SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,903
Wakuu heshima yenu,
Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote.
Kilichonileta hapa Jukwaani ni kutaka msaada wenu kwa wale wakali wa hizi kazi ( Mambo ya kitandani).
Iko hv Juzi wakati npo faragha na huyo mchumba wangu nlishindwa kufua dafu kbs, tatzo lilikuwa ninawahi kumaliza (ejaculate) na sio kawaida yangu kbs.
Hii hali imenipata ni mara ya pili sasa na imeanza kuninyima furaha kbs imefanya mchumba kaninunia ety simfikishi km hapo awali ,naomba nikiri hapo awali nlkuwa napga ushindo wa kwanza baada ya km dk5 hv na mshindo wa pili nlkuwa simalizagi kbs hadi yeye anakuwa anamalza mara 2 mm bado na nlkuwa naishia hapo tu na anakuwa ameua show kbs kwa upande wake.
Sasa ndg zangu naomba mnisaidie hata kwa ushauri tu maana hii ni aibu na inaniharibia mahusiano yangu sasa, shida itakuwa ni nini? Kwanini nawahi ku ejaculate? Haikuwa hivyo hapo nyuma why now? Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.
Hadi nmeanza kufikiria au sina nguvu za kiume? Ikizingatiwa sijawahi kumpa demu yoyote ujauzto tangu nmeyajua Mapenz, naumia sana.
Najua kuna watu hii hali imewahi kuwatokea naombeni kujua mlifanya nini mkawa sawa tena yani mkaendelea kutembeza dudu fresh tu na wapenz wenu wakaenjoy.
Natanguliza Shukurani.
Mimi ni kijana Aged 27 sijaoa ila nina mchumba tangu mwaka 2020 ila bado hatujatambulishana makwetu, sina mtoto na wala sijawahi kumpa ujauzto manzi yeyote.
Kilichonileta hapa Jukwaani ni kutaka msaada wenu kwa wale wakali wa hizi kazi ( Mambo ya kitandani).
Iko hv Juzi wakati npo faragha na huyo mchumba wangu nlishindwa kufua dafu kbs, tatzo lilikuwa ninawahi kumaliza (ejaculate) na sio kawaida yangu kbs.
Hii hali imenipata ni mara ya pili sasa na imeanza kuninyima furaha kbs imefanya mchumba kaninunia ety simfikishi km hapo awali ,naomba nikiri hapo awali nlkuwa napga ushindo wa kwanza baada ya km dk5 hv na mshindo wa pili nlkuwa simalizagi kbs hadi yeye anakuwa anamalza mara 2 mm bado na nlkuwa naishia hapo tu na anakuwa ameua show kbs kwa upande wake.
Sasa ndg zangu naomba mnisaidie hata kwa ushauri tu maana hii ni aibu na inaniharibia mahusiano yangu sasa, shida itakuwa ni nini? Kwanini nawahi ku ejaculate? Haikuwa hivyo hapo nyuma why now? Guys I'm really confused with the situation and I can not hold to myself kuliweka hadharani.
Hadi nmeanza kufikiria au sina nguvu za kiume? Ikizingatiwa sijawahi kumpa demu yoyote ujauzto tangu nmeyajua Mapenz, naumia sana.
Najua kuna watu hii hali imewahi kuwatokea naombeni kujua mlifanya nini mkawa sawa tena yani mkaendelea kutembeza dudu fresh tu na wapenz wenu wakaenjoy.
Natanguliza Shukurani.