizia faida mara kadhaa iweje akopeshwe (bidhaa) Kwa riba tena riba ya 20%

Kwa mtazamo wangu naona Kwa kuwa huo muda wa maongezi ni bidhaa Yao Kwa maana ya kwamba hata bila kuweka riba wanapata faida why wanazid kumuumiza mteja wao kiasi hiki?

Mliofika nchi za wenzetu je hali NI hii hii?
Serikali inalo jukum la kushirik kuwapunguzia ugum wa maisha wananchi hivyo ni vyema Mambo mengine haya yanaonekana madogi lakin yanaumiza Sana wananchi wa hali ya Chini kwani wao ndio wahanga wakubwa
Ukikopa lazima ulipe kwa faida kwa mkopaji maana hafanyi kazi ya kanisa hata makanisa kuombewa siku hizi yanalipisha
 
Straight to the point.

Nimekuwa nikifikiria Jambo hili na kuona Kama haliko Sawa.
Kwanza ukisajili laini na kutaka kukopa muda wa maongezi papi hapo hawakubali.
Wanachotaka ni uwe umenunua muda wa maongezi (uwaingizie faida) mara kadhaa ndipo uruhusiwe kukopa.

Sasa Kwa kuwa tayar mteja kawaingizia faida mara kadhaa iweje akopeshwe (bidhaa) Kwa riba tena riba ya 20%

Kwa mtazamo wangu naona Kwa kuwa huo muda wa maongezi ni bidhaa Yao Kwa maana ya kwamba hata bila kuweka riba wanapata faida why wanazid kumuumiza mteja wao kiasi hiki?

Mliofika nchi za wenzetu je hali NI hii hii?
Serikali inalo jukum la kushirik kuwapunguzia ugum wa maisha wananchi hivyo ni vyema Mambo mengine haya yanaonekana madogi lakin yanaumiza Sana wananchi wa hali ya Chini kwani wao ndio wahanga wakubwa
Wanaokopesha ni watu binafs na sio makampuni ya Simu! So wanatafuta faida
 
Wapo sahihi, kwanza hawalazimishi kukopa, pili umeshasema kukopesha so lazima kuwe na interest na mwisho kabisa hio riba ina act as reward ya wao kutake risk, kuna watu wanakopa na hawarudishi.
 
Hakuna tatizo kwao kukopesha na kila mkopo una kanuni zake, hivyo siyo kosa kwao kuweka vigezo.
Jambo kubwa hulazimishwi kukopa.
 
Back
Top Bottom