Ishu ya Umeme hata Dotto Biteko ameingia kwenye ulaghai wa maneno

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
3,688
8,145
Tuliwaambia CCM haina kiongozi mwenye pure intelligence yaani AKILI NA UTASHI wa kubadili resources za Tanzania kuwa hela . Ni Majanga hilo Taifa.

Huyu Biteko aliingia kwenye Uwaziri na akafikia hatua anawatoa TANESCO wasihudhurie vikao vyake kujadili TATIZO la Umeme kwa sababu TANESCO ni sehemu ya Tatizo ; Hakujua kama na yeye ni sehemu ya TATIZO.

Kwa sasa anakiri wazi kuwa TANESCO kama Tanesco sio tatizo.Amekosa hoja hadi anaongea vitu irrelevant na wadau hapo wanamshangaa.

Huyu huyu Biteko alikuwa anaimba Tutauza Umeme nje; leo boss wake anautangazia Umma kuwa Tutanunua Umeme Ethiopia…… 🤣 Nchi ya Wendawazimu aisee …. Matokeo yake mnamuacha Msigwa anapambana kwenye mitandao kujustify vitu ambavyo sio justifiable .

Ni vitu vya aibu kuwa na viongozi ambao sio Honesty kwa wananchi wake.

The likelihood kuwa hawajamaa hawajui roadmap yao ni kubwa na ni ishara UFISADI ndani ya Ofisi kuu ya nchi upo mkubwa sana .The end does not justify the means

Mtu anajipangia kuongoza nchi hadi 2030 as if general élection imeshakamilika. Kuna kitu hakipo sawa Tanzania …… na walio wazunguka mabwana …..wengi ni wale elimu ya kuunga unga … na wengine ni form 4 failures ….. aibu ni kubwa.

Lazima Tujiulize kwanini CCM haitaki katiba mpya? Matatizo yote ya tz na mambo ya kuuza umeme mara kununua umeme yapo kwenye katiba.

Katiba mpya ni CUT-OFF POINT …..yaani ukisolve ishu ya KATIBA Basi 85% ya shida za TZ zitakuwa zimetatuliwa …. Umasikini utapungua sana na upupu na takataka kwenye vichwa vya watanzania utapungua.

KATIBA MPYA ni LAZIMA….. Chadema is to lead .

Dr Mega,
Canada
 

Attachments

  • D92578E7-1EF4-4EE9-911B-DA109D1D20F7.mp4
    5.9 MB
Umeme RC Chalamila aliwahi kusema kwa kujihami kuwa hata baada ya Bwawa la Nyerere kukamilika, kutakuwa na changamoto za usambazaji kwa muda tu.

Alisema hilo wakati kulikuwa na kauki nyingi za tatizo la umeme kuisha.

Katika maneno mengi ya upuuzi aliyoyasema Chalamila niliona pale kasema ukweli bila kuremba.
 
Umeme RC Chalamila aliwahi kusema kwa kujihami kuwa hata baada ya Bwawa la Nyerere kukamilika, kutakuwa na changamoto za usambazaji kwa muda tu.

Alisema hilo wakati kulikuwa na kauki nyingi za tatizo la umeme kuisha.

Katika maneno mengi ya upuuzi aliyoyasema Chalamila niliona pale kasema ukweli bila kuremba.
Waropokaji wengi huwa ni wakweli…… Chalamila ni mmoja wapo.
 
Waropokaji wengi huwa ni wakweli…… Chalamila ni mmoja wapo.
Huyu Chalamila anaweza kusema chochote na anaposema neno siyo kwamba anakuwa anajua. Hilo huenda kabisa alijisemea tu kwa sababu huwa anaropoka. Hili suala la umeme lime-summarize CCM ilipofikia.... ni wababaishaji wanaofanya mambo kwa kubahatisha tu. Wanajua hawahitaji kuwa makini kwa sababu kura za wananchi hazina umuhimu kwao. Wao wako kazi yao ni kupanga wafanyaje ili waendelee kutawala na kustarehe.
 
