Je, hii ni ishara ya mabadiliko makubwa kwenye mindset za waTanzania?

Mfikirishi

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
9,170
10,669
Hii ni screenshot kutoka kwenye ukurasa wa IG unaotumiwa na Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali na Karibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo👇👇
Screenshot_20250422-123539.png

Mapaka saa 6 na nusu mchana wa leo post ilipendwa na watu 907, huku watu 676 wakitoa maoni yaa.
Wengi waliotoa maoni wanaonesha upinzani wa wazi wazi kwa alichokipost Bw. Gerson Msigwa!
Kinachofikirisha ni kuwa maoni mengi yanamjibu na kumuuliza maswali magumu ambayo hawezi kujibu hadharani!
Je, hii ni ishara kuwa WaTanzania (ukiacha machawa na wasanii) kwa sasa huwezi kuwapelekesha utakavyo?
Je, serikali sikivu inasikiliza na kuzingatia hayo maoni ya wananchi?
Je, itafanikiwa kudhibiti hilo wimbi la wenye mawazo mbadala?
 
Hii ni screenshot kutoka kwenye ukurasa wa IG unaotumiwa na Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali na Karibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo👇👇
View attachment 3311935
Mapaka saa 6 na nusu mchana wa leo post ilipendwa na watu 907, huku watu 676 wakitoa maoni yaa.
Wengi waliotoa maoni wanaonesha upinzani wa wazi wazi kwa alichokipost Bw. Gerson Msigwa!
Kinachofikirisha ni kuwa maoni mengi yanamjibu na kumuuliza maswali magumu ambayo hawezi kujibu hadharani!
Je, hii ni ishara kuwa WaTanzania (ukiacha machawa na wasanii) kwa sasa huwezi kuwapelekesha utakavyo?
Je, serikali sikivu inasikiliza na kuzingatia hayo maoni ya wananchi?
Je, itafanikiwa kudhibiti hilo wimbi la wenye mawazo mbadala?
Ukifuatilia maoni ya Watanzania kwenye mitandao ya kijamii utagundua tu dhama za ulaghai wa Chama cha Mapinduzi zimefika ukingoni.
 
Hii ni screenshot kutoka kwenye ukurasa wa IG unaotumiwa na Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali na Karibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo👇👇
View attachment 3311935
Mapaka saa 6 na nusu mchana wa leo post ilipendwa na watu 907, huku watu 676 wakitoa maoni yaa.
Wengi waliotoa maoni wanaonesha upinzani wa wazi wazi kwa alichokipost Bw. Gerson Msigwa!
Kinachofikirisha ni kuwa maoni mengi yanamjibu na kumuuliza maswali magumu ambayo hawezi kujibu hadharani!
Je, hii ni ishara kuwa WaTanzania (ukiacha machawa na wasanii) kwa sasa huwezi kuwapelekesha utakavyo?
Je, serikali sikivu inasikiliza na kuzingatia hayo maoni ya wananchi?
Je, itafanikiwa kudhibiti hilo wimbi la wenye mawazo mbadala?
Time for change ndio hii, elimu wanayosambaza cdm ni next level, lazima mtanznaia akombolewe kifikra kwanza, after that mabadiliko menginr hayatakuwa magumu
 
Hii ni screenshot kutoka kwenye ukurasa wa IG unaotumiwa na Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali na Karibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo👇👇
View attachment 3311935
Mapaka saa 6 na nusu mchana wa leo post ilipendwa na watu 907, huku watu 676 wakitoa maoni yaa.
Wengi waliotoa maoni wanaonesha upinzani wa wazi wazi kwa alichokipost Bw. Gerson Msigwa!
Kinachofikirisha ni kuwa maoni mengi yanamjibu na kumuuliza maswali magumu ambayo hawezi kujibu hadharani!
Je, hii ni ishara kuwa WaTanzania (ukiacha machawa na wasanii) kwa sasa huwezi kuwapelekesha utakavyo?
Je, serikali sikivu inasikiliza na kuzingatia hayo maoni ya wananchi?
Je, itafanikiwa kudhibiti hilo wimbi la wenye mawazo mbadala?
Kila mtu anaonges nyuma ya keyboard anauwezo wa kureason na kutoa hoja ya msingi kwa sababu hakuna anayekuona na kukujua.

