Inawezekana punyeto (kujichua) ndiyo imenithiri au mimi nina matatizo?

The patriot man

JF-Expert Member
Aug 16, 2015
1,067
1,340
Wakuu kwema aisee nina tatizo tatizo kubwa mimi nimeanza punyeto 2014 nilifundishwa na ndugu yangu aisee kuanzia pale nikawa nafurahia huu mchezo mpaka leo

Sasa kuna tatizo limenikuta aisee nikifanyq mapenzi huwa natumia mda mrefu saana na sikojoi kabisa yaani mpaka mpenzi wangu anachoka ila nikipiga punyeto nakojoa..

Maumbile hayajalegea.. noo nafanya mapenzi vizuri ila kukojoa ndo tatizo mpaka nitumia mda mrefu saaana.. naombeni msaada nifanyeje
 
Ni kweli Punyeto inaweza changia hilo. Binafsi ishawahi nitokea. Tena husababishwa zaidi kama mwanamke unaeshiriki nae huna hisia nae. Soma hichi kitabu kwanza kinaweza kukusaidia kwenye hilo.
 

Attachments

  • The_Porn_Pandemic_A_Simple_Guide_To_Ending_Pornography_And_Masturbation.pdf
    489.2 KB · Views: 9
Wakuu kwema aisee nina tatizo tatizo kubwa mimi nimeanza punyeto 2014 nilifundishwa na ndugu yangu aisee kuanzia pale nikawa nafurahia huu mchezo mpaka leo

Sasa kuna tatizo limenikuta aisee nikifanyq mapenzi huwa natumia mda mrefu saana na sikojoi kabisa yaani mpaka mpenzi wangu anachoka ila nikipiga punyeto nakojoa..

Maumbile hayajalegea.. noo nafanya mapenzi vizuri ila kukojoa ndo tatizo mpaka nitumia mda mrefu saaana.. naombeni msaada nifanyeje
Hapo kwenye kufundishana ndio bado nawaza......
 
Wakuu kwema aisee nina tatizo tatizo kubwa mimi nimeanza punyeto 2014 nilifundishwa na ndugu yangu aisee kuanzia pale nikawa nafurahia huu mchezo mpaka leo

Sasa kuna tatizo limenikuta aisee nikifanyq mapenzi huwa natumia mda mrefu saana na sikojoi kabisa yaani mpaka mpenzi wangu anachoka ila nikipiga punyeto nakojoa..

Maumbile hayajalegea.. noo nafanya mapenzi vizuri ila kukojoa ndo tatizo mpaka nitumia mda mrefu saaana.. naombeni msaada nifanyeje
Unatumia condom ?
 
Wakuu kwema aisee nina tatizo tatizo kubwa mimi nimeanza punyeto 2014 nilifundishwa na ndugu yangu aisee kuanzia pale nikawa nafurahia huu mchezo mpaka leo

Sasa kuna tatizo limenikuta aisee nikifanyq mapenzi huwa natumia mda mrefu saana na sikojoi kabisa yaani mpaka mpenzi wangu anachoka ila nikipiga punyeto nakojoa..

Maumbile hayajalegea.. noo nafanya mapenzi vizuri ila kukojoa ndo tatizo mpaka nitumia mda mrefu saaana.. naombeni msaada nifanyeje
Bora uchelewe kufika kuliko kuwahi😀😀😀😀
 
Ukikata kumwaga mfikirie mwanamke mwingiine kuvuta hisia.

Hilo sio tatizo mkuu bali ni tatizo la wanawake wengi wa sasa kukosa mvuto wakati wa kufanya mapenzi.
 
Back
Top Bottom