Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

Siwezi kukushauri ujiunge nacho ila utapima mwenye . . Zikiisha hizo GB 25, unapata kasi ya ndogo, unaweza kujionea mwenye hapo chini
Screenshot 2024-08-06 at 09-58-22 speed test - Google Search.png
 
Kama kwa matumizi ya kawaida bado hiyo kasi sio mbaya sana, ila mwisho wa mwezi huu nitaleta mrejesho juu ya uzoefu nilioupata kuhusu hizo laini zao maalum na kifurushi hicho cha unlimited.
Maana nimejiunga tarehe 28/07/2024, hivyo bado siwezi kusema nimeijua vyema huduma hii ipo vipi. Ila kwa watakaotaka kujua hasara na faida za huduma hii, basi nitakuwepo hapa tarehe 29/08/2024, Mungu akipenda, nikitoa ufafanuzi wa mwanzo hadi mwisho kuhusu kifurushi hicho
 
Tua
Kama kwa matumizi ya kawaida bado hiyo kasi sio mbaya sana, ila mwisho wa mwezi huu nitaleta mrejesho juu ya uzoefu nilioupata kuhusu hizo laini zao maalum na kifurushi hicho cha unlimited.
Maana nimejiunga tarehe 28/07/2024, hivyo bado siwezi kusema nimeijua vyema huduma hii ipo vipi. Ila kwa watakaotaka kujua hasara na faida za huduma hii, basi nitakuwepo hapa tarehe 29/08/2024, Mungu akipenda, nikitoa ufafanuzi wa mwanzo hadi mwisho kuhusu kifurushi hicho
Tutashukuru
 
Kwanini usijiunge na SME internet kupitia Airtel unapata GB 22 kwa mwezi kwa TSh. 20,000/=. *149*91# halafu 2>, then 4 au kifurushi kingine unachopenda hapo.
 
Sorry unapaswa kwanza ujiandikishe kama SME(Small and Medium Enterprise) kwenye wakala wa Airtel. Unatakiwa uende na TIN number na leseni ya biashara. Kama una vitu hivi ni rahisi tu na utapata huduma ya internet kwa nusu tu ya bei ya kawaida. Mfano mimi nilikuwa napata GB 9.5 kwa 20,000/= lakini baada ya kujiunga napat GB 20 kwa hizo hizo 20,000/=. Pia kuna vishoka wanafanya kazi hii lakini uwe makini.
Habari mkuu nimejaribu kufata hizo steps lakini inagoma ,hasa kwenye kipengele cha kuingiza number
 
Kama kwa matumizi ya kawaida bado hiyo kasi sio mbaya sana, ila mwisho wa mwezi huu nitaleta mrejesho juu ya uzoefu nilioupata kuhusu hizo laini zao maalum na kifurushi hicho cha unlimited.
Maana nimejiunga tarehe 28/07/2024, hivyo bado siwezi kusema nimeijua vyema huduma hii ipo vipi. Ila kwa watakaotaka kujua hasara na faida za huduma hii, basi nitakuwepo hapa tarehe 29/08/2024, Mungu akipenda, nikitoa ufafanuzi wa mwanzo hadi mwisho kuhusu kifurushi hicho
Tunasubiri mkuu
 
Kwanini usijiunge na SME internet kupitia Airtel unapata GB 22 kwa mwezi kwa TSh. 20,000/=. *149*91# halafu 2>, then 4 au kifurushi kingine unachopenda hapo.
Nilikutana na pingamizi linalonitaka nioneshe ODU niliyonunulia bando la internet!
Baada ya hapo bila maelekezo ya maana, sikuelewa la kufanya.
 
Internet ni voda tu, otherwise kama matumizi yako ni simu tu!
Miezi miwili iliyopita nilijichanganya nikalipia Airtel, tabu niliyopata nimejisalimisha voda tena bila kupenda!
Mfanyakazi wa voda mkoa upi?
 
Kimsingi mitandao yote ya simu inategemea na eneo ulilopo....ni mara chache kukuta yote inafanya vizuri. Mfano halotel hiyo nilipo napata 50mbps na hizo gb zao ishirini kadhaa nilizopita siku ya kwanza tu....nilikuwa airtel nalipa 110k na bado ilikuwa inaniangusha kila ikifika mida ya saa moja hadi tano usiku.....lakini halotel wapo poa all time....ukisema voda huku hata kuipata 3G ushukuru....! So inategemea upo wapi!
 
Kimsingi mitandao yote ya simu inategemea na eneo ulilopo....ni mara chache kukuta yote inafanya vizuri. Mfano halotel hiyo nilipo napata 50mbps na hizo gb zao ishirini kadhaa nilizopita siku ya kwanza tu....nilikuwa airtel nalipa 110k na bado ilikuwa inaniangusha kila ikifika mida ya saa moja hadi tano usiku.....lakini halotel wapo poa all time....ukisema voda huku hata kuipata 3G ushukuru....! So inategemea upo wapi!
Tupe screenshot ya hiyo speed ya 50mbps ya halotel
 
Kama kwa matumizi ya kawaida bado hiyo kasi sio mbaya sana, ila mwisho wa mwezi huu nitaleta mrejesho juu ya uzoefu nilioupata kuhusu hizo laini zao maalum na kifurushi hicho cha unlimited.
Maana nimejiunga tarehe 28/07/2024, hivyo bado siwezi kusema nimeijua vyema huduma hii ipo vipi. Ila kwa watakaotaka kujua hasara na faida za huduma hii, basi nitakuwepo hapa tarehe 29/08/2024, Mungu akipenda, nikitoa ufafanuzi wa mwanzo hadi mwisho kuhusu kifurushi hicho
Tunasubr mrejesho wa hiko kifurush cha 50k Halotel (kifahari) kwenye lain Za M2M wanazo sema ni unlimited feedback yako ni muhim sana je baada ya hzo 24GB speed inapungua au haipungui ..? na kama inapungua inafka ngap yan Mbps ngap
 
Kama kwa matumizi ya kawaida bado hiyo kasi sio mbaya sana, ila mwisho wa mwezi huu nitaleta mrejesho juu ya uzoefu nilioupata kuhusu hizo laini zao maalum na kifurushi hicho cha unlimited.
Maana nimejiunga tarehe 28/07/2024, hivyo bado siwezi kusema nimeijua vyema huduma hii ipo vipi. Ila kwa watakaotaka kujua hasara na faida za huduma hii, basi nitakuwepo hapa tarehe 29/08/2024, Mungu akipenda, nikitoa ufafanuzi wa mwanzo hadi mwisho kuhusu kifurushi hicho
Leo ndo leo
 
Back
Top Bottom