Watu nuksi kwenye ubora weno..!Janabi hana Exposure wala Experience yoyote ya kimataifa ya kudeal na Afya , ukiachana na nadharia zake za kutoa miongozo katika ulaji hana sifa .
Umeona eeh watu sasa wanakutwangia kunguni sio kukusagia tenaWatu nuksi kwenye ubora weno..!
Chadema mmpelekeni Lema anazo sifa zote na kama sio Lema ,Sugu au Mdude wanazo sifa.Janabi hana Exposure wala Experience yoyote ya kimataifa ya kudeal na Afya , ukiachana na nadharia zake za kutoa miongozo katika ulaji hana sifa .
Hawa ndio Nyumbu halisi.Umeona eeh watu sasa wanakutwangia kunguni sio kukusagia tena
Mkuu ungemwita Prof Janabi ungepungukiwa nini? Atleast basi kumwita Dr maana ni Daktari.Janabi hana Exposure wala Experience yoyote ya kimataifa ya kudeal na Afya , ukiachana na nadharia zake za kutoa miongozo katika ulaji hana sifa .
Mkuu si ungetoa hoja na wewe za kuonesha anafaa?Chadema mmpelekeni Lema anazo sifa zote na kama sio Lema ,Sugu au Mdude wanazo sifa.
Na kama wakimpa basi WHO itakua imejishushia hadhi sana asee... Haitakua na tofauti na Ngo ya Steve Nyerere, Mama Ongea na Mwanao😄😄Janabi hana Exposure wala Experience yoyote ya kimataifa ya kudeal na Afya , ukiachana na nadharia zake za kutoa miongozo katika ulaji hana sifa .
Nyumbu wa chadema ndio wanaona hafai wengine hata lugha ya kiswahili kuandika inawashinda wanapata wapi sifa ya kumnanga Jabali Kama Janabi?🙆♂️🙆♂️Mkuu si ungetoa hoja na wewe za kuonesha anafaa?
Sasa kwanini nyie hamkumpeleka Wasira?Chadema mmpelekeni Lema anazo sifa zote na kama sio Lema ,Sugu au Mdude wanazo sifa.
Ndio akili za nyumbu ,Wasira ni Daktari wa binadamu?Sasa kwanini nyie hamkumpeleka Wasira?
Sio; ila wewe umeona Lema, Sugu au Mdude ndio madaktari wa binadamu? What a wested manii!Ndio akili za nyumbu ,Wasira ni Daktari wa binadamu?