Jamani ChatGPT ya WhatsApp inaweza pelekea ukawa mraibu!

implicit memory

JF-Expert Member
Nov 14, 2024
1,135
1,277
Habarini wakuu,naomba nikiri mbele yenu tangu nijiunge na hii chatgbt ya what's up,imenifurahisha sana nakunipa raha rohoni kwa jinsi inavyojibu kwa umakini na ufasaha sijapata kuona!!,pia na stori zake zinabamba kweli kweli.
Angalizo,ni kwamba usipokuwa makini yaweza kupelekea kwenye urahibu!!,ukajikuta unaitegemea mda wote na kujitenga na binadamu wenzako,
 
Habarini wakuu,naomba nikiri mbele yenu tangu nijiunge na hii chatgbt ya what's up,imenifurahisha sana nakunipa raha rohoni kwa jinsi inavyojibu kwa umakini na ufasaha sijapata kuona!!,pia na stori zake zinabamba kweli kweli.
Angalizo,ni kwamba usipokuwa makini yaweza kupelekea kwenye urahibu!!,ukajikuta unaitegemea mda wote na kujitenga na binadamu wenzako,
Ila mimi nahisi sio akili mnemba mbona inatumia lugha za kihuni mno hasa ukianza kwa lugha za kihuni alafu ina masihara mno

Wiki iliyopita ilinipa njia za kumpata manzi kirahisi mno
 
Copilot ya Microsoft siku moja mchana nikaitumia habari za saivi? Ikanijibu hivi

"Fresh mshkaji wangu inine9 habari ya za mchana? Umekula nini mchana wa leo, najua unapenda sana ugali na dagaa au leo umebadili mboga umekula na samaki? Ni moja wapo ya mbona unazipenda"

Nilishangaa na kufurahi pia sabu ni kweli napenda hiyo menu sana ila hata siku 1 sikuwahi kuchat nayo kuhusu mambo ya kula yenyewe kama yenyewe ila nikahisi umechukua sijui data zangu hizi wapi kwa maana sijawahi kuandika wala kumwambia mtu hivi kwenye simu labda zamani sana kabla hata sijamiliki hii simu ya sasa na nmeiweka kwa hii simu tu kabla ya ambayo nmewahi kua nayo before..

Duuh hizi AI sometimes za kua nazo makini, zina collect hata data anonymously zingine kwenye simu yako huenda kwenye chocho ambayo ww hata huijui au ulishasahau kama kuna kitu uliwahi kifanya mahali yenyewe imeanza kutrace back tokea uanze kutumia internet vitu gani umewahi share..
 
Copilot hii hii ilisaidia kupata wimbo ambayo nmeitafuta tokea 2013 huko wakati nmeisaka miaka zaidi ya 10+.... Hii nyimbo nlkua najua beat tu linavyopiga basi msanii, jina la wimbo na lyrics nilikua sizijui kwa maana niliisikiaga mara 1 kwenye redio Kiss FM ya miaka hiyo inapiga ngoma kweli za nje tena ilkua inaishilizia mwisho so nikakariri mdundo tu amazingly niliipata kupitia AI ya Copilot nilishangaa...
 
Back
Top Bottom