Important: Collapse of Ukraine government has begun . . .

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
16,842
22,280

IMPORTANT: COLLAPSE OF UKRAINE GOVERNMENT HAS BEGUN . . .​


September 03, 2024
IMPORTANT: COLLAPSE OF UKRAINE **GOVERNMENT ** HAS BEGUN . . .


Important: The collapse of the Ukraine government has started; the following ministers have resigned:
Vitaliy Stanislavovych Koval - Head of the State Property Fund of Ukraine Vitaliy Koval - Wikipedia

Ruslan Strilets - Minister of Environmental Protection and Natural Resources of Ukraine Ruslan Strilets - Wikipedia

Denys Maliuska - Minister of Justice of Ukraine Denys Maliuska - Wikipedia

Oleksandr Kamyshin - Minister of Strategic Industries Oleksandr Kamyshin - Wikipedia

their resignations still have to be processed by the Verkhovna Rada (parliament).

One source told me "The rats have begun to flee the sinking ship."
UPDATE 7:43 PM EDT --
Parliament announces reshuffle day: 50% of Cabinet of Ministers to be replaced

The Ukrainian government is planning a personnel reshuffle, with more than 50% of the Cabinet of Ministers to be replaced.
In particular, tomorrow, September 4, will be a “day of dismissals”, according to the head of the Servant of the People faction, Davyd Arakhamia. "As promised, a major government reboot can be expected this week. Over 50% of the staff of the Cabinet of Ministers will be changed," Arakhamia wrote.
According to him, "tomorrow will be a day of dismissals, and the day after tomorrow—a day of appointments." The final list will be determined at the faction meeting on September 4.

Personnel changes in the Cabinet of Ministers
Recently, Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy mentioned that he is discussing potential government changes with Prime Minister Denys Shmyhal. Specifically, he emphasized the need to address the issue with the large number of acting ministers in the Cabinet Today, the sources of RBC-Ukraine in the government reported that significant personnel changes are expected in the Cabinet of Ministers this week. Rotations are also possible in the Presidential Office.
------------------++++++++++++++
Link:
 

IMPORTANT: COLLAPSE OF UKRAINE GOVERNMENT HAS BEGUN . . .​


September 03, 2024
IMPORTANT: COLLAPSE OF UKRAINE **GOVERNMENT ** HAS BEGUN . . .


Important: The collapse of the Ukraine government has started; the following ministers have resigned:
Vitaliy Stanislavovych Koval - Head of the State Property Fund of Ukraine Vitaliy Koval - Wikipedia

Ruslan Strilets - Minister of Environmental Protection and Natural Resources of Ukraine Ruslan Strilets - Wikipedia

Denys Maliuska - Minister of Justice of Ukraine Denys Maliuska - Wikipedia

Oleksandr Kamyshin - Minister of Strategic Industries Oleksandr Kamyshin - Wikipedia

their resignations still have to be processed by the Verkhovna Rada (parliament).

One source told me "The rats have begun to flee the sinking ship."
UPDATE 7:43 PM EDT --
Parliament announces reshuffle day: 50% of Cabinet of Ministers to be replaced

The Ukrainian government is planning a personnel reshuffle, with more than 50% of the Cabinet of Ministers to be replaced.
In particular, tomorrow, September 4, will be a “day of dismissals”, according to the head of the Servant of the People faction, Davyd Arakhamia. "As promised, a major government reboot can be expected this week. Over 50% of the staff of the Cabinet of Ministers will be changed," Arakhamia wrote.
According to him, "tomorrow will be a day of dismissals, and the day after tomorrow—a day of appointments." The final list will be determined at the faction meeting on September 4.

Personnel changes in the Cabinet of Ministers
Recently, Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy mentioned that he is discussing potential government changes with Prime Minister Denys Shmyhal. Specifically, he emphasized the need to address the issue with the large number of acting ministers in the Cabinet Today, the sources of RBC-Ukraine in the government reported that significant personnel changes are expected in the Cabinet of Ministers this week. Rotations are also possible in the Presidential Office.
------------------++++++++
Link:
Kimeumana.
 

