duu ivi aiden yupo aisee mshikaji alikuwaga nondo sanaHII MADA INANIFANYA NIMKUMBUKE MWALIMU WANGU WA HESABU AIDEN PALE MCHIKICHINI .......
MSHIKAJI HAKUWAI KUSOMEA UALIMU ALISHIA FORM SIX TUU ILA NONDO ALIZOKUWA ANATOA SHULE KAMA LOYOLA,STMANTHONY WALIKUWA WANAMLILIA SANA
Nimependa sana tofali ulivyoelezea kwa kweli ni kweli kabisa ni bora ukubali kuwachia ofisi uangalie maisha mengine.Huko private hakuwahusu...wakae na ajira zao za serikali...
Ofisi ni zao..wao ndio wataamua wnataka nini..kwani serikali shida yao si kodi ilipwe...wawaaache.
Wakati sasa tukiwa katika mjadala wa "VYETI feki "na wengine kufika hatua kuwasema vibaya waliofoji 'VYETI mitandaoni na wengine wakishangilia watu kuondolewa maofisini " kuna kitu ningependa kufahamu .
Hivi Leo hii ikitokea mtumishi aliyeondolewa serikalini kwa kashfa ya "VYETI FEKI" ivi itakuwaje ikitokea ameajiriwa tena katika mashirika ya private ambapo huko "UZOEFU WA NA UTENDAJI WA KAZI "
kwa mfano wakati yupo serikalini aliajiriwa kama mtu wa " IT au FINANCE "ikitokea ameajiriwa private kwa nafasi ile ile hapo sheria inasemaje """.
Je kama mwajiri wake amemwajiri kwa kuangalia kigezo cha UZOEFU na KAZI BILA KUANGALIA CHETI " YEYE AMEPENDEZEWA NA UFANISI WAKE WA KAZII ????
JE KATIKA HILO MNAZUNGUMZIAJE NA UPANDE WA PILI WAZIRI ANAWEZA KUFANYA UHAKIKI ???.
Mimi hata sifahamu ila nilichokuwa ninakilenga HAPA.Kwani kuna sheria inayokataza kampuni ya private kuajiri kwa uzoefu?
Inategemea na kazi.Mimi hata sifahamu ila nilichokuwa ninakilenga HAPA.
Ivi ukiwa private sector unaweza kuhakikiwa na serikari .
Na sheria inasema vipi ukitumia VYETI feki na ukifanya KAZI private
Hapo alwatan nimekuelewa ulipozungumzia kipaji kwa mtu ambae yupo vizuli katika uongozi na technologia .Inategemea na kazi.
Kwa mfano, kuna kazi zinazohakikiwa na bodi za kiserikali. Kazi kwa mfano kama za udaktari unatakiwa uwe na kiwango fulani cha elimu, sifikirikamaunaweza kuwa daktari wa upasuaji hospitali ya private bila kusomea udaktari. Kazi fulani za kihasibu zinaweza kutaka upite mitihani fulani ya kihasibu.
Kuna kazi nyingine za uongozi tu au mambo ya teknolojia watu wanaweza kuangalia kipaji na uzoefu zaidi kuliko vyeti.
Nimeipenda hii dah tena private anapata kazi dah acha TUUYaani tena private ndo zitawaajiri fasta, maana wanajua ni ngumu kwao kuhama. na wakiajiriwa watakuwa wanapiga kazi kinoma maana nyongeza pekee ya income yao itakuwa kutokana na performance na sio kumtisha muajiri kuacha kazi
Yaani tena private ndo zitawaajiri fasta, maana wanajua ni ngumu kwao kuhama. na wakiajiriwa watakuwa wanapiga kazi kinoma maana nyongeza pekee ya income yao itakuwa kutokana na performance na sio kumtisha muajiri kuacha kazi
....Hiki unachokisema leo kwenye malumbano ya hoja ITV Julius Mtatiro amelifafanua vizuri sana, kwamba kwa ujumla zoezi la vyeti feki ni jema na muhimu but approach is not correct. Amesema ilitakiwa zoezi hili lifanywe kote, including private sector, na kuwe na database ambayo hata ukiomba kazi private sekta na kupeleka vyeti waajiri wawe na uwezo wa ku access na ku verify vyeti vya muombaji. But ukisema zoezi ni kwa serikali tuu hao majority waliotumbuliwa watakimbilia private. Jana nimeona manesi wawili waliokuwa wanafanya kwenye hospitali ya wilaya na mwingine kituo cha afya wanafanya kazi kwenye hospitali ya private, tena kubwa tuu.Huko private hakuwahusu...wakae na ajira zao za serikali...
Ofisi ni zao..wao ndio wataamua wnataka nini..kwani serikali shida yao si kodi ilipwe...wawaaache.
Yes thats right..serikali ilitakiwa iwe na system ya kuwa na data base ya kila msomi...ili kuepuka ujanja ujanja...na hili lingewazuia mpk wabunge na wakuu wa wilaya makanjanja kupata vyeo kwa kutumia kufoji vyeti.......Hiki unachokisema leo kwenye malumbano ya hoja ITV Julius Mtatiro amelifafanua vizuri sana, kwamba kwa ujumla zoezi la vyeti feki ni jema na muhimu but approach is not correct. Amesema ilitakiwa zoezi hili lifanywe kote, including private sector, na kuwe na database ambayo hata ukiomba kazi private sekta na kupeleka vyeti waajiri wawe na uwezo wa ku access na ku verify vyeti vya muombaji. But ukisema zoezi ni kwa serikali tuu hao majority waliotumbuliwa watakimbilia private. Jana nimeona manesi wawili waliokuwa wanafanya kwenye hospitali ya wilaya na mwingine kituo cha afya wanafanya kazi kwenye hospitali ya private, tena kubwa tuu.