Kwa Membe hapana, itakuwa kama Lowasa, na pia kampeni zitakuwa ngumu sana tofauti na Lissu(The guy is clean). Wanajaribu kumchafua Lissu na propaganda sijui za ushoga mara sio mzalendo anaisema nchi vibaya huko nje, lakini hawana hoja.
Wakitaka tuwachambue vizuri, iwekwe debate kati yao watatu tuwapime, pia kuwe na fair ground kwenye uchaguzi(uwe huru na wa haki + kuwe na uwazi) sio kuficha ficha kwenye kuhesabu kura utadhani mgombea atagundua mwandiko wako kwamba umempigia fulani badala yake. Hapo ndipo utaona tofauti ya maji na mafuta.