JOH CARLOS
JF-Expert Member
- May 13, 2016
- 579
- 269
habar wana jf.
je baada ya kuajiriwa huwa kunakua na makato ambayo serikali ilikulipia wakati ukiwa chuo yaani mikopo ,ni pesa ipi huwa wanakata? ,boom au pesa ya ada ambayo ni tofauti kwa wanafunzi.
Kwani Wewe Uliposoma si Uliambiwa Unapewa Mkopo?habar wana jf.
je baada ya kuajiriwa huwa kunakua na makato ambayo serikali ilikulipia wakati ukiwa chuo yaani mikopo ,ni pesa ipi huwa wanakata? ,boom au pesa ya ada ambayo ni tofauti kwa wanafunzi.
Samahani Mkuu,wanakata sh ngapi per month? Hela ya HESLBmy friend, serikali haikulipii kitu chochote pesa zote utalipa wewe mwenyewe kwani ulikuwa unakula wewe! unalipa pesa zote BOOM+ADA+STATIONERY+FIELD (PT), na bahati mbaya au nzuri waajiri siku hizi wanabidii kupeleka majina ya wanufaika bodi. hebu chungulia slip yangu angalia hapo kwnye nyekundu
View attachment 351863
ndioxx ulijua ada wanakuhonga co?
nmekuelewamy friend, serikali haikulipii kitu chochote pesa zote utalipa wewe mwenyewe kwani ulikuwa unakula wewe! unalipa pesa zote BOOM+ADA+STATIONERY+FIELD (PT), na bahati mbaya au nzuri waajiri siku hizi wanabidii kupeleka majina ya wanufaika bodi. hebu chungulia slip yangu angalia hapo kwnye nyekundu
View attachment 351863
je wanafunzi wanaodisco na ambao hawajaajiriwa serikalini ,hulipishwa vp?Au kwa maneno rahisi ni pesa yote uliyowahi pewa ukiwa chuoni na ada uliyolipiwa kwa kipindi chote ulipokuwa chuo,sasa wale waliokuwa na 100% ndo wataelewa na wale waliopewa 0% wanakadeni kidogo.hakika kukopa harusi kulipa matanga
Wanakata kulingana na mshahara wako.Ni 8 percent kama sijakosea watanisahihisha wanaojua exactlySamahani Mkuu,wanakata sh ngapi per month? Hela ya HESLB
Waambie hao waajiri wako waandike ''deduction'' badala ya ''deducation''my friend, serikali haikulipii kitu chochote pesa zote utalipa wewe mwenyewe kwani ulikuwa unakula wewe! unalipa pesa zote BOOM+ADA+STATIONERY+FIELD (PT), na bahati mbaya au nzuri waajiri siku hizi wanabidii kupeleka majina ya wanufaika bodi. hebu chungulia slip yangu angalia hapo kwnye nyekundu
View attachment 351863
Almost 50..Samahani Mkuu,wanakata sh ngapi per month? Hela ya HESLB