Jamani kijana wenu nimeaibika nahitaji msaada wenu ili kuyaepuka haya yasijirudie

SSEKK The Literally

JF-Expert Member
Sep 5, 2023
1,134
1,888
Wakuu heshima yenu,

Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote.

Kilichonileta hapa Jukwaani ni kutaka msaada wenu kwa wale wakali wa hizi kazi ( Mambo ya kitandani).

Iko hv Juzi wakati npo faragha na huyo mchumba wangu nlishindwa kufua dafu kbs, tatzo lilikuwa ninawahi kumaliza (ejaculate) na sio kawaida yangu kbs.

Hii hali imenipata ni mara ya pili sasa na imeanza kuninyima furaha kbs imefanya mchumba kaninunia ety simfikishi km hapo awali ,naomba nikiri hapo awali nlkuwa napga ushindo wa kwanza baada ya km dk5 hv na mshindo wa pili nlkuwa simalizagi kbs hadi yeye anakuwa anamalza mara 2 mm bado na nlkuwa naishia hapo tu na anakuwa ameua show kbs kwa upande wake.

Sasa ndg zangu naomba mnisaidie hata kwa ushauri tu maana hii ni aibu na inaniharibia mahusiano yangu sasa, shida itakuwa ni nini? Kwanini nawahi ku ejaculate? Haikuwa hivyo hapo nyuma why now? Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.

Hadi nmeanza kufikiria au sina nguvu za kiume? Ikizingatiwa sijawahi kumpa demu yoyote ujauzto tangu nmeyajua Mapenz, naumia sana.

Najua kuna watu hii hali imewahi kuwatokea naombeni kujua mlifanya nini mkawa sawa tena yani mkaendelea kutembeza dudu fresh tu na wapenz wenu wakaenjoy.

Natanguliza Shukurani.
 
Wakuu heshima yenu ,Mm ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu ,sina mtoto na wala sijawah kumpa ujauzto manzi yeyote.

Kilichonileta hapa Jukwaani ni kutaka msaada wenu kwa wale wakali wa hizi kazi ( Mambo ya kitandani)

Iko hv Juzi wakati npo faragha na huyo mchumba wangu nlishindwa kufua dafu kbs, tatzo lilikuwa ninawahi kumaliza ( ejaculate) na sio kawaida yangu kbs.

Hii hali imenipata ni mara ya pili sasa na imeanza kuninyima furaha kbs imefanya mchumba kaninunia ety simfikishi km hapo awali ,naomba nikiri hapo awali nlkuwa napga ushindo wa kwanza baada ya km dk5 hv na mshindo wa pili nlkuwa simalizagi kbs hadi yeye anakuwa anamalza mara 2 mm bado na nlkuwa naishia hapo tu na anakuwa ameua show kbs kwa upande wake.

Sasa ndg zangu naomba mnisaidie hata kwa ushauri tu maana hii ni aibu na inaniharibia mahusiano yangu sasa, shida itakuwa ni nn!? Kwann nawahi ku ejaculate!? Haikuwa hvo hapo nyuma why now!? Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.

Hadi nmeanza kufikiria au sina nguvu za kiume!? Ikizingatiwa sijawahi kumpa demu yyte ujauzto tangu nmeyajua Mapenz, naumia sana.

Najua kuna watu hii hali imewahi kuwatokea naombeni kujua mlifanya nn mkawa sawa tena yani mkaendelea kutembeza dudu fresh tu na wapenz wenu wakaenjoy.

Natanguliza Shukurani.
Ukimuoa tutakupa maujuzi kwasasa bd wewe ni mdogo, yaani miaka 4 unamchungulia mtoto wa watu Bila kutoa mahali kweli halafu eti tukupe maujanja mimi siwezi na Ndiyo maana adhabu umeanza kuipata mapemaa
 
Wakuu heshima yenu,

Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote.

Kilichonileta hapa Jukwaani ni kutaka msaada wenu kwa wale wakali wa hizi kazi ( Mambo ya kitandani).

Iko hv Juzi wakati npo faragha na huyo mchumba wangu nlishindwa kufua dafu kbs, tatzo lilikuwa ninawahi kumaliza (ejaculate) na sio kawaida yangu kbs.

Hii hali imenipata ni mara ya pili sasa na imeanza kuninyima furaha kbs imefanya mchumba kaninunia ety simfikishi km hapo awali ,naomba nikiri hapo awali nlkuwa napga ushindo wa kwanza baada ya km dk5 hv na mshindo wa pili nlkuwa simalizagi kbs hadi yeye anakuwa anamalza mara 2 mm bado na nlkuwa naishia hapo tu na anakuwa ameua show kbs kwa upande wake.

