Ijue Njia Ya Uzazi wa Mpango Ya Kumwaga Nje Shahawa.

Dr isaya febu

Member
Jan 17, 2023
37
293
https://www.facebook.com/sharer.php...ia-ya-uzazi-wa-mpango-ya-kumwaga-nje-shahawa/
Njia ya uzazi wa mpango ya kumwaga nje shahawa inayojuliakana pia kwa kitaalamu kama withdrawal method/pulling out method ni ni mbinu ya uzazi wa mpango inayotegemea mwanaume kutoa uume wake kutoka kwenye uke wa mwenza wake kabla ya kufikia kileleni (kumwaga shahawa) wakati wa tendo la ndoa ili kuhakikisha kwamba shahawa haziingii ndani ya uke.
maxresdefault-1024x576.jpg

Lengo la njia hii ni kuzuia mbegu za kiume kufika kwenye yai la mwanamke (ovum), hivyo kuzuia mimba kutungwa hasa pale mwanamke anaposhiriki tendo la ndoa siku za hatari.

Jinsi Njia Hii Ya Uzazi Wa Mpango Inavyofanya Kazi:

Mwanaume anatakiwa kuwa na udhibiti wa hali ya juu wa mwili wake na kutoa uume kutoka kwenye uke mara tu anapoishi anakaribia kufika kileleni (perfect timing).
Ni muhimu shahawa zote zimwagwe nje ya uke kwani shahawa zinapomwagwa nje ya uke uwezekano wa mbegu za kiume kufika kwenye mfuko wa uzazi unapungua.
Uzazi wa Mpango

Ufanisi Wa Njia Ya Kumwaga Nje Shahawa:

Ufanisi wa njia hii ya uzazi wa mpango hujumuisha mambo yafuatayo:

1) Ufanisi Wa Kawaida.

Takriban 78%, ikimaanisha kwamba kati ya wanawake 100 wanaotumia njia hii kwa mwaka mmoja, takriban 22 wanaweza kushika mimba.

2) Ufanisi Wa Hali Ya Juu.

Ikiwa inatumiwa kikamilifu (bila makosa), inaweza kufikia ufanisi wa hadi 96%, lakini ni nadra kufanikisha kiwango hiki kwa sababu ya makosa ya binadamu.

Changamoto Zinazoweza Kuathiri Ufanisi Wa Njia Hii Ya Uzazi Wa Mpango:

Njia ya hii ya uzazi wa mpango inaweza kuathiriwa na changamoto zifuatazo:

1) Majimaji Ya Awali Ya Shahawa (Pre-Ejaculate).

Majimaji yanayotoka kabla ya mshindo (pre-ejculate) yanaweza kuwa na mbegu za kiume (ingawa kiwango chake ni kidogo) zinazoweza kusababisha mimba.

2) Kuchelewa Kutoa Uume Kutoka Kwenye Uke.

Ikiwa mwanaume hatatoa uume kutoka kwenye uke kwa wakati (perfect timing), hata tone dogo la shahawa linaweza kusababisha mimba.

3) Kuwepo Kwa Mbegu Za Kiume Kwenye Uume.

Ikiwa mwanaume alishamwaga shahawa awali na hajakojoa kabla ya tendo lingine, mbegu za kiume zinazobaki kwenye mrija wa mkojo (urethra) zinaweza kusababisha mimba.

Faida za Njia ya Kumwaga Nje Shahawa:

Njia hii ya uzazi wa mpango hujumuisha faida zifuatazo:

1) Hakuna Gharama.

Hii ni njia ya bure, haina hitaji la vifaa maalum.

2) Haina Athari Za Kiafya.

Haijumuishi kemikali au homoni zinazoweza kusababisha madhara ya kiafya.

3) Inapatikana Wakati Wowote.

Unaweza kuitumia bila maandalizi ya awali.

Hasara Za Njia Ya Kumwaga Nje Shahawa:

Zifuatazo ni hasara za njia hii ya uzazi wa mpango ambazo ni pamoja na:

1) Ufanisi Mdogo.

Ufanisi wake si wa uhakika, hasa ikiwa itatumika vibaya na uwezekano wa kushindwa ni mkubwa.

2) Inahitaji Udhibiti Mkubwa.

Mwanaume anatakiwa kuwa na uwezo mzuri wa kudhibiti (control) wakati wa kutoa uume ukeni, jambo ambalo si rahisi kwa kila mtu.

3) Hatari Ya Magonjwa Ya Zinaa (STIs).

Njia hii haizuii maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama vile VVU, kisonono, au kaswende.

HITIMISHO:

Njia ya kumwaga nje inaweza kuwa na ufanisi wa wastani, lakini kwa ulinzi bora zaidi dhidi ya mimba zisizotarajiwa na magonjwa ya zinaa, unashauriwa kutumia njia salama zaidi kama kondomu, vidonge vya uzazi wa mpango, au sindano.
 

