Jamani huu utumbuaji wa majipu!!!

PMM

JF-Expert Member
Dec 13, 2014
778
345
Mimi narudia si mwana CCM, si mwana CHADEMA, si mwana CUF wala hata ACT nk, ni mtanzania halisi, mzalendo. Siipendi CCM na naichukia kama ... kwa sababu tu walivyo fumbia macho maovu na kutufikisha hapa tulipo kama wananchi. Na huwa nawashangaa na kuto walelewa watanzania wengi wanao shabikia CCM na kubaki nimeduwaa.

Aidha, nilihisi Rais Magufuli atakuwa tofauti, ingawa si rahisi kujitoa ama kuichukia kama niichukuavyo mimi, lakini sisi wote ni watanzania na nimefurahishwa na juhudi zake na wakati mwingine hata kuelewa na kukubali hata mimi labda ningepigana vivyo hivyo. A fight from within.

Lakini sasa swali kubwa linalo taka jibu ni hili. Hivi Rais Magufuli atatumbua maipu yote haya bila kugusa kiini cha majipu yaani kimeo chake ambaye ni KIKWETE. Haingi akilini kusimamisha, wakurugenzi, makatibu wakuu, maafisa waandamizi, mawaziri nk bila kumgusa Rais mstaafu kwa namna moja ama nyingine!
 
Kumbuka kwenye kampeni zake alisema hatamwangusha so akijaribu kumgusa atakuwa KASHAMWANGUSHA
 
Magufuli anapowashuhulikia wapambe wake nae anamshuhulikia psychologically!!! Anapata maumivu kimya kimya na laiti katiba ya Warioba ingepita nae angesimamishwa kizimbani na ndio maana aliipinga rasimu ile kwa nguvu zake zote kuogopa LUPANGO!!
 
:A S thumbs_up::A S thumbs_up:
Magufuli anapowashuhulikia wapambe wake nae anamshuhulikia psychologically!!! Anapata maumivu kimya kimya na laiti katiba ya Warioba ingepita nae angesimamishwa kizimbani na ndio maana aliipinga rasimu ile kwa nguvu zake zote kuogopa LUPANGO!!
 
Yaani katika wale walioitwa malofa na wapumbavu basi wewe ni mmoja wapo. Rais Magufuli mpaka sasa katumbua majipu ya watumishi na watendaji wa serikali. Hakuna mtu binafsi aliyemgusa. Na aliahidi kula sahani moja na watendaji wezi, mafisadi, wazembe nk. Sasa tuambie huyo Kikwete ni mtumishi wa Idara gani ya Serikali. Kweli Mkapa hakukosea kuwaita ni Malofa na wapumbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…