Sasa ndg zangu naomba mnisaidie hata kwa ushauri tu maana hii ni aibu na inaniharibia mahusiano yangu sasa, shida itakuwa ni nini? Kwanini nawahi ku ejaculate? Haikuwa hivyo hapo nyuma why now? Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.

Hadi nmeanza kufikiria au sina nguvu za kiume? Ikizingatiwa sijawahi kumpa demu yoyote ujauzto tangu nmeyajua Mapenz, naumia sana.

Najua kuna watu hii hali imewahi kuwatokea naombeni kujua mlifanya nini mkawa sawa tena yani mkaendelea kutembeza dudu fresh tu na wapenz wenu wakaenjoy.

Natanguliza Shukurani.
Kwahiyo tokea 2020 unamwagia ndani na hakuna mimba?
 
Wakuu heshima yenu,

Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote.

Kilichonileta hapa Jukwaani ni kutaka msaada wenu kwa wale wakali wa hizi kazi ( Mambo ya kitandani).

Iko hv Juzi wakati npo faragha na huyo mchumba wangu nlishindwa kufua dafu kbs, tatzo lilikuwa ninawahi kumaliza (ejaculate) na sio kawaida yangu kbs.

Hii hali imenipata ni mara ya pili sasa na imeanza kuninyima furaha kbs imefanya mchumba kaninunia ety simfikishi km hapo awali ,naomba nikiri hapo awali nlkuwa napga ushindo wa kwanza baada ya km dk5 hv na mshindo wa pili nlkuwa simalizagi kbs hadi yeye anakuwa anamalza mara 2 mm bado na nlkuwa naishia hapo tu na anakuwa ameua show kbs kwa upande wake.

Sasa ndg zangu naomba mnisaidie hata kwa ushauri tu maana hii ni aibu na inaniharibia mahusiano yangu sasa, shida itakuwa ni nini? Kwanini nawahi ku ejaculate? Haikuwa hivyo hapo nyuma why now? Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.

Hadi nmeanza kufikiria au sina nguvu za kiume? Ikizingatiwa sijawahi kumpa demu yoyote ujauzto tangu nmeyajua Mapenz, naumia sana.

Najua kuna watu hii hali imewahi kuwatokea naombeni kujua mlifanya nini mkawa sawa tena yani mkaendelea kutembeza dudu fresh tu na wapenz wenu wakaenjoy.

Natanguliza Shukurani.
Hii mada ina account ngapi ya mtu mmoja
 
Hizo huwa zinatokea sana hasa kwa hiyo age hadi ukifika 30 una settle akili na mwili unapiga show nzuri TU Wala usiwe na hofu
Halafu Cha kwanza kwa mpenzi wako mbona hata 30mns unaenda binafsi huwa naenda hizo na ni above 30 tena mbali sana suala hapo ni utulivu wa akili na mwili uwe na nguvu otherwise sioni kuwa una shida isipokuwa ni hofu TU
NB:
Usiache kutembea asubuhi au jioni ni muhimu sana
 
Wakuu heshima yenu,

Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote.

Kilichonileta hapa Jukwaani ni kutaka msaada wenu kwa wale wakali wa hizi kazi ( Mambo ya kitandani).

Iko hv Juzi wakati npo faragha na huyo mchumba wangu nlishindwa kufua dafu kbs, tatzo lilikuwa ninawahi kumaliza (ejaculate) na sio kawaida yangu kbs.

Hii hali imenipata ni mara ya pili sasa na imeanza kuninyima furaha kbs imefanya mchumba kaninunia ety simfikishi km hapo awali ,naomba nikiri hapo awali nlkuwa napga ushindo wa kwanza baada ya km dk5 hv na mshindo wa pili nlkuwa simalizagi kbs hadi yeye anakuwa anamalza mara 2 mm bado na nlkuwa naishia hapo tu na anakuwa ameua show kbs kwa upande wake.

Sasa ndg zangu naomba mnisaidie hata kwa ushauri tu maana hii ni aibu na inaniharibia mahusiano yangu sasa, shida itakuwa ni nini? Kwanini nawahi ku ejaculate? Haikuwa hivyo hapo nyuma why now? Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.

Hadi nmeanza kufikiria au sina nguvu za kiume? Ikizingatiwa sijawahi kumpa demu yoyote ujauzto tangu nmeyajua Mapenz, naumia sana.

Najua kuna watu hii hali imewahi kuwatokea naombeni kujua mlifanya nini mkawa sawa tena yani mkaendelea kutembeza dudu fresh tu na wapenz wenu wakaenjoy.

Natanguliza Shukurani.
Unajiua kisaikologia young boy, relax jiamini kama mwanaume, kuna jamaa moja akimwona mwanamke alofanya naye appointment, anamkimbizia ile kuingiza tu amemaliza kama jogooo😄, we hofu ndo inakua wala hauna tatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom