IPP media imeweza kuibua vipaji vingi vya wahandishi wa habari ambao wengine ni furahaa tukiwaona

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
9,373
20,103
Mimi tokea kuanza kwa ITV na redio zake kupitia IPP ndio naona kuna vipaji vingi vya ma Dj na wahandishi wa habari hata yule mirad makepu katokea huko.

Napenda sana kusikiliza taifa ya habari ya ITV napo sikia mkoa fulani kuna manguri ambao nahisi habari zimekamilika.

Upande wa redio one nako kama watufanya kijiona tunaishi maisha yaliyopita mda mrefu.

Kuna watangazaji inabidi sasa kuwapa kongole waliopo IPP media na waliotoka .

Wa kwanza kwangu ni Farid karim wa ITV yani huyu mzee tokea kuijua ITV inaanzishwa nikisikia tu sauti yake najua znz.

Kuna wengine mtutajie wote maana ITV ilikuwa rahaa na redio one.
 
Mimi tokea kuanza kwa ITV na redio zake kupitia IPP ndio naona kuna vipaji vingi vya ma Dj na wahandishi wa habari hata yule mirad makepu katokea huko.

Napenda sana kusikiliza taifa ya habari ya ITV napo sikia mkoa fulani kuna manguri ambao nahisi habari zimekamilika.

Upande wa redio one nako kama watufanya kijiona tunaishi maisha yaliyopita mda mrefu.

Kuna watangazaji inabidi sasa kuwapa kongole waliopo IPP media na waliotoka .

Wa kwanza kwamgu Farid karim wa ITV yani huyu mzee tokea kuijua ITV inaanzishwa nikisikia tu sauti yake najua znz.

Kuna wengine mtutajie wote maana ITV ilikuwa rahaa na redio one.
Wahandishi wa habari ndiyo nini mwanangu?
 
Mimi tokea kuanza kwa ITV na redio zake kupitia IPP ndio naona kuna vipaji vingi vya ma Dj na wahandishi wa habari hata yule mirad makepu katokea huko.

Napenda sana kusikiliza taifa ya habari ya ITV napo sikia mkoa fulani kuna manguri ambao nahisi habari zimekamilika.

Upande wa redio one nako kama watufanya kijiona tunaishi maisha yaliyopita mda mrefu.

Kuna watangazaji inabidi sasa kuwapa kongole waliopo IPP media na waliotoka .

Wa kwanza kwangu ni Farid karim wa ITV yani huyu mzee tokea kuijua ITV inaanzishwa nikisikia tu sauti yake najua znz.

Kuna wengine mtutajie wote maana ITV ilikuwa rahaa na redio one.
Farid Karim au Farouk Karim?
 
Ndio watangazaji wa habari.sasa hivi tuna watangazaji sio

kama umelewea eleza utamu wako shida unataka kukosoa mbona wazo ujakuwa nalo
Wazo ni lako sawa, kwa hiyo ukikosea ama kupotoka sehemu, basikusahihishwa inakuwa bonge la issue siyo?
Bas'sawa.
 
Wazo ni lako sawa, kwa hiyo ukikosea ama kupotoka sehemu, basikusahihishwa inakuwa bonge la issue siyo?
Bas'sawa.
Umetaka kuwajua au ulitaka kuuliza inaweza wakawa watoto wa 2000 ndio wanajua makosa sio wale
 
Hili labda litaweza kutokea miaka 20 ijayo
Hii infection ya uchawa sio conducive kwa waandishi wa habari wenye weredi
Nchi inahitaji kufanya cleansing ya miongo kadhaa turudi vizuri
 
Wahandishi ❌
Waandishi ✅

Rose Chitala
John Marandu (R. I. P)
Nechi Lyimo
Misanya Bingi (R. I. P)
Julius Nyaisanga (R. I. P)
Flora Nducha
 
Hoja yako ni nzuri ila hujui kuandika maneno na majina ya watangazaji kwa usahihi. Unaandika kama uliishia la saba na hukujua kusoma na kuandika vema
 
Mimi tokea kuanza kwa ITV na redio zake kupitia IPP ndio naona kuna vipaji vingi vya ma Dj na wahandishi wa habari hata yule mirad makepu katokea huko.

Napenda sana kusikiliza taifa ya habari ya ITV napo sikia mkoa fulani kuna manguri ambao nahisi habari zimekamilika.

Upande wa redio one nako kama watufanya kijiona tunaishi maisha yaliyopita mda mrefu.

Kuna watangazaji inabidi sasa kuwapa kongole waliopo IPP media na waliotoka .

Wa kwanza kwangu ni Farid karim wa ITV yani huyu mzee tokea kuijua ITV inaanzishwa nikisikia tu sauti yake najua znz.

Kuna wengine mtutajie wote maana ITV ilikuwa rahaa na redio one.
Umri wako tafadhali mkuu.?
 
Abubakar Sadick
Muyenjwa Gamba
Rose Chitala
Misanya Bingi mzee wa kipusa
Chumvi nae katokea huko
Regina Mwaleka or Mziwanda nowdays
Nechi Limo
Watotoooooooo wasafi moyooooni ni...,.... Duh nimekumbuka mbali mno
Watuma salamu:chescoooo mzee wa matunda
Limonga jaaaaaaaaaastini limonga
Mimi ni George Maratu ITVvvvvvvvvvvvvvvvvv
Nimechanganya ila nisamehewe..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom