ahaa! mimi na iPhone tuligombanaga...🤣
Hazinipi uhuru naouhitaji! mimi kidogo ni mtundu mtundu so kuna baadhi ya application nikizitaka kwenye iPhone hazikubali ama kwenye store yao haipo!, inakuwa kama nipo gerezani!.hAha kwanini😂😂
Mnunulie waifuHazinipi uhuru naouhitaji! mimi kidogo ni mtundu mtundu so kuna baadhi ya application nikizitaka kwenye iPhone hazikubali ama kwenye store yao haipo!, inakuwa kama nipo gerezani!.
sijaoa nipo singleMnunulie waifu
Mnunulie mdogo wakosijaoa nipo single
anayoMnunulie mdogo wako
Sawa mkuuanayo
Utundu kwenye iPhone rahisi sana. Kipindi nina Iphone nilikuwa naweka paid/cracked apps kupitia iTunes bila kuijailbreakHazinipi uhuru naouhitaji! mimi kidogo ni mtundu mtundu so kuna baadhi ya application nikizitaka kwenye iPhone hazikubali ama kwenye store yao haipo!, inakuwa kama nipo gerezani!.