Tetesi: January na Nape kutimkia CHADEMA wakati wowote kuanzia sasa

Special Seat

Senior Member
Jul 21, 2024
121
274
IMG-20240722-WA0005.jpg
Mhe. January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.

Mhe. January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.

Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.

Hata hivyo bado haijafahamika kama CHADEMA wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.

Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt. Samia Suluhu Hassan wa CCM.

Wakati ni mwalimu wa kweli!
 
SIna hakika kama kuna fursa bado ya siasa za aina hiyo ndani ya CHADEMA.Piga hesabu zako upya...Jombaa...unamiaka mingapi kwenye siasa...,za Tanzania??Uchaguzi uwe mgumu kisa January Makamba ...wa kutokea CCM...?!KOMBO wa Tanga- Kada wa CHADEMA mliyempotezea kusikojulikana nyie CCM kwa siku 29 kumbe mnaye,mkatwaa na kidole chake kimoja cha mkono kisha mkamrejesha,...akigombea Uraisi kupitia CHADEMA..na yeyote yule kutoka CCM-wa CCM hatoboi....
 
View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.

Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.

Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.

Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.

Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.


Wakati ni mwalimu wa kweli
Just another cup of hot tea.
I’ll go with one sugar please 😊
 
View attachment 3048305
Mhe January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025.

Mhe January Makamba anaona hakuna matumaini tena ya kuwa Rais ndani ya CCM huku akiamini fika kwamba yeye ni kipenzi Cha Watanzania walio wengi.

Bado haijafahamika sababu hasa za January Makamba kutenguliwa ila tetesi zinaonesha ni kushindwa kutekeleza majukumu yake vema.

Hata hivyo bado haijafahamika kama Chadema wanaweza wakampatia nafasi hiyo ya kujaribu bahati yake kama walivyofanya mwaka 2015 kwa Hayati Edward Ngoyai Lowassa au laa.

Kama mpango wao huu wa Siri utafanikiwa huenda tukashuhudia Uchaguzi mgumu zaidi kuwahi kutokea mwaka 2025 kati ya January Yusuph Makamba wa CHADEMA na Dkt Samia Suluhu Hassan wa CCM.


Wakati ni mwalimu wa kweli
Stupid idiot. Pelekeni stress zenu CCM. Mmepigwa Chini uwaziri CCM, halafu unaleta ujinga wa kuhamia CHADEMA kugombea urais. Acha ujinga.
 
Back
Top Bottom