Je, maagizo ya Rais Samia kuhusu Ngorongoro yanatengua amri rasmi iliyochapishwa au ni maigizo?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
23,583
32,129
Siku tano zikizopita Rais wa Tsnzania alituma wasaidizi wake ambao ni Prof. Kabudi na William Lukuvi kwenda kusawazisha mambo kule Ngorongoro.

Aliagiza kurejeshwa kwa huduma zote za kibinadamu hususan haki ya kupiga kura, afya na elimu vitu ambavyo vilikuwa vimesitishwa chini ya mtutu wa bunduki na serikali yake.

Sambamba na hilo, serikali ilitoa Amri ya kufuta vijiji 25 na vitongoji 96 ndani ya Ngorongoro. Na hivyo kuhalalisha ukatili wake dhidi ya raia wanaoishi eneo hilo

Nimeona chama cha Wanasheria wakitoa kongole kwa rais kupongeza maamuzi yake ya kusitishwa utekelezaji uliokusudia kumwaga damu za wananchi kwa makusudi.

Nimejiuliza na ninauliza hapa, maagizo na uamuzi wa Rais umetengua Amri halali (haramu) ya serikali ya kufuta hivyo vijiji? Au ni style ya funika kombe ili utekelezaji ufanyike baada ya uchaguzi mwakani?


Nchi inahitaji mwelekeo.

download.jpeg


Pia soma>> Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673
 
Siku tano zikizopita Rais wa Tsnzania alituma wasaidizi wake ambao ni Prof. Kabudi na William Lukuvi kwenda kusawazisha mambo kule Ngorongoro.

Aliagiza kurejeshwa kwa huduma zote za kibinadamu hususan haki ya kupiga kura, afya na elimu vitu ambavyo vilikuwa vimesitishwa chini ya mtutu wa bunduki na serikali yake.

Sambamba na hilo, serikali ilitoa Amri ya kufuta vijiji 25 na vitongoji 96 ndani ya Ngorongoro. Na hivyo kuhalalisha ukatili wake dhidi ya raia wanaoishi eneo hilo

Nimeona chama cha Wanasheria wakitoa kongole kwa rais kupongeza maamuzi yake ya kusitishwa utekelezaji uliokusudia kumwaga damu za wananchi kwa makusudi.

Nimejiuliza na ninauliza hapa, maagizo na uamuzi wa Rais umetengua Amri halali (haramu) ya serikali ya kufuta hivyo vijiji? Au ni style ya funika kombe ili utekelezaji ufanyike baada ya uchaguzi mwakani?


Nchi inahitaji mwelekeoView attachment 3081127
Ni maigizo tu! Hiv hawa wanasheria wa serikali na wote waliomo kwenye serikali ya sasa, mbona hawa uchungu na tanganyika? SIt is as if wao watahamia zanzibar in case kinawaka! Samia, Masauni, Mchengerwa and Co. Ltd, hawa ni wa kupita, huku siyo kwao, wanateketeza Tanganyika tunaona!
 
Ni maigizo tu! Hiv hawa wanasheria wa serikali na wote waliomo kwenye serikali ya sasa, mbona hawa uchungu na tanganyika? SIt is as if wao watahamia zanzibar in case kinawaka! Samia, Masauni, Mchengerwa and Co. Ltd, hawa ni wa kupita, huku siyo kwao, wanateketeza Tanganyika tunaona!
Theory ni kwamba. Rais akishaapishwa ANAKABIDHIWA NCHI.

Kumbuka ameirithi kutoka kwa mtangulizi wake....

Mkuu tuangalie hizi dhana
  1. Kukabidhiwa nchi (ni mali yake??)
  2. Kuirithi kutoka kwa mtangulizi (urithi ni concept au hatamu?)

Wanatuona majuha
 
Amri ilikuwa batili. Lakini yote ni maigizo tu, naskia kuna mabeberu wameminya mirija huko. Sasa anafanya maigizo ili kuwaridhisha.

Roho mbaya na ukatili dhidi ya wamasai viko palepale.
 
Siku tano zikizopita Rais wa Tsnzania alituma wasaidizi wake ambao ni Prof. Kabudi na William Lukuvi kwenda kusawazisha mambo kule Ngorongoro.

Aliagiza kurejeshwa kwa huduma zote za kibinadamu hususan haki ya kupiga kura, afya na elimu vitu ambavyo vilikuwa vimesitishwa chini ya mtutu wa bunduki na serikali yake.

Sambamba na hilo, serikali ilitoa Amri ya kufuta vijiji 25 na vitongoji 96 ndani ya Ngorongoro. Na hivyo kuhalalisha ukatili wake dhidi ya raia wanaoishi eneo hilo

Nimeona chama cha Wanasheria wakitoa kongole kwa rais kupongeza maamuzi yake ya kusitishwa utekelezaji uliokusudia kumwaga damu za wananchi kwa makusudi.

Nimejiuliza na ninauliza hapa, maagizo na uamuzi wa Rais umetengua Amri halali (haramu) ya serikali ya kufuta hivyo vijiji? Au ni style ya funika kombe ili utekelezaji ufanyike baada ya uchaguzi mwakani?


Nchi inahitaji mwelekeoView attachment 3081127
Nani alikwambia nchi hii sheria na katiba vinaheshimiwa?
Vitu vinavyofanya kazi na kuheshimiwa ni maagizo kutoka juu, mapenzi ya CCM na maagizo ya Rais hata kama havijaandikwa po pote!
 
Ngorongoro kuna FUTUHI sana hadi Polisi wamezuia mkutano wa AMos Makalla CCM :D :D :D :D ,FUTUHIIIII ndiyo ni FUTUHI.
 
Kumbuka zoezi la kufuta kijiji na kuwaondoa Mamaasai Ngorongoro lilikuwa na baraka za CCM ngazi za juu.
CCM kubadili "GIA angani" ni kutokana na mashinikizo makubwa kabisa ya ndani na nje ya Nchi!
Otherwise wise huwezi kuwa problem creator na hapohapo ukawa problem solver ni kwa mashinikizo
 
Siku tano zikizopita Rais wa Tsnzania alituma wasaidizi wake ambao ni Prof. Kabudi na William Lukuvi kwenda kusawazisha mambo kule Ngorongoro.

Aliagiza kurejeshwa kwa huduma zote za kibinadamu hususan haki ya kupiga kura, afya na elimu vitu ambavyo vilikuwa vimesitishwa chini ya mtutu wa bunduki na serikali yake.

Sambamba na hilo, serikali ilitoa Amri ya kufuta vijiji 25 na vitongoji 96 ndani ya Ngorongoro. Na hivyo kuhalalisha ukatili wake dhidi ya raia wanaoishi eneo hilo

Nimeona chama cha Wanasheria wakitoa kongole kwa rais kupongeza maamuzi yake ya kusitishwa utekelezaji uliokusudia kumwaga damu za wananchi kwa makusudi.

Nimejiuliza na ninauliza hapa, maagizo na uamuzi wa Rais umetengua Amri halali (haramu) ya serikali ya kufuta hivyo vijiji? Au ni style ya funika kombe ili utekelezaji ufanyike baada ya uchaguzi mwakani?


Nchi inahitaji mwelekeo.

View attachment 3081127

Pia soma>> Serikali yafuta vijiji na vitongoji vyote vya wamasai wa Ngorongoro kupitia Amri ya tangazo la Serikali namba 673
Failed State!
Lawlessness State!
 
Ni maigizo tu! Hiv hawa wanasheria wa serikali na wote waliomo kwenye serikali ya sasa, mbona hawa uchungu na tanganyika? SIt is as if wao watahamia zanzibar in case kinawaka! Samia, Masauni, Mchengerwa and Co. Ltd, hawa ni wa kupita, huku siyo kwao, wanateketeza Tanganyika tunaona!
Badala ya kujibu kwa hoja nzito, unaloloma tu.
 
Maigizo tu kama maigizo mengine tu, wamasai wamedinda kweli kweli waliapa na kujiapiza kupigania ardhi yao na ya mababu zao hadi tone la mwisho la damu na uhai wao.
 
Nimejiuliza na ninauliza hapa, maagizo na uamuzi wa Rais umetengua Amri halali (haramu) ya serikali ya kufuta hivyo vijiji? Au ni style ya funika kombe ili utekelezaji ufanyike baada ya uchaguzi mwakani?

Rais anaweza kutengua hadi uraia wa mtu...

Pia kwa Afrika, mara nyingi wenye mamlaka hutengeneza matatizo ili baadaye wayatatue na kuishia kupata sifa...
 
Back
Top Bottom