IMPORTANT: COLLAPSE OF UKRAINE GOVERNMENT HAS BEGUN . . .​


September 03, 2024
IMPORTANT: COLLAPSE OF UKRAINE **GOVERNMENT ** HAS BEGUN . . .


Important: The collapse of the Ukraine government has started; the following ministers have resigned:
Vitaliy Stanislavovych Koval - Head of the State Property Fund of Ukraine Vitaliy Koval - Wikipedia

Ruslan Strilets - Minister of Environmental Protection and Natural Resources of Ukraine Ruslan Strilets - Wikipedia

Denys Maliuska - Minister of Justice of Ukraine Denys Maliuska - Wikipedia

Oleksandr Kamyshin - Minister of Strategic Industries Oleksandr Kamyshin - Wikipedia

their resignations still have to be processed by the Verkhovna Rada (parliament).

One source told me "The rats have begun to flee the sinking ship."
UPDATE 7:43 PM EDT --
Parliament announces reshuffle day: 50% of Cabinet of Ministers to be replaced

The Ukrainian government is planning a personnel reshuffle, with more than 50% of the Cabinet of Ministers to be replaced.
In particular, tomorrow, September 4, will be a “day of dismissals”, according to the head of the Servant of the People faction, Davyd Arakhamia. "As promised, a major government reboot can be expected this week. Over 50% of the staff of the Cabinet of Ministers will be changed," Arakhamia wrote.
According to him, "tomorrow will be a day of dismissals, and the day after tomorrow—a day of appointments." The final list will be determined at the faction meeting on September 4.

Personnel changes in the Cabinet of Ministers
Recently, Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy mentioned that he is discussing potential government changes with Prime Minister Denys Shmyhal. Specifically, he emphasized the need to address the issue with the large number of acting ministers in the Cabinet Today, the sources of RBC-Ukraine in the government reported that significant personnel changes are expected in the Cabinet of Ministers this week. Rotations are also possible in the Presidential Office.
------------------++++++++++++++
Link:
Ukraine bado ipo vitani, pale inapolazimu, kufanya mabadiliko ya Viongozi wa Serikali katika nchi inakuwa ni kitu kisichoepukika ili kukabiliana na hali halisi iliyopo huko.
But all in all, kwa Karne hii ya 21 iliyopo, Ukraine itabaki kwenye kumbukumbu ya historia ya dunia kuwa ni miongoni mwa nchi chache sana na ya kipekee kabisa hapa duniani kuwa na Wananchi (Raia) ambao wana utangamano na umoja wa kitaifa ulio imara zaidi dhidi ya Watawala wa nchi yao licha ya kwamba Wana mitizamo na itikadi tofauti tofauti za kisiasa miongoni mwao. Kumbuka: Tangu vita hiyo ianze Watawala na Wananchi wote kabisa waliopo Ukraine wamebaki kuwa wamoja na wameungana kwa pamoja, kwa moyo mmoja, kwa nguvu moja na kwa ushirikiano mkubwa zaidi katika kuipigania nchi yao kwa 'kufa na kupona' bila kukata tamaa licha ya uchache wao. Katikà bara hili la Afrika hakuna nchi hata moja yenye Raia wenye upendo wa dhati kabisa kwa Watawala wa nchi yao wa kuweza kuwafananisha na raia wa Ukraine, hakuna.
Aidha, Endapo kama uvamizi Kama huo wa huko Ukraine ungetokea katika mojawapo ya nchi zetu hizi za Afrika, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba mpaka sasa Utawala uliopo kwenye nchi hiyo ungekuwa tayari umeangushwa na mtawala mwingine 'kibaraka' tayari angekuwa yupo madarakani, jambo ambalo mpaka sasa limeshindikana kabisa kutokea nchini Ukraine. Hii ni kutokana na kuwepo kwa 'strongest cohesion bond' kati ya Watawala na Raia (wananchi) wa nchi hiyo, ukichagizwa kwa kiasi kikubwa zaidi kutokana na kuwepo kwa Utawala wa Kidemokrasia, huru na Unaowajibika kwa Wananchi wote wa nchi hiyo bila ya ubaguzi wala upendeleo usiokuwa wa haki.
 
Kwa nini Mchambuzi fikra zake ndizo anazipa kipaombele na kwamba lazima tuziamini?

Kwa nini hakutaka kuja na tahadhari na au kusema wasaliti katika serikali ya Ukraine waondoshwa?

Ukraine iko vitani miaka miwili sasa, na kwa wakati huu inapiga ndani kabisa mwa Urusi na imeshikilia eneo la urusi

Nachelea kuamini kile mchambuzi anataka kutuaminisha
 
Ukraine bado ipo vitani, pale inapolazimu, kufanya mabadiliko ya Viongozi wa Serikali katika nchi inakuwa ni kitu kisichoepukika ili kukabiliana na hali halisi iliyopo huko.
But all in all, kwa Karne hii ya 21 iliyopo, Ukraine itabaki kwenye kumbukumbu ya historia ya dunia kuwa ni miongoni mwa nchi chache sana na ya kipekee kabisa hapa duniani kuwa na Wananchi (Raia) ambao wana utangamano na umoja wa kitaifa ulio imara zaidi dhidi ya Watawala wa nchi yao licha ya kwamba Wana mitizamo na itikadi tofauti tofauti za kisiasa miongoni mwao. Kumbuka: Tangu vita hiyo ianze Watawala na Wananchi wote kabisa waliopo Ukraine wamebaki kuwa wamoja na wameungana kwa pamoja, kwa moyo mmoja, kwa nguvu moja na kwa ushirikiano mkubwa zaidi katika kuipigania nchi yao kwa 'kufa na kupona' bila kukata tamaa licha ya uchache wao. Katikà bara hili la Afrika hakuna nchi hata moja yenye Raia wenye upendo wa dhati kabisa kwa Watawala wa nchi yao wa kuweza kuwafananisha na raia wa Ukraine, hakuna.
Aidha, Endapo kama uvamizi Kama huo wa huko Ukraine ungetokea katika mojawapo ya nchi zetu hizi za Afrika, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba mpaka sasa Utawala uliopo kwenye nchi hiyo ungekuwa tayari umeangushwa na mtawala mwingine 'kibaraka' tayari angekuwa yupo madarakani, jambo ambalo mpaka sasa limeshindikana kabisa kutokea nchini Ukraine. Hii ni kutokana na kuwepo kwa 'strongest cohesion bond' kati ya Watawala na Raia (wananchi) wa nchi hiyo, ukichagizwa kwa kiasi kikubwa zaidi kutokana na kuwepo kwa Utawala wa Kidemokrasia, huru na Unaowajibika kwa Wananchi wote wa nchi hiyo bila ya ubaguzi wala upendeleo usiokuwa wa haki.
Inawezakana umeandika kwa kukurupuka au miemuko mkuu, labda nikuulize swali, unavyosema kama uvamizi uliotokea Ukraine ungefanyika katika nchi ya kiafrika mpaka sasa wangekua washasalimu amri,

Je hao Ukraine bila msaada wa NATO hadi leo kungekua na vita hapo?

Kama raia wa Ukraine wamekubali kuwaunga mkono viongozi wao, basi hawana uzalendo wowote kwani wamekubali kuiaribu nchi yao wenyewe.

Hapo vita Sio Ukraine na Russia bali ni Russia na NATO lakini NATO wanatumia wanajeshi wa Ukraine na aridhi yao kupigana na Russia
 
