ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 65,816
- 75,109
Jaji Mkuu Prof.Ibrahim Juma amesema Majaji na Mahakimu wamekuwa wakinyanyapaliwa na kutengwa na jamii Kwa sababu ya kazi Yao ya kutoa Hukumu hivyo kuwa kwenye kundi kubwa la msongo wa mawazo hasa Wanawake.
---
MAJAJI na mahakimu wananyanyapaliwa na jamii kutokana na hukumu wanazotoa mahakamani, Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahimu Juma, amesema.
Akiwa na angalizo mahususi kwa watendaji wenzake wa mahakama, Jaji Mkuu Juma ameanika vitendo vya unyanyapaa kwa kundi hilo, akiwataka majaji na mahakimu wanawake kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi kwa kuwa wao ndiyo kundi linaloathiriwa zaidi na unyanyapaa huo.
Akirejelea katika utafiti uliofanyika Marekani kuhusu msongo wa mawazo na ustahimilivu kwa majaji wa Marekani, Prof. Juma amewataka watendaji wenzake wa mahakama kupambana na kikwazo hicho ili kufanya kazi zao vizuri.
Nipashe
My Take
Kwani wewe Jaji hukusikia Kauli ya Makonda? Mahakama imejaa dhuluma.
Sasa kama watu wanapindisha sheria Ili kuwapendelea wenye pesa na Vyeo na kunyima Haki maskini Kwa nini wasinyanyapaliwe na jamii?
Sio tuu Majaji Bali hata mapolisi ni wa kunyangapaliwa na kufukizwa kwenye jamii Kwa sababu ya matendo Yao ya uonevu.
---
MAJAJI na mahakimu wananyanyapaliwa na jamii kutokana na hukumu wanazotoa mahakamani, Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahimu Juma, amesema.
Akiwa na angalizo mahususi kwa watendaji wenzake wa mahakama, Jaji Mkuu Juma ameanika vitendo vya unyanyapaa kwa kundi hilo, akiwataka majaji na mahakimu wanawake kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi kwa kuwa wao ndiyo kundi linaloathiriwa zaidi na unyanyapaa huo.
Akirejelea katika utafiti uliofanyika Marekani kuhusu msongo wa mawazo na ustahimilivu kwa majaji wa Marekani, Prof. Juma amewataka watendaji wenzake wa mahakama kupambana na kikwazo hicho ili kufanya kazi zao vizuri.
Nipashe
My Take
Kwani wewe Jaji hukusikia Kauli ya Makonda? Mahakama imejaa dhuluma.
Sasa kama watu wanapindisha sheria Ili kuwapendelea wenye pesa na Vyeo na kunyima Haki maskini Kwa nini wasinyanyapaliwe na jamii?
Sio tuu Majaji Bali hata mapolisi ni wa kunyangapaliwa na kufukizwa kwenye jamii Kwa sababu ya matendo Yao ya uonevu.