Attachments

  • images.png
    images.png
    4.6 KB · Views: 6
Unataka kumwaga mwenzio anakukumbatia. Tunalea mimba au iuna dada ako anafanya kazi pharmacy?
 
https://www.facebook.com/sharer.php?u=https://isayafebu.com/njia-ya-uzazi-wa-mpango-ya-kumwaga-nje-shahawa/
Njia ya uzazi wa mpango ya kumwaga nje shahawa inayojuliakana pia kwa kitaalamu kama withdrawal method/pulling out method ni ni mbinu ya uzazi wa mpango inayotegemea mwanaume kutoa uume wake kutoka kwenye uke wa mwenza wake kabla ya kufikia kileleni (kumwaga shahawa) wakati wa tendo la ndoa ili kuhakikisha kwamba shahawa haziingii ndani ya uke.
maxresdefault-1024x576.jpg

Lengo la njia hii ni kuzuia mbegu za kiume kufika kwenye yai la mwanamke (ovum), hivyo kuzuia mimba kutungwa hasa pale mwanamke anaposhiriki tendo la ndoa siku za hatari.

Jinsi Njia Hii Ya Uzazi Wa Mpango Inavyofanya Kazi:

Mwanaume anatakiwa kuwa na udhibiti wa hali ya juu wa mwili wake na kutoa uume kutoka kwenye uke mara tu anapoishi anakaribia kufika kileleni (perfect timing).
Ni muhimu shahawa zote zimwagwe nje ya uke kwani shahawa zinapomwagwa nje ya uke uwezekano wa mbegu za kiume kufika kwenye mfuko wa uzazi unapungua.
Uzazi wa Mpango

Ufanisi Wa Njia Ya Kumwaga Nje Shahawa:

Ufanisi wa njia hii ya uzazi wa mpango hujumuisha mambo yafuatayo:

1) Ufanisi Wa Kawaida.

Takriban 78%, ikimaanisha kwamba kati ya wanawake 100 wanaotumia njia hii kwa mwaka mmoja, takriban 22 wanaweza kushika mimba.

2) Ufanisi Wa Hali Ya Juu.

Ikiwa inatumiwa kikamilifu (bila makosa), inaweza kufikia ufanisi wa hadi 96%, lakini ni nadra kufanikisha kiwango hiki kwa sababu ya makosa ya binadamu.

Changamoto Zinazoweza Kuathiri Ufanisi Wa Njia Hii Ya Uzazi Wa Mpango:

Njia ya hii ya uzazi wa mpango inaweza kuathiriwa na changamoto zifuatazo:

1) Majimaji Ya Awali Ya Shahawa (Pre-Ejaculate).

Majimaji yanayotoka kabla ya mshindo (pre-ejculate) yanaweza kuwa na mbegu za kiume (ingawa kiwango chake ni kidogo) zinazoweza kusababisha mimba.

2) Kuchelewa Kutoa Uume Kutoka Kwenye Uke.

Ikiwa mwanaume hatatoa uume kutoka kwenye uke kwa wakati (perfect timing), hata tone dogo la shahawa linaweza kusababisha mimba.

3) Kuwepo Kwa Mbegu Za Kiume Kwenye Uume.

Ikiwa mwanaume alishamwaga shahawa awali na hajakojoa kabla ya tendo lingine, mbegu za kiume zinazobaki kwenye mrija wa mkojo (urethra) zinaweza kusababisha mimba.

Faida za Njia ya Kumwaga Nje Shahawa:

Njia hii ya uzazi wa mpango hujumuisha faida zifuatazo:

1) Hakuna Gharama.

Hii ni njia ya bure, haina hitaji la vifaa maalum.

2) Haina Athari Za Kiafya.

Haijumuishi kemikali au homoni zinazoweza kusababisha madhara ya kiafya.

3) Inapatikana Wakati Wowote.

Unaweza kuitumia bila maandalizi ya awali.

Hasara Za Njia Ya Kumwaga Nje Shahawa:

Zifuatazo ni hasara za njia hii ya uzazi wa mpango ambazo ni pamoja na:

1) Ufanisi Mdogo.

Ufanisi wake si wa uhakika, hasa ikiwa itatumika vibaya na uwezekano wa kushindwa ni mkubwa.

2) Inahitaji Udhibiti Mkubwa.

Mwanaume anatakiwa kuwa na uwezo mzuri wa kudhibiti (control) wakati wa kutoa uume ukeni, jambo ambalo si rahisi kwa kila mtu.

3) Hatari Ya Magonjwa Ya Zinaa (STIs).

Njia hii haizuii maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama vile VVU, kisonono, au kaswende.