Ukraine bado ipo vitani, pale inapolazimu, kufanya mabadiliko ya Viongozi wa Serikali katika nchi inakuwa ni kitu kisichoepukika ili kukabiliana na hali halisi iliyopo huko.
But all in all, kwa Karne hii ya 21 iliyopo, Ukraine itabaki kwenye kumbukumbu ya historia ya dunia kuwa ni miongoni mwa nchi chache sana na ya kipekee kabisa hapa duniani kuwa na Wananchi (Raia) ambao wana utangamano na umoja wa kitaifa ulio imara zaidi dhidi ya Watawala wa nchi yao licha ya kwamba Wana mitizamo na itikadi tofauti tofauti za kisiasa miongoni mwao. Kumbuka: Tangu vita hiyo ianze Watawala na Wananchi wote kabisa waliopo Ukraine wamebaki kuwa wamoja na wameungana kwa pamoja, kwa moyo mmoja, kwa nguvu moja na kwa ushirikiano mkubwa zaidi katika kuipigania nchi yao kwa 'kufa na kupona' bila kukata tamaa licha ya uchache wao. Katikà bara hili la Afrika hakuna nchi hata moja yenye Raia wenye upendo wa dhati kabisa kwa Watawala wa nchi yao wa kuweza kuwafananisha na raia wa Ukraine, hakuna.
Aidha, Endapo kama uvamizi Kama huo wa huko Ukraine ungetokea katika mojawapo ya nchi zetu hizi za Afrika, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba mpaka sasa Utawala uliopo kwenye nchi hiyo ungekuwa tayari umeangushwa na mtawala mwingine 'kibaraka' tayari angekuwa yupo madarakani, jambo ambalo mpaka sasa limeshindikana kabisa kutokea nchini Ukraine. Hii ni kutokana na kuwepo kwa 'strongest cohesion bond' kati ya Watawala na Raia (wananchi) wa nchi hiyo, ukichagizwa kwa kiasi kikubwa zaidi kutokana na kuwepo kwa Utawala wa Kidemokrasia, huru na Unaowajibika kwa Wananchi wote wa nchi hiyo bila ya ubaguzi wala upendeleo usiokuwa wa haki.
Asante mkuu, Asante sana.

Ninaamini kabisa mvamizi atashindwa. Uovu haujawahi kuishinda haki.

Wataleban walipigana bila kuchoka, dhidi ya mvamizi Marekani.

Baada ya takribani miaka 20, Taleban walishinda na kuingia madarakani kuongoza nchi yao ya Afghanistan.

Ameshindwa Marekani na Wataleban tu, Sembuse Putin tu!, tena mbele ya taifa imara kama Ukraine!?

Ni suala la muda, tusubiri na kuona.
 
Asante mkuu, Asante sana.

Ninaamini kabisa mvamizi atashindwa. Uovu haujawahi kuishinda haki.

Wataleban walipigana bila kuchoka, dhidi ya mvamizi Marekani.

Baada ya takribani miaka 20, Taleban walishinda na kuingia madarakani kuongoza nchi yao ya Afghanistan.

Ameshindwa Marekani na Wataleban tu, Sembuse Putin tu!, tena mbele ya taifa imara kama Ukraine!?

Ni suala la muda, tusubiri na kuona.
Marekani walikamilisha kwa ufanisi mkubwa kuchukua kilicho wapeleka Afghanistan wakaamua kusepa. Sasa wewe unaleta ngonjera zako hapa.

Wale wakishamaliza kazi yao wanawaacha mnanyukana wenyewe.
 
Inawezakana umeandika kwa kukurupuka au miemuko mkuu, labda nikuulize swali, unavyosema kama uvamizi uliotokea Ukraine ungefanyika katika nchi ya kiafrika mpaka sasa wangekua washasalimu amri,

Je hao Ukraine bila msaada wa NATO hadi leo kungekua na vita hapo?

Kama raia wa Ukraine wamekubali kuwaunga mkono viongozi wao, basi hawana uzalendo wowote kwani wamekubali kuiaribu nchi yao wenyewe.

Hapo vita Sio Ukraine na Russia bali ni Russia na NATO lakini NATO wanatumia wanajeshi wa Ukraine na aridhi yao kupigana na Russia
First of all, I'm not among of the people with a short-sighted mind like you.

Huo msaada wa NATO bila ya kuwa na Wanajeshi Wapiganaji wenye morali ya kupigana Vita ingeweza kusaidia nini huko Ukraine?? Unafikiri kwamba misaada ya silaha peke yake kutoka NATO inaweza kwenda kwenye uwanja wa Vita na kuanza kupigana dhidi ya Majeshi ya Putin bila ya kuwepo kwa Watu wa kuitumia vizuri hiyo misaada ya silaha??Are you out of mind??
 
