Hata AU Imeshindwa, wa kuiokoa DRC ni Wazungu pekeeJe Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23?
Maana tunasikia wanasonga tu. Sasa tumefikia sehemu hizi nchi kubwa kwa ukanda wa huku South wameshindwa na M23. Hii ni hatari sana kupuuza au kwenda kwenye vita nusunusu.
Hata AU Imeshindwa, wa kuiokoa DRC ni Wazungu pekee
Jeshi la Tanzania limeenda kufanya nini kama ni kupigana tupigane kweli sio kwenda nusu nusu. Nani ataheshimu tena jeshi letu??CONGO ni shenzi sana
Ka Rwanda Kanaingia mala 90 ya ukubwa wa Congo.
Juzi nilienda Harusini DJ aliweka nyimbo za Congo nilimfuata na kumwambia atoe huo upumbavu haraka sana.
Wale Jamaa ni washenzi sana.
NATAMANI WOTE WAILIOPO TANZANIA WAONDOKE.
Hakuna mapambano yoyote, fardc wanaachia eneo,m23 wanachukuaPropaganda mlizokuwa mnalishwa kwishnei watie pua waone, wahuni sio muda wanamfurusha tshekedi ofisini halafu wanakula ugali na sokwe kwenye viwanja vya ikulu.
Kulinda amani ni operesheni tofauti na mapigano ya vitaJe Jeshi la TZ and SA limeshidwa na M23?
Sasa ulitaka wafanyaje na m23 they means bussinessHakuna mapambano yoyote, fardc wanaachia eneo,m23 wanachukua
Tubakize Akiba ..CONGO ni shenzi sana
Ka Rwanda Kanaingia mala 90 ya ukubwa wa Congo.
Juzi nilienda Harusini DJ aliweka nyimbo za Congo nilimfuata na kumwambia atoe huo upumbavu haraka sana.
Wale Jamaa ni washenzi sana.
NATAMANI WOTE WAILIOPO TANZANIA WAONDOKE.
Sasa ulitaka wafanyaje na m23 they means bussinHakuna mapambano yoyote, fardc wanaachia eneo,m23 wanachukua
Sio rahisi kama unavyodhani ni juz tu hapa ndugu zetu wawili wamerudi wakiwa kweny makabati na wengine kujeruhiwa, hao wahuni vita wameiishi na wanaiweza sio kuhadisiwaJeshi la Tanzania limeenda kufanya nini kama ni kupigana tupigane kweli sio kwenda nusu nusu. Nani ataheshimu tena jeshi letu??
Man hapa umesema kweli niliwahi kufanya nao kazi kwa miaka kadhaa,niseme tu ukweli wakongomani ni wangese sana.Watu wanasema bongo tu machawa lakini wakongo walinishinda tabia yani ni makondoo kwa mtu superior(hayawezi kufanya reasoning kila kitu ni ndio mzee)CONGO ni shenzi sana
Ka Rwanda Kanaingia mala 90 ya ukubwa wa Congo.
Juzi nilienda Harusini DJ aliweka nyimbo za Congo nilimfuata na kumwambia atoe huo upumbavu haraka sana.
Wale Jamaa ni washenzi sana.
NATAMANI WOTE WAILIOPO TANZANIA WAONDOKE.