nmechoka kutumia smartphone za tecno coz nmekuwa nkjtahid kubadil mara kwa mara model tofaut
sasa nataka kuhamia kwa samsung...kwa budget ya 250 ipi iko poa kwa matumiz ya kawaida.. natangulza shukran
nmechoka kutumia smartphone za tecno coz nmekuwa nkjtahid kubadil mara kwa mara model tofaut
sasa nataka kuhamia kwa samsung...kwa budget ya 250 ipi iko poa kwa matumiz ya kawaida.. natangulza shukran
Galaxy J1 kama unapenda software updated kidogo coz hii inatumia kitkat...au tafuta s2 kama unaweza tumia gingerbread.....hizo ni mpya kwa hiyo bei.....pia waweza pata second hand s3 yenyewe inatumia jelly bean...
Sema hizo j1 zina 4GB internal na RAM ya 512MB.....ya kawaida sana...hizo nyingine kidogo zinaspecs kali....ingawa j1 kwa kamera nao wako poa....pia tembelea Jumia unaweza pata deals nzuri zaidi kwa hiyo bei!
nmechoka kutumia smartphone za tecno coz nmekuwa nkjtahid kubadil mara kwa mara model tofaut
sasa nataka kuhamia kwa samsung...kwa budget ya 250 ipi iko poa kwa matumiz ya kawaida.. natangulza shukran