Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,238
Wakuu nauliza BlueBand itanisaidia katika Ku build Muscles au ina madhara pia nikifanya Cardio huwa nakojoa mkojo wenye Rangi Sana Tatizo nini nikifanya zoezi la tumbo Digestion huwa inazingua naweza kukaa hata siku mbili bila haja Kubwa lakini nikienda ni kama kuharisha Kitu kinataka hata Kujaza sink msaada wakuu ninafanya mazoezi Sana siku hizi.