Job Ndugai amehudhuria sherehe za kuvunjwa kwa Baraxa la Wawakilishi kilikofanywa na Rais wa Zanzibar mh Sheim.
Ndugai alikuwa amevalia Joho la Spika wa bunge la JMT kama alivyoonekana kupitia luninga ya ITV.
Je, baada ya bunge kuvunjwa Job Ndugai anaendelea kutambulika kama Spika?
Maendeleo hayana vyama!