Jana na leo kuna raha sana sijui kwenu huko

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
20,817
48,792
juzi ilikuwa birthday yangu sikuwa na hela yoyote sikwenda beach wala photoshoot.kazi ikaanza jana hela sijui zimetokea wapi kile kimya kikaondoka jana watu nikashuhudia watu wakilewa na kufanya ngono..

Makundi niliyoona wamefurahi sana jana ni wakina mama sijui wamevunja vicoba pamoja na watu wa serikalini wao nilivyosikia wamepata habari ya mifumo kufunguliwa hivyo wakandarasi watalipwa madeni yao.


Leo tena asubuhi naona ni muendelezo wa furaha watu hawana habari kusubiri kufa tu wako na mood nzuri labda ni maandalizi ta mishahara kuingia kuna ka raha fulani na amani mioyoni.Na leo kitimoto kilo moja lazima sio ombi.sasa ndo maana nauliza maana huwa napenda kutafiti kama raha ni kwa upande wangu tu huku au hata kwenu mnai enjoy enjoy au mna ma shido huko full minuno?
#kutesa_kwa_zamu#
 
juzi ilikuwa birthday yangu sikuwa na hela yoyote sikwenda beach wala photoshoot.kazi ikaanza jana hela sijui zimetokea wapi kile kimya kikaondoka jana watu nikashuhudia watu wakilewa na kufanya ngono..

Makundi niliyoona wamefurahi sana jana ni wakina mama sijui wamevunja vicoba pamoja na watu wa serikalini wao nilivyosikia wamepata habari ya mifumo kufunguliwa hivyo wakandarqsi watalipwa madeni yao.


Leo tena asubuhi naona ni muendelezo wa furaha watu hawana habari kusubiri kufa tu wako na mood nzuri labda ni maandalizi ta mishahara kuingia kuna ka raha fulani na amani mioyoni.sasa ndo maana nauliza maana huwa napenda kutafiti kama raha ni kwa upande wangu tu huku au hata kwenu mnai enjoy enjoy au mna ma shido huko full minuno?
#kutesa_kwa_zamu#
Imekaa kivulanavulana, beach na photoshoot!!
 
Pande zetu Bado tunatafakari maisha
1723486424550.jpg
 
Imekaa kivulanavulana, beach na photoshoot!!
Mkuu me niko lindi kama unapajua utaenda sehemu gani wakati iko beach kila kona yaani beach huikwepi.kuhusu photoshoot mbona kawaida tu sio tukio la kila siku kwa mwwka mara moja...by the way nijo 28 ni kijana ukitaka nisipige picha na camera subiri nifike 40 huko.
 
Hongera kupata Raha ya muda, maana waliozoea raha awatangazi,ukizingatia nchi yetu ni miongoni mwa nchi zenye watu wasio na furaha......au unaweza kuwa na raha bila furaha.!!?
 
juzi ilikuwa birthday yangu sikuwa na hela yoyote sikwenda beach wala photoshoot.kazi ikaanza jana hela sijui zimetokea wapi kile kimya kikaondoka jana watu nikashuhudia watu wakilewa na kufanya ngono..

Makundi niliyoona wamefurahi sana jana ni wakina mama sijui wamevunja vicoba pamoja na watu wa serikalini wao nilivyosikia wamepata habari ya mifumo kufunguliwa hivyo wakandarasi watalipwa madeni yao.


Leo tena asubuhi naona ni muendelezo wa furaha watu hawana habari kusubiri kufa tu wako na mood nzuri labda ni maandalizi ta mishahara kuingia kuna ka raha fulani na amani mioyoni.Na leo kitimoto kilo moja lazima sio ombi.sasa ndo maana nauliza maana huwa napenda kutafiti kama raha ni kwa upande wangu tu huku au hata kwenu mnai enjoy enjoy au mna ma shido huko full minuno?
#kutesa_kwa_zamu#
ndege JOHN ni jina lako
 
Back
Top Bottom