Shida ni kuzungumza hayo ukiwa Live katika kadamnasi ama mbele ya mhusika.
 
Hii ni screenshot kutoka kwenye ukurasa wa IG unaotumiwa na Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali na Karibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo👇👇
View attachment 3311935
Mapaka saa 6 na nusu mchana wa leo post ilipendwa na watu 907, huku watu 676 wakitoa maoni yaa.
Wengi waliotoa maoni wanaonesha upinzani wa wazi wazi kwa alichokipost Bw. Gerson Msigwa!
Kinachofikirisha ni kuwa maoni mengi yanamjibu na kumuuliza maswali magumu ambayo hawezi kujibu hadharani!
Je, hii ni ishara kuwa WaTanzania (ukiacha machawa na wasanii) kwa sasa huwezi kuwapelekesha utakavyo?
Je, serikali sikivu inasikiliza na kuzingatia hayo maoni ya wananchi?
Je, itafanikiwa kudhibiti hilo wimbi la wenye mawazo mbadala?
Kwenye uchaguzi wa huru na haki, mamlaka zinatoka kwa Mungu, lakini kwenye dhuluma, ushetani ndio unatawala!
 
Acheni upuuzi, ili mradi mambo yaende sawa hata kama ni Shetani au nani hayo ni juu yenu..., Mimi kama mlipa kodi siridhishwi na kinachoendelea be it serikali ya Mungu au Shetani

Badala ya kudeal na issues tunaamia kwenye debates za ajabu ajabu
 
Hii ni screenshot kutoka kwenye ukurasa wa IG unaotumiwa na Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali na Karibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo👇👇
View attachment 3311935
Mapaka saa 6 na nusu mchana wa leo post ilipendwa na watu 907, huku watu 676 wakitoa maoni yaa.
Wengi waliotoa maoni wanaonesha upinzani wa wazi wazi kwa alichokipost Bw. Gerson Msigwa!
Kinachofikirisha ni kuwa maoni mengi yanamjibu na kumuuliza maswali magumu ambayo hawezi kujibu hadharani!
Je, hii ni ishara kuwa WaTanzania (ukiacha machawa na wasanii) kwa sasa huwezi kuwapelekesha utakavyo?
Je, serikali sikivu inasikiliza na kuzingatia hayo maoni ya wananchi?
Je, itafanikiwa kudhibiti hilo wimbi la wenye mawazo mbadala?
Daniel alikataa kutii Amri ya Mfalme Dario kwa sababu ilikuwa kinyume na mpango wa Mungu, na wale wote waliohusika kumkamata Daniel waliliwa na wale simba ambao walitakiwa kumtafuna

Abelnego, Shedrack na Meshack waliipinga amri ya mfalme iliyowataka watu wote waabudu sanamu aliyoitengeneza mfalme.

Serikal inayojali masilahi ya watu wachache, serikal inayoonea watu kwa kuvunja haki zao inapaswa kupingwa, kwa sababu ukinyamaza kimya itaona sawa na kuendelea na mpango wake
 
Mtakati
Hii ni screenshot kutoka kwenye ukurasa wa IG unaotumiwa na Gerson Msigwa ambaye ni Msemaji Mkuu wa Serikali na Karibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo👇👇
View attachment 3311935
Mapaka saa 6 na nusu mchana wa leo post ilipendwa na watu 907, huku watu 676 wakitoa maoni yaa.
Wengi waliotoa maoni wanaonesha upinzani wa wazi wazi kwa alichokipost Bw. Gerson Msigwa!
Kinachofikirisha ni kuwa maoni mengi yanamjibu na kumuuliza maswali magumu ambayo hawezi kujibu hadharani!
Je, hii ni ishara kuwa WaTanzania (ukiacha machawa na wasanii) kwa sasa huwezi kuwapelekesha utakavyo?
Je, serikali sikivu inasikiliza na kuzingatia hayo maoni ya wananchi?
Je, itafanikiwa kudhibiti hilo wimbi la wenye mawazo mbadala?
Mt. Petro aliyesema hayo maneno," Mamlaka zatoka kwa Mungu" alikufa kifo kibaya,kauawa na hao Mamlaka.
 
Back
Top Bottom