FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 39,352
- 45,376
Yaani hii sehemu si J3, si J4, si J5, si Alhamis, si Ijumaa, Jumamosi na Jumapili ndiyo usiseme kabisa, yaani eti hata pa kukanyaga hamna, ni nini hiki?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?
Mmechinja mkamtoa kafara hapo au kuna nini jamani?