iamwangdamin
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 858
- 1,796
Wilaya ya Ilala na jimbo zima la Ilala tutasimama na mama yetu kipenzi Dr. Samia Hassan Suluhu , wana Ilala tulimpokea katibu Mwenezi taifa Ndg. CPA Amos Makala wilayani Ilala , alisindikizwa na Viongozi wa wilaya na Mkoa.
Mkuu wa mkoa Albert Chalamila , Mhe. Upendo Peneza , Mzee wetu Abbas Mtemvu , Mkuu wa wilaya ya Ilala na mwenezi Ally Bananga . Mambo ni moto Ilala , Mama Samia hana mpinzani kwani tunapita nae 2025 .
Eng. Adam Magesa Ekingo
Mjumbe KIVUKONI CCM
+255686525185
iamwangdamin
Mkuu wa mkoa Albert Chalamila , Mhe. Upendo Peneza , Mzee wetu Abbas Mtemvu , Mkuu wa wilaya ya Ilala na mwenezi Ally Bananga . Mambo ni moto Ilala , Mama Samia hana mpinzani kwani tunapita nae 2025 .
Eng. Adam Magesa Ekingo
Mjumbe KIVUKONI CCM
+255686525185
iamwangdamin