Marekani walikamilisha kwa ufanisi mkubwa kuchukua kilicho wapeleka Afghanistan wakaamua kusepa. Sasa wewe unaleta ngonjera zako hapa.

Wale wakishamaliza kazi yao wanawaacha mnanyukana wenyewe.
Military Intervention and invasion in the Afghanistan territory was Compulsory and Inevitable, and at the moment it's still inevitable because Taleban has an extremely brutal and has the most craziest regime in Afghanistan. Civilians are suffering too much in Afghanistan, Taleban Forces are commiting the serious and grave human rights violations, especially in women and children.

Kuishi nchini Afghanistan chini ya Utawala wa Taleban ni sawa sawa na kuishi Jehanamu.
Naunga mkono Marekani wafikirie tena kuivamia tena Afghanistan ili kuwakomboa Wanawake, wasichana na watoto waliopo Afghanistan ambao wanapitia mateso makali sana kutoka kwa Utawala wa Taleban.
 
First of all, I'm not among of the people with a short-sighted mind like you.

Huo msaada wa NATO bila ya kuwa na Wanajeshi Wapiganaji wenye morali ya kupigana Vita ingeweza kusaidia nini huko Ukraine?? Unafikiri kwamba misaada ya silaha peke yake kutoka NATO inaweza kwenda kwenye uwanja wa Vita na kuanza kupigana dhidi ya Majeshi ya Putin bila ya kuwepo kwa Watu wa kuitumia vizuri hiyo misaada ya silaha??Are you out of mind??
Dah! Kweli wewe kichwani ni mweupe, ila una mahaba na hao Ukraine na NATO, yahani huyo Ukraine anayepewa msaada wa kila aina, apigine na Russia tena sio kwa masilai yake bali masilai ya nchi za magharibi wakiongozwa na marekani.

Kama Viongozi wa Ukraine wangekua na busara walikua na uwezo wa kufanya hii vita isitokee kwa masilai ya nchi yao na raia kwa ujumla, lakini kwa kua wameamua kutumiwa na wahuni wa NATO bila shaka yote yanayotokea wanastaili kama malipo ya usaliti kwa nchi yao na raia wao

Halafu kwa silaa wanazopewa hata kma ni sisi Tanzania tukipewa msaada kama huo tupigane na Amerika bado tungewatoa kamasi America, kumbuka mgogoro wa Vietnam na America
 
Wataleban walishindwa na wakawekewa kibaraka mpaka pale marekani alipoona inatosha. Ukraine itaingia kwenye vitabu na mfano hai kupigana na taifa kubwa lenye siraha na uchumi mzito
 
Dah! Kweli wewe kichwani ni mweupe, ila una mahaba na hao Ukraine na NATO, yahani huyo Ukraine anayepewa msaada wa kila aina, apigine na Russia tena sio kwa masilai yake bali masilai ya nchi za magharibi wakiongozwa na marekani.

Kama Viongozi wa Ukraine wangekua na busara walikua na uwezo wa kufanya hii vita isitokee kwa masilai ya nchi yao na raia kwa ujumla, lakini kwa kua wameamua kutumiwa na wahuni wa NATO bila shaka yote yanayotokea wanastaili kama malipo ya usaliti kwa nchi yao na raia wao

Halafu kwa silaa wanazopewa hata kma ni sisi Tanzania tukipewa msaada kama huo tupigane na Amerika bado tungewatoa kamasi America, kumbuka mgogoro wa Vietnam na America
Acha kelele na miluzi mingi ichujueni ukraine mwaka unaenda isha wa tatu badala ya siku 3
 