Akizungukwa na wa degree mambo yatakuwa sawa?
Don't USE FORM FOUR (IV) Level embarrassed way. Rais anazungukwa na Phds & alike, so state the case meticulously & pragmatically not otherwise.
Nchi inahitaji umeme ili shughuli za watu ziboreke hata kama ni kutoka EGYPT ilimradi umeme upatikane na huku tunajipanga kuongeza uwezo ndani ya Nchi.

A point of discussion can be on the capacity of JNHP referring the previous statements from the ministry concerned & the President's office.

Nazani Wizara itoe ufafanuzi kuhusu uwezo wa Bwawa la Mwalimu Nyerere maana matarajio baada ya kutumia Pesa nyingi na tulijitoa kama Nchi kuhakikisha Bwawa linakamilika ili kupata umeme toshelezi na Viongozi wetu walisema huo ndio mwarubaini wa ukosefu wa umeme Nchini. Swali;
Nini kimetokea ghafla hivyo ?
Bwawa letu sio tegemeo tena ?
Hii wizara ina historia ya upigaji nazani ndio mashaka ya wengi yanakuja.
Nb: Wananchi tunahitaji umeme, umeme ni maisha, ni furaha na maendeleo ya watu. Kama hata ni kutoa USA uletwe haraka ili kuondoa usumbufu wa kukatika.
 
Huyu Chalamila anaweza kusema chochote na anaposema neno siyo kwamba anakuwa anajua. Hilo huenda kabisa alijisemea tu kwa sababu huwa anaropoka. Hili suala la umeme lime-summarize CCM ilipofikia.... ni wababaishaji wanaofanya mambo kwa kubahatisha tu. Wanajua hawahitaji kuwa makini kwa sababu kura za wananchi hazina umuhimu kwao. Wao wako kazi yao ni kupanga wafanyaje ili waendelee kutawala na kustarehe.
Hawajui Road Map yao…… wanakula national cake bila huruma….
Ngozi nyeusi bwana
 
Akizungukwa na wa degree mambo yatakuwa sawa?
Don't USE FORM FOUR (IV) Level embarrassed way. Rais anazungukwa na Phds & alike, so state the case meticulously & pragmatically not otherwise.
Nchi inahitaji umeme ili shughuli za watu ziboreke hata kama ni kutoka EGYPT ilimradi umeme upatikane na huku tunajipanga kuongeza uwezo ndani ya Nchi.

A point of discussion can be on the capacity of JNHP referring the previous statements from the ministry concerned & the President's office.

Nazani Wizara itoe ufafanuzi kuhusu uwezo wa Bwawa la Mwalimu Nyerere maana matarajio baada ya kutumia Pesa nyingi na tulijitoa kama Nchi kuhakikisha Bwawa linakamilika ili kupata umeme toshelezi na Viongozi wetu walisema huo ndio mwarubaini wa ukosefu wa umeme Nchini. Swali;
Nini kimetokea ghafla hivyo ?
Bwawa letu sio tegemeo tena ?
Hii wizara ina historia ya upigaji nazani ndio mashaka ya wengi yanakuja.
Nb: Wananchi tunahitaji umeme, umeme ni maisha, ni furaha na maendeleo ya watu. Kama hata ni kutoa USA uletwe haraka ili kuondoa usumbufu wa kukatika.


Swrikali ya CCM haina uwezo wa kutekeleza na kusimamia mradi wowote kwa ufanisi. Walichofanikiwa sana ni kuwapumbaza wananchi, kutengeneza machawa, kuteka na kuua wanaomkosoa Rais na Serikali, LAKINI kwenye mambo yote yenye faida kwa wananchi na Taifa ni wamefeli:

Bandari wameshindwa, wamewagawia waarabu.

Viwanja vya ndege wameshindwa, wamemgawia mwarabu.

Mwendokasi wameshindwa, wanamtafuta mwarabu.

Mbuga za wanyama na hifadhi za misitu wamewagawia waarabu.

Elimu wameiua na sasa mtaala umekuwa unaolenga kuzalisha watu wanafiki na machawa.

Shirika la ndege imeshindikana kujiendesha.

SGR nayo imewashinda.

Fikiria vitu tunavitengeneza wenyewe, tena kwa gharama kubwa, halafu eti tunashindwa kusimamia na kuviendesha!!
 
Back
Top Bottom