Je, inawekana kutumia matokeao ya kidato cha 2 mwaka 2017 kuendelea na masomo kidato cha tatu?

NGOSWE2

JF-Expert Member
Dec 19, 2013
969
1,052
Habari wana bord.
Kichwa cha habari chahusika.

.Nina binti yangu ambaye baada ya kufanya mtihani wa kidato cha pili kunachangamoto ilimtokea hakuweza kuwa masomo licha ya matokeo yake vizuri kwa kujiunga kidato cha 3.

Baada ya kurudi katika hali yake ya kawaida, sasa anahitaji arudi shule.
.Amekaa miaka 7 nje ya mfumo wa shule toka mwaka 2017.
.
Msaada ninaouhitaji ni kutaka kujua kama inawekana kutumia matokeao ya kidato cha 2 mwaka 2017 kuendelea na masomo kidato cha tatu?
.
Natanguliza shukrani!
 
Matokeo mazuri ya kujiunga kidato cha tatu au matokeo ya kuendeleaaa kidto cha tatu

Bila shaka alipigwa mimba Miaka 7 nje ya mfumo up to now ilibidi awe chuo mwaka pili mwakan analize wa tatu....hapo akasome kama private candidate miaka miwili then akifaulu aendelee mbele chuo au A level...

Mpeleke kabisa shule na ulipe ada ili awe mazingira ya shule yampe awereness ya shule ila yeye anakuwa kama private candidate.

NB:Mabinti acheni kupenda mboo mtazikuta mpka mzichoke
 
Matokeo mazuri ya kujiunga na kidato cha tatu au matokeo ya kuendeleaaa kidto cha tatu

Bila shaka alipigwa mimba Miaka 7 nje ya mfumo up to now ilibidi awe chuo kikuu mwakan analize wa tatu....hapo akasome kama private candidate miaka miwili then akifaulu aendelee mbele chuo au A level...

Mpeleke kabisa shule na ulipe ada ili uwe mazingira ya shule yampe aweness ya shule ila yeye anakuwa kama private candidate.

NB:Mabinti acheni kupenda mboo mtazikuta mpka mzichoke
Changamoto sio mimba tu.
.Mengine kama mzizi siwezi kuyaandika hapa.
Ndio maana sikusema mimba. Mimba kama mzazi baada ya mazoezi tu ningempeleka shule. Asingeweza kukaa muda wote huo.
Baada ya kwisha Changamoto na yeye kuhitaji kusoma, mimi kama mzazi nimeona ni vema, na ndio sababu yakuuliza.
 
Matokeo mazuri ya kujiunga kidato cha tatu au matokeo ya kuendeleaaa kidto cha tatu

Bila shaka alipigwa mimba Miaka 7 nje ya mfumo up to now ilibidi awe chuo mwaka pili mwakan analize wa tatu....hapo akasome kama private candidate miaka miwili then akifaulu aendelee mbele chuo au A level...

Mpeleke kabisa shule na ulipe ada ili awe mazingira ya shule yampe awereness ya shule ila yeye anakuwa kama private candidate.

NB:Mabinti acheni kupenda mboo mtazikuta mpka mzichoke
Mjinga wewe,
 
Back
Top Bottom