Information Technology(IT-TEHAMA)-03

jikuTech

Senior Member
Apr 9, 2023
138
194

NINI MAANA YA KOMPYUTA​

Kompyuta ni kifaa cha kielektroniki ambacho huchukua taarifa/maagizo kutoka kwa mtumiaji na kuchakata taarifa / maagizo hayo chini ya udhibiti wa mipangilio ya maelezo maalum (inayoitwa programu) na kutoa matokeo (pato) na kutunza matokeo hayo kwa matumizi ya siku zijazo. Inaweza kuchakata hesabu za nambari na zisizo za nambari (hesabu na kimantiki).

Mwanzoni kabisa ilikuwa ikijulikana kwamba mtu anae fanya mahesabu makubwa na kwa ufanisi basi ndio walimwita Kompyuta lakini kwa sasa hivi Kompyuta imekuwa ni kifaa kinacho tumia umeme kinacho fanya kazi automatic kwa kuongozwa na mtumiaji kwa namna anayo itaka yeye

Historia ya Kompyuta kwa ufupi.​

Kabla ya yote kwenye ufahamu wako tambua kwamba Kompyuta ni kama neno Computing ambalo linashabiiana na neno calculating na pia neno calculating ni sawa na kurahisisha yaani simplifying

Kompyuta —>>> Computing

Computing —-->>>>Calculating== calculator

Calculating →>> Simplifying


Hayo ni mambo ambayo mtu unatakiwa kufahamu katika kichwa pindi unapo skia neno Kompyuta

Tuendelee,,,,, Watu wa zamani walitumia vijiti, mawe na muda mwingine mifupa kufanya mahesabu yao na hivyo vilikuwa kama vifaa vya kuhesabia

Lakini maendeleo ya ubongo wa mwanadamu na Kukua kwa technology kuliendelea na kupelekea kuwepo kwa mapinduzi mbalimbali.

Muda ulivyo zidi vifaa vingine vilikuwa vikigunduliwa



Katika ugunduzi wa Kompyuta devices


Kuna vizazi vingi ambavyo ni kama mabolesho matano yaliyofanyika kutoka ugunduzi hadi sasa. Hadi sasa tupo kwenye generation ya tano ambayo ina:-

Desktop Kompyuta

Laptop Kompyuta

Note-Book

Utla-Book

Chrome-Book View 04


Bonyeza HAPA Ingia kwenye mafunzo haya, Ujifunze moja kwa moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom