Pre GE2025 INEC: Ni Marufuku Kuhamasisha Watu Wasipige Kura

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Inside10

JF-Expert Member
May 20, 2011
30,680
34,079
20250418_215848.jpg

Viongozi, mgombea au mtendaji wa Chama cha Siasa, mwanachama na mfuasi wa Chama cha siasa kulingana na Kanuni za maadili ya uchaguzi Mkuu zilizochapishwa hii leo kwenye gazeti la Serikali tayari kutumika, ni marufuku kuhamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja, kununua kadi ya mpigakura. Kukusanya kadi za wapigakura ama kuharibu kura.

Watu hao pia hawaruhusiwi kutoa hongo, zawadi, kununua kura, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpigakura au mtendaji wa uchaguzi, kuhamasisha au kuzuia wapigakura wasijitokeze kupiga kura siku ya kupigakura ama kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia kura, kuhesabia au kujumlishia kura.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Mtu yeyote hatoruhusiwa kutumia simu ya kiganjani au kifaa kingine cha mawasiliano ndani ya kituo cha kupigia kura, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa kwa msimamizi wa uchaguzi, msimamizi msaidizi wa uchaguzi, msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao wataruhusiwa kutumia simu zao au kifaa kingine cha mawasiliano pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu.

"Simu na vifaa hivyo kwa wakati wote viwe vimeondolewa mlio na viwe kwenye mtetemo" imesema Kanuni ya maadili ya uchaguzi Mkuu 2025.
 
Viongozi, mgombea au mtendaji wa Chama cha Siasa, mwanachama na mfuasi wa Chama cha siasa kulingana na Kanuni za maadili ya uchaguzi Mkuu zilizochapishwa hii leo kwenye gazeti la Serikali tayari kutumika, ni marufuku kuhamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja, kununua kadi ya mpigakura. Kukusanya kadi za wapigakura ama kuharibu kura.

Watu hao pia hawaruhusiwi kutoa hongo, zawadi, kununua kura, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpigakura au mtendaji wa uchaguzi, kuhamasisha au kuzuia wapigakura wasijitokeze kupiga kura siku ya kupigakura ama kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia kura, kuhesabia au kujumlishia kura.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Mtu yeyote hatoruhusiwa kutumia simu ya kiganjani au kifaa kingine cha mawasiliano ndani ya kituo cha kupigia kura, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa kwa msimamizi wa uchaguzi, msimamizi msaidizi wa uchaguzi, msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao wataruhusiwa kutumia simu zao au kifaa kingine cha mawasiliano pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu.

"Simu na vifaa hivyo kwa wakati wote viwe vimeondolewa mlio na viwe kwenye mtetemo" imesema Kanuni ya maadili ya uchaguzi Mkuu 2025.
well done INEC 💪👊
 
Hawana nafasi hiyo, na huyo Mamluki Mwambegele atadhalilika sana.

Mwambegele hafiki hata nusu ya Heshima aliyokuwa nayo Lewis Makame, Pamoja na heshima ya Makame, lakini aliharibu kijinga sana baada ya kukubali kutumikishwa na ccm.

Makame alipofariki alizikwa na watu watano tu huku mitaa yote ikimkejeli, kwa heshima aliyoijengea kwenye Mahakama ya Tanzania haikuwa ndogo.

Mwambegele asubiri aibu itakayogharimu familia yake milele
 
View attachment 3308834
Viongozi, mgombea au mtendaji wa Chama cha Siasa, mwanachama na mfuasi wa Chama cha siasa kulingana na Kanuni za maadili ya uchaguzi Mkuu zilizochapishwa hii leo kwenye gazeti la Serikali tayari kutumika, ni marufuku kuhamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja, kununua kadi ya mpigakura. Kukusanya kadi za wapigakura ama kuharibu kura.

Watu hao pia hawaruhusiwi kutoa hongo, zawadi, kununua kura, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpigakura au mtendaji wa uchaguzi, kuhamasisha au kuzuia wapigakura wasijitokeze kupiga kura siku ya kupigakura ama kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia kura, kuhesabia au kujumlishia kura.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Mtu yeyote hatoruhusiwa kutumia simu ya kiganjani au kifaa kingine cha mawasiliano ndani ya kituo cha kupigia kura, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa kwa msimamizi wa uchaguzi, msimamizi msaidizi wa uchaguzi, msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao wataruhusiwa kutumia simu zao au kifaa kingine cha mawasiliano pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu.

"Simu na vifaa hivyo kwa wakati wote viwe vimeondolewa mlio na viwe kwenye mtetemo" imesema Kanuni ya maadili ya uchaguzi Mkuu 2025.
Tunahamasishana sisi wafuasi wa chama mlichokizuia kushiriki uchaguzi. Hatufuati kila kinachosemwa na tume, bali tunafuatwa tunachoamini ni sahihi. Hiyo tume isiyoweza kuhojiwa ama kushitakiwa popote haina uhalali wowote wa umma.
 
Kama kutokupiga kura au kuharibu kura yako sio kosa la jinai bali ni sehemu ya uhuru wa kujieleza, maana yake mtu anaweza kukushawishi ufanye hivyo, na hakuna jinai yoyote.
 
Kama kutokupiga kura au kuharibu kura yako sio kosa la jinai bali ni sehemu ya uhuru wa kujieleza, maana yake mtu anaweza kukushawishi ufanye hivyo, na hakuna jinai yoyote.
 
View attachment 3308834
Viongozi, mgombea au mtendaji wa Chama cha Siasa, mwanachama na mfuasi wa Chama cha siasa kulingana na Kanuni za maadili ya uchaguzi Mkuu zilizochapishwa hii leo kwenye gazeti la Serikali tayari kutumika, ni marufuku kuhamasisha wanachama au wafuasi kupiga kura zaidi ya mara moja katika uchaguzi mmoja, kununua kadi ya mpigakura. Kukusanya kadi za wapigakura ama kuharibu kura.

Watu hao pia hawaruhusiwi kutoa hongo, zawadi, kununua kura, shukrani au aina yoyote ya malipo ya fedha au vifaa kwa mpigakura au mtendaji wa uchaguzi, kuhamasisha au kuzuia wapigakura wasijitokeze kupiga kura siku ya kupigakura ama kuvamia au kukaa kwa nguvu ndani ya kituo cha kupigia kura, kuhesabia au kujumlishia kura.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Aidha Mtu yeyote hatoruhusiwa kutumia simu ya kiganjani au kifaa kingine cha mawasiliano ndani ya kituo cha kupigia kura, kuhesabia au kujumlishia kura isipokuwa kwa msimamizi wa uchaguzi, msimamizi msaidizi wa uchaguzi, msimamizi wa kituo, wasaidizi wake na mlinzi wa kituo cha kupigia kura ambao wataruhusiwa kutumia simu zao au kifaa kingine cha mawasiliano pale itakapobidi kwa shughuli za uchaguzi tu.

"Simu na vifaa hivyo kwa wakati wote viwe vimeondolewa mlio na viwe kwenye mtetemo" imesema Kanuni ya maadili ya uchaguzi Mkuu 2025.

View: https://youtu.be/CaCcs3vhnwY?si=h2vz5Z4JEY9vleZt
Hii tume ya CCM inapaswa kupewa elimu...

Inashangaza kuwa, tume ina majaji wasomi tena wanaitwa "majaji wa mahakama ya rufaa" lakini wanakuwa manipulated na wajinga ndani ya CCM na serikali kiasi cha wao kuonekana wajinga na wapumbavu tu
 
Back
Top Bottom