Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,310
Nashangaa wakristo waliowengi wakitaka kutuma ujumbe kuhusu siku hii kubwa duniani na kuandia X-mass, badala ya kuandika "Christmass". Neno "X" ni neno la kishetani likimaanisha "biashara ya ngono". Achaa!
Andika " Christmass" likiwa na maana " Kusanyiko la Yesu Christo"
Andika " Christmass" likiwa na maana " Kusanyiko la Yesu Christo"