Ukraine bado ipo vitani, pale inapolazimu, kufanya mabadiliko ya Viongozi wa Serikali katika nchi inakuwa ni kitu kisichoepukika ili kukabiliana na hali halisi iliyopo huko.
But all in all, kwa Karne hii ya 21 iliyopo, Ukraine itabaki kwenye kumbukumbu ya historia ya dunia kuwa ni miongoni mwa nchi chache sana na ya kipekee kabisa hapa duniani kuwa na Wananchi (Raia) ambao wana utangamano na umoja wa kitaifa ulio imara zaidi dhidi ya Watawala wa nchi yao licha ya kwamba Wana mitizamo na itikadi tofauti tofauti za kisiasa miongoni mwao. Kumbuka: Tangu vita hiyo ianze Watawala na Wananchi wote kabisa waliopo Ukraine wamebaki kuwa wamoja na wameungana kwa pamoja, kwa moyo mmoja, kwa nguvu moja na kwa ushirikiano mkubwa zaidi katika kuipigania nchi yao kwa 'kufa na kupona' bila kukata tamaa licha ya uchache wao. Katikà bara hili la Afrika hakuna nchi hata moja yenye Raia wenye upendo wa dhati kabisa kwa Watawala wa nchi yao wa kuweza kuwafananisha na raia wa Ukraine, hakuna.
Aidha, Endapo kama uvamizi Kama huo wa huko Ukraine ungetokea katika mojawapo ya nchi zetu hizi za Afrika, basi naamini kwa dhati kabisa kwamba mpaka sasa Utawala uliopo kwenye nchi hiyo ungekuwa tayari umeangushwa na mtawala mwingine 'kibaraka' tayari angekuwa yupo madarakani, jambo ambalo mpaka sasa limeshindikana kabisa kutokea nchini Ukraine. Hii ni kutokana na kuwepo kwa 'strongest cohesion bond' kati ya Watawala na Raia (wananchi) wa nchi hiyo, ukichagizwa kwa kiasi kikubwa zaidi kutokana na kuwepo kwa Utawala wa Kidemokrasia, huru na Unaowajibika kwa Wananchi wote wa nchi hiyo bila ya ubaguzi wala upendeleo usiokuwa wa haki.
Mrusi alichokipata pale ukraine ni funzo hata kwa china kua ule ni mpango wa kumwangamiza ndio mana kaiogopa hata taiwan.

Urusi hakupiga hesabu vizuri juu ya kuivamia ukraine alikulupuka sana
 

IMPORTANT: COLLAPSE OF UKRAINE GOVERNMENT HAS BEGUN . . .​


September 03, 2024
IMPORTANT: COLLAPSE OF UKRAINE **GOVERNMENT ** HAS BEGUN . . .


Important: The collapse of the Ukraine government has started; the following ministers have resigned:
Vitaliy Stanislavovych Koval - Head of the State Property Fund of Ukraine Vitaliy Koval - Wikipedia

Ruslan Strilets - Minister of Environmental Protection and Natural Resources of Ukraine Ruslan Strilets - Wikipedia

Denys Maliuska - Minister of Justice of Ukraine Denys Maliuska - Wikipedia

Oleksandr Kamyshin - Minister of Strategic Industries Oleksandr Kamyshin - Wikipedia

their resignations still have to be processed by the Verkhovna Rada (parliament).

One source told me "The rats have begun to flee the sinking ship."
UPDATE 7:43 PM EDT --
Parliament announces reshuffle day: 50% of Cabinet of Ministers to be replaced

The Ukrainian government is planning a personnel reshuffle, with more than 50% of the Cabinet of Ministers to be replaced.
In particular, tomorrow, September 4, will be a “day of dismissals”, according to the head of the Servant of the People faction, Davyd Arakhamia. "As promised, a major government reboot can be expected this week. Over 50% of the staff of the Cabinet of Ministers will be changed," Arakhamia wrote.
According to him, "tomorrow will be a day of dismissals, and the day after tomorrow—a day of appointments." The final list will be determined at the faction meeting on September 4.

Personnel changes in the Cabinet of Ministers
Recently, Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy mentioned that he is discussing potential government changes with Prime Minister Denys Shmyhal. Specifically, he emphasized the need to address the issue with the large number of acting ministers in the Cabinet Today, the sources of RBC-Ukraine in the government reported that significant personnel changes are expected in the Cabinet of Ministers this week. Rotations are also possible in the Presidential Office.
------------------++++++++++++++
Link:
Amka kumekucha utajikojolea
 
Back
Top Bottom