HITIMISHO:

Njia ya kumwaga nje inaweza kuwa na ufanisi wa wastani, lakini kwa ulinzi bora zaidi dhidi ya mimba zisizotarajiwa na magonjwa ya zinaa, unashauriwa kutumia njia salama zaidi kama kondomu, vidonge vya uzazi wa mpango, au sindano.
Sioni njia hii kuwa salama kwani inahusisha kufanya tendo la ndoa halafu eti umwage mbegu nje. Ni vigumu kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja.Pili wakati wa mshindo akili zinazidiwa watu wote wawili wanapokuwa kileleni hivyo hata akili ya kumwaga nje inakosekana.Njia bora ni ile ya kuweka kalenda ya mzunguko wa mama kabla ya hedhi na baada ya hedhi wasijamiane mama anapokaribia kuingia ute wa uzazi.watalamu wanajua zaidi kwamba ni salama
 
Mungu hapendezwi na huu upuuzi.
Exactly yes. Ni sawa na kuchukua mbegu za mahindi e.g. Seedco.513 chapa ngamia, halafu unaenda nazo unafika shambani kwako, na unakata / chimba mashimo halafu wakati wa kudondosha mbegu shimoni ili ufukie, eti wewe unazitupa porini. Je; huo si uendawazimu kweli??
 
Ufanisi ni 5%.
Daaah! Kabla sijaoa, nilikuwa na rafiki yangu wa kike mwanafunzi, tulikuwa hatutumii njia yoyote ya kinga. Akapata mimba. Jasho lilinitoka. Nikapata msaada wa kuunganishwa kwa daktari mmoja kule Bugando, tukatoa!
Kuna jamaa, akanipa darasa la "KURUKA NJE" unapokaribia kileleni. Kwa kweli, nililishika somo. Mpaka leo hii, ndiyo njia niitumiayo kupanga uzazi! Ni kazi ngumu, lakini sijawahi kushindwa. Lazima AKILI yako iwe inafanya kazi vizuri, na ujue timing ya hesabu kuruka na parachute, kabla NDEGE HAIJAANGUKA CHINI!
 
Daaah! Kabla sijaoa, nilikuwa na rafiki yangu wa kike mwanafunzi, tulikuwa hatutumii njia yoyote ya kinga. Akapata mimba. Jasho lilinitoka. Nikapata msaada wa kuunganishwa kwa daktari mmoja kule Bugando, tukatoa!
Kuna jamaa, akanipa darasa la "KURUKA NJE" unapokaribia kileleni. Kwa kweli, nililishika somo. Mpaka leo hii, ndiyo njia niitumiayo kupanga uzazi! Ni kazi ngumu, lakini sijawahi kushindwa. Lazima AKILI yako iwe inafanya kazi vizuri, na ujue timing ya hesabu kuruka na parachute, kabla NDEGE HAIJAANGUKA CHINI!
Kama yai limekomaa na mama anao ute wa uzazi, mbegu kidogo ikidondokea ndani au nje ya uzazi,mimba yaweza kutungwa ilihali wewe ulishachomoa.sperms in very sensitive wakati mama yuko ktk hali hiyo.Wengi wanakataa mimba kwa sababu hiyo
 
Kama yai limekomaa na mama anao ute wa uzazi, mbegu kidogo ikidondokea ndani au nje ya uzazi,mimba yaweza kutungwa ilihali wewe ulishachomoa.sperms in very sensitive wakati mama yuko ktk hali hiyo.Wengi wanakataa mimba kwa sababu hiyo
Nishafanya zaidi ya mara mia, lakini sijawahi kupata ajali! Huwa ninajitahidi kuwa na "AKILI ZANGU ZOTE"!

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Daaah! Kabla sijaoa, nilikuwa na rafiki yangu wa kike mwanafunzi, tulikuwa hatutumii njia yoyote ya kinga. Akapata mimba. Jasho lilinitoka. Nikapata msaada wa kuunganishwa kwa daktari mmoja kule Bugando, tukatoa!
Kuna jamaa, akanipa darasa la "KURUKA NJE" unapokaribia kileleni. Kwa kweli, nililishika somo. Mpaka leo hii, ndiyo njia niitumiayo kupanga uzazi! Ni kazi ngumu, lakini sijawahi kushindwa. Lazima AKILI yako iwe inafanya kazi vizuri, na ujue timing ya hesabu kuruka na parachute, kabla NDEGE HAIJAANGUKA CHINI!
Mkuu; Hebu soma tena ulivyosema "Nikapata msaada wa kuunganishwa kwa daktari mmoja kule Bugando, tukatoa!"
Hitimisho: Hakika ww na huyo daktari wako ni WAUAJI. Why Mlimuua mtoto asiye na hatia??.
 
Bora njia hiyo maana kuzoa jau
https://www.facebook.com/sharer.php?u=https://isayafebu.com/njia-ya-uzazi-wa-mpango-ya-kumwaga-nje-shahawa/
Njia ya uzazi wa mpango ya kumwaga nje shahawa inayojuliakana pia kwa kitaalamu kama withdrawal method/pulling out method ni ni mbinu ya uzazi wa mpango inayotegemea mwanaume kutoa uume wake kutoka kwenye uke wa mwenza wake kabla ya kufikia kileleni (kumwaga shahawa) wakati wa tendo la ndoa ili kuhakikisha kwamba shahawa haziingii ndani ya uke.
maxresdefault-1024x576.jpg

Lengo la njia hii ni kuzuia mbegu za kiume kufika kwenye yai la mwanamke (ovum), hivyo kuzuia mimba kutungwa hasa pale mwanamke anaposhiriki tendo la ndoa siku za hatari.

Jinsi Njia Hii Ya Uzazi Wa Mpango Inavyofanya Kazi:

Mwanaume anatakiwa kuwa na udhibiti wa hali ya juu wa mwili wake na kutoa uume kutoka kwenye uke mara tu anapoishi anakaribia kufika kileleni (perfect timing).
Ni muhimu shahawa zote zimwagwe nje ya uke kwani shahawa zinapomwagwa nje ya uke uwezekano wa mbegu za kiume kufika kwenye mfuko wa uzazi unapungua.
Uzazi wa Mpango

Ufanisi Wa Njia Ya Kumwaga Nje Shahawa:

Ufanisi wa njia hii ya uzazi wa mpango hujumuisha mambo yafuatayo:

1) Ufanisi Wa Kawaida.

Takriban 78%, ikimaanisha kwamba kati ya wanawake 100 wanaotumia njia hii kwa mwaka mmoja, takriban 22 wanaweza kushika mimba.

2) Ufanisi Wa Hali Ya Juu.

Ikiwa inatumiwa kikamilifu (bila makosa), inaweza kufikia ufanisi wa hadi 96%, lakini ni nadra kufanikisha kiwango hiki kwa sababu ya makosa ya binadamu.

Changamoto Zinazoweza Kuathiri Ufanisi Wa Njia Hii Ya Uzazi Wa Mpango:

Njia ya hii ya uzazi wa mpango inaweza kuathiriwa na changamoto zifuatazo:

1) Majimaji Ya Awali Ya Shahawa (Pre-Ejaculate).

Majimaji yanayotoka kabla ya mshindo (pre-ejculate) yanaweza kuwa na mbegu za kiume (ingawa kiwango chake ni kidogo) zinazoweza kusababisha mimba.

2) Kuchelewa Kutoa Uume Kutoka Kwenye Uke.

Ikiwa mwanaume hatatoa uume kutoka kwenye uke kwa wakati (perfect timing), hata tone dogo la shahawa linaweza kusababisha mimba.

3) Kuwepo Kwa Mbegu Za Kiume Kwenye Uume.

Ikiwa mwanaume alishamwaga shahawa awali na hajakojoa kabla ya tendo lingine, mbegu za kiume zinazobaki kwenye mrija wa mkojo (urethra) zinaweza kusababisha mimba.

Faida za Njia ya Kumwaga Nje Shahawa:

Njia hii ya uzazi wa mpango hujumuisha faida zifuatazo:

1) Hakuna Gharama.

Hii ni njia ya bure, haina hitaji la vifaa maalum.

2) Haina Athari Za Kiafya.

Haijumuishi kemikali au homoni zinazoweza kusababisha madhara ya kiafya.

3) Inapatikana Wakati Wowote.

Unaweza kuitumia bila maandalizi ya awali.

Hasara Za Njia Ya Kumwaga Nje Shahawa:

Zifuatazo ni hasara za njia hii ya uzazi wa mpango ambazo ni pamoja na:

1) Ufanisi Mdogo.

Ufanisi wake si wa uhakika, hasa ikiwa itatumika vibaya na uwezekano wa kushindwa ni mkubwa.

2) Inahitaji Udhibiti Mkubwa.

Mwanaume anatakiwa kuwa na uwezo mzuri wa kudhibiti (control) wakati wa kutoa uume ukeni, jambo ambalo si rahisi kwa kila mtu.

3) Hatari Ya Magonjwa Ya Zinaa (STIs).

Njia hii haizuii maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama vile VVU, kisonono, au kaswende.

HITIMISHO:

Njia ya kumwaga nje inaweza kuwa na ufanisi wa wastani, lakini kwa ulinzi bora zaidi dhidi ya mimba zisizotarajiwa na magonjwa ya zinaa, unashauriwa kutumia njia salama zaidi kama kondomu, vidonge vya uzazi wa mpango, au sindano.
Bora kumwaga tu nje mana kuzoa jau hasa Kwa wazee wa vident
 
Back
Top Bottom