Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 439
- 1,589
ni aibu mwanaume kupropagate jambo ambalo huwezi ukalithibitisha.....uongo wa mwanaume, mara nyingi huzua mizozo, ugomvi na hata vita.Mambo mengine bana ya kijinga sana, Saido Ntibazonkiza amelalamika kwenye kurasa yake ya insta, akisema mbona mapema sana.Kauli hiyo inaashiria kuwa ametafutwa na jamaa zetu wa utopolo ili acheze chini ya kiwango au ajivunje, ndio maana mnaishia raundi ya kwanza ligi ya mabingwa, shenz kabisa
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Sasa wewe umejuaje huyo ni mwanaume au mwanamke?ni aibu mwanaume kupropagate jambo ambalo huwezi ukalithibitisha. Karama hiyo ni special kwa wanawake tu. kama wewe ni mwanamke, uziwie radhi, endelea tu, maana wanawake uongo si dhambi ni sunnah.....uongo wa mwanaume, mara nyingi huzua mizozo, ugomvi na hata vita.
Uongo sio sunna, acha kupotosha.ni aibu mwanaume kupropagate jambo ambalo huwezi ukalithibitisha. Karama hiyo ni special kwa wanawake tu. kama wewe ni mwanamke, uziwie radhi, endelea tu, maana wanawake uongo si dhambi ni sunnah.....uongo wa mwanaume, mara nyingi huzua mizozo, ugomvi na hata vita.
Kusutwa ndio sunaUongo sio sunna, acha kupotosha.
kama napropagate c uthibitshe kwenye instani aibu mwanaume kupropagate jambo ambalo huwezi ukalithibitisha. Karama hiyo ni special kwa wanawake tu. kama wewe ni mwanamke, uziwie radhi, endelea tu, maana wanawake uongo si dhambi ni sunnah.....uongo wa mwanaume, mara nyingi huzua mizozo, ugomvi na hata vita.
Ndipo uelewa wako ulipoishia?? Rage aliona mbali kuwaita mbumbumbu!!Mambo mengine bana ya kijinga sana, Saido Ntibazonkiza amelalamika kwenye kurasa yake ya insta, akisema mbona mapema sana. Kauli hiyo inaashiria kuwa ametafutwa na jamaa zetu wa utopolo ili acheze chini ya kiwango au ajivunje, ndio maana mnaishia raundi ya kwanza ligi ya mabingwa, shenz kabisa
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Hivi unapata wapi ujasiri wa kuanzisha mada ambayo haina ushahidi wowote! Unaleta habari zako za insta, jamii forums!!Mambo mengine bana ya kijinga sana, Saido Ntibazonkiza amelalamika kwenye kurasa yake ya insta, akisema mbona mapema sana. Kauli hiyo inaashiria kuwa ametafutwa na jamaa zetu wa utopolo ili acheze chini ya kiwango au ajivunje, ndio maana mnaishia raundi ya kwanza ligi ya mabingwa, shenz kabisa
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa haustahili kuwepo humu kutokana uwezo wako kiakili upo chini sana. Habari umeileta wewe badala ya kutoa habari yenye ushahidi unakuja kutukana watu mnaopishana kimawazo.Usiwe choko na ww, kama napropagate c uthibitshe kwenye insta
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Unawashwa washwa na Yanga sana. Pambana na ice cream kwanzaMambo mengine bana ya kijinga sana, Saido Ntibazonkiza amelalamika kwenye kurasa yake ya insta, akisema mbona mapema sana. Kauli hiyo inaashiria kuwa ametafutwa na jamaa zetu wa utopolo ili acheze chini ya kiwango au ajivunje, ndio maana mnaishia raundi ya kwanza ligi ya mabingwa, shenz kabisa
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Bora kutoshabikia mpira. Kwanini uteseke hivi kiongozi.Mambo mengine bana ya kijinga sana, Saido Ntibazonkiza amelalamika kwenye kurasa yake ya insta, akisema mbona mapema sana. Kauli hiyo inaashiria kuwa ametafutwa na jamaa zetu wa utopolo ili acheze chini ya kiwango au ajivunje, ndio maana mnaishia raundi ya kwanza ligi ya mabingwa, shenz kabisa
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
soma sentensi upya ndiyo sababu kuna neno "kama" au hujui matumizi ya hili neno?Sasa wewe umejuaje huyo ni mwanaume au mwanamke?
Ngoja tukupumzishe kwanza ukakae lockup na wahuni wenzako.Usiwe choko na ww, kama napropagate c uthibitshe kwenye insta
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Wewe shoga umekuja kutafuta mabwana huku,Siku hizi umeacha kutafuta mabwana Pm.?Mambo mengine bana ya kijinga sana, Saido Ntibazonkiza amelalamika kwenye kurasa yake ya insta, akisema mbona mapema sana. Kauli hiyo inaashiria kuwa ametafutwa na jamaa zetu wa utopolo ili acheze chini ya kiwango au ajivunje, ndio maana mnaishia raundi ya kwanza ligi ya mabingwa, shenz kabisa
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app