JamiiForums yatoa Mafunzo ya namna ya kuwa Salama Mtandaoni na Utoaji Taarifa Sahihi kwa Umma

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
679
1,101
25 (2).jpg

JamiiForums imeendesha mafunzo ya siku 2 kwa watumishi na viongozi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (CHRAGG), yakijikita katika Ushirikishwaji wa Umma, Mbinu za Upigaji Picha, Mawasiliano Salama, na Usalama wa Kidigitali.

Mafunzo haya yalilenga kuwapa washiriki ujuzi muhimu wa kuboresha mikakati yao ya mawasiliano, kuhakikisha usalama wa Kidigitali, na kushirikiana vyema na umma katika zama za Teknolojia.
26 (2).jpg
27 (2).jpg
28 (2).jpg
29.jpg
30.jpg
31.jpg
32.jpg
33.jpg
34.jpg
 
JF haifai kutoa mafunzo ya kuwa salama mtandaoni na kutoa habari sahihi kwani imekuwa kijiwe cha uzushi na kutukana wale wote wasiofikiri na kuunga mkono mwelekeo wanaoutaka wao huku uongozi wa JF wakifumbia macho.
Tunaweza kufikiri na kuwa na mielekeo tofauti bila ya matusi,kejeli na uzushi wa kuchafuana.
Uongozi wa JF hawafuati terms zao kwenye utumiaji wa hii Forum.
Matusi,uzushi na fikra zisizojenga ndio zimekuwa mada zinazoshabikiwa hasa kwenye Jukwaa la Siasa.Azma iwe kukosoa ili kujenga sio kukomoa.Tanzania ni Nchi yetu sote ukitoboa mtumbwi tunazama wote.
Ni wakati sasa iwe we dare to speak freely but truthfully
 
JF haifai kutoa mafunzo ya kuwa salama mtandaoni na kutoa habari sahihi kwani imekuwa kijiwe cha uzushi na kutukana wale wote wasiofikiri na kuunga mkono mwelekeo wanaoutaka wao huku uongozi wa JF wakifumbia macho.
Tunaweza kufikiri na kuwa na mielekeo tofauti bila ya matusi,kejeli na uzushi wa kuchafuana.
Uongozi wa JF hawafuati terms zao kwenye utumiaji wa hii Forum.
Matusi,uzushi na fikra zisizojenga ndio zimekuwa mada zinazoshabikiwa hasa kwenye Jukwaa la Siasa.Azma iwe kukosoa ili kujenga sio kukomoa.Tanzania ni Nchi yetu sote ukitoboa mtumbwi tunazama wote.
Ni wakati sasa iwe we dare to speak freely but truthfully
Duuh Mtumbwi tena?
 
Back
Top Bottom