Great thinkers bado wamowamo jf, hapo anauliza kama digit zimebadilika na kua nyinginyingi.Una ulizia mshahara kimkakati sana champion 🤔
Acha uongo wewe mtamuua mjasiriamali Kwa presha wakati salary badotangu tar 21 tayari
HahahaUna ulizia mshahara kimkakati sana champion 🤔
Jamaa yupo mpitimbi mashambani huko sasa kaona kimya ndio maana kauliza kijanja aende akatwange ulanzi kilabuniUna ulizia mshahara kimkakati sana champion 🤔
John niuzie kuku Jamaa yangu,wewe najua unao hapo kwako!Mwaka wa uchafuzi mkuu huu so kuwa mpooole
Kaja kinyumenyume kama kobe 😁Jamaa yupo mpitimbi mashambani huko sasa kaona kimya ndio maana kauliza kijanja aende akatwange ulanzi kilabuni
Wamebaki 16 tu sa hv nawala vibaya mno kwa wastani kuku wawili kila weekJohn niuzie kuku Jamaa yangu,wewe najua unao hapo kwako!
😂😂😂Kaka sio kufulia huko au unajengw mwili? Maana kuwala wawili Kwa wiki bila shaka ufugaji umeanza kukupa stress za maishaWamebaki 16 tu sa hv nawala vibaya mno kwa wastani kuku wawili kila week
Saa moja na nusu jioni, utawekewa salary yako, bado masaa machache tu boss 😋😋Tangu Jumamosi nilidhani wangelipwa, lakini hadi leo kimya. Isije kuwa wameshalipwa wakaamua kunyamaza.
Biashara imekuwa ngumu jamani—wadeni wangu, kama mmepokea malipo, tafadhali msinisahau.
Hahaaa umemsoma eeeh! Hapo kadi yake anatembea mfukoni 🤣🤣🤣🤣Una ulizia mshahara kimkakati sana champion 🤔
Wana tia huruma nikirudi home wananipokea na nikiwa natoka wananisindikiza..aisee kuku wanahitaji ujipange hata gunia mbili za pumba kbs😂😂😂Kaka sio kufulia huko au unajengw mwili? Maana kuwala wawili Kwa wiki bila shaka ufugaji umeanza kukupa stress za maisha
Ufugaji unapunguza stress sana,sema ndio hivyo ukifugia mjini gharama ni kubwa maana hakuna kuwatoa nje.Wana tia huruma nikirudi home wananipokea na nikiwa natoka wananisindikiza..aisee kuku wanahitaji ujipange hata gunia mbili